Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,569
- 16,032
Mbele ya Rais Magufuli, Msanii maarufu wa Hip Hop na aliyekuwa mwanachama wa chama cha ACT-Wazalendo Seleman Msindi, amejiunga na Chama cha Mapinduzi. Kasema Tanzania hakuna mbadala ya CCM. Aomba chama kimpokee.
Ni leo katika uzinduzi wa kiwanda cha Sigara mkoani Morogoro.
"Nampongeza sana ndugu Sele (Afande Sele), mimi napenda nyimbo zake hasa ule wimbo wa Morogoro anasimama barabarani alafu anakuwa anapiga miguu hivi polepole, nampongeza kwa kuamua kurudi Chama cha Mapinduzi, ameamua vizuri" amesema Rais Magufuli
Afande Sele ni jembe!
Video
Habari zaidi, soma=>
- Afande Sele (Seleman Msindi) ajiengua CHADEMA na kujiunga na ACT
- Afande Sele: ACT Wazalendo sikielewi kama ni malaika au shetani?
- Baada ya kusema hakielewi ACT Wazalendo, Afande Sele aibukia kwenye mkutano wa Makamu wa Rais
- Afande Sele katangaza kujivua uanachama wa ACT Wazalendo rasmi