The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,681
- 20,686
Mikoa ya pwani mipango miji ni mtihani. Isipokuwa Tanga tu.Hapana bana,Morogoro imechakaa pale katikati,ila ukiwa unatoka nje ya mji wamejitahidi sana upande wa makazi mapya,ingawa sehemu nyingi hazikupangwa vizuri...
Hiyo ya kusomesha watoto private nimepapenda aisee.Morogoro ni mahali pazuri pa kuishi na kufuga,Kuna plenty ya ardhi kwa ufugaji na ukulima.
Ni rahisi kufika Dar/Dom kupiga mishe na kurudi home kuchil.
Its a nice place to raise kids compare to many places here in Tanzania.
Private Schools ni cheap,watu wao hawana mambo mengi,vyakula ni vingi,na unavipata fresh.
Ni Mji mzuri wa kuanzia maisha kama ilivyo mbeya,rukwa na Mwanza.
Done!
Alwatan ndo nani?Kuna wanaotumia maji kutika mlimani na wale wa bwawa la mindu
Ila moro kuko poa tu sema bila kuwa alwatan hapo hutoboi
Ova
Wewe sasa ndo umeeleza vizuri yaani ni mji mzuri kwa kuishi na sio biashara. Ni kama ilvyo dar ni mji wenye pesa nyingi ni mzuri na hauwezi linganisha na sehenu yoyote ile Tanzania kwenye suala la biashara na maendeleo ila kwa kuishi hauna sifa kuzidi mikoa mingi mfano Moshi, Mwanza, Moro, Mbeya na mingineyo.Morogoro ni mahali pazuri pa kuishi na kufuga,Kuna plenty ya ardhi kwa ufugaji na ukulima.
Ni rahisi kufika Dar/Dom kupiga mishe na kurudi home kuchil.
Its a nice place to raise kids compare to many places here in Tanzania.
Private Schools ni cheap,watu wao hawana mambo mengi,vyakula ni vingi,na unavipata fresh.
Ni Mji mzuri wa kuanzia maisha kama ilivyo mbeya,rukwa na Mwanza.
Done!
Sio joto na mbu tu, na kunuka pia.Watu hujenga na kupanua miji kutokana na incentives za aina mbalimbali na huwa hawajengi tu kwa sababu wana fedha. Jiji kama Dar pamoja na kuwa na joto na mbu linapanuka kwa sababu watu wanavutiwa na ''faida'' ya kuishi hapo.
Ukiona hivyo hakuna pesa hapo na mzunguko ni mdogo, na watu sio wapambanaji mji ukikaa kiswahili sana maendeleo huwa ni kazi sana, kitu kingine miji iliyokaribu na Dar haina maendeleo.Kwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , ninauhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa
Adios!!
Unachosema ni kweli. Wewe angalia aina ya madiwani na wabunge wao.Kwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , ninauhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa
Adios!!
Usichojua, MOSHI haibadiliki mjini....toka miaka ya 1995 Iko vile, vile.Kweli kabisa moshi ipo karibu sana kuzidiwa na kahama manispaa nipo hapa. Na nadhani tyr ishapitwa.
Acha uongo morogoro ya sasa iko vzr sana ,Kwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , ninauhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa
Adios!!
Oya wapi hapo Jana nilikua Chatu mkaliKaribuni NANASI MZUWANDA BAR
ukisema MOSHI direct unazungumzia mji huko kijijini sisi panatuhusuje?Usichojua, MOSHI haibadiliki mjini....toka miaka ya 1995 Iko vile, vile.
MOSHI imeendelea vijijini au nje ya MJI.
Moshi au Kilimanjaro sio mkoa mkoa uliojengeka mjini bali vijijini.
Hoja yake yakusema Moshi imeendelea vijinini , ni hoja dhaifu mno , huyu anapaswa kukamatwaukisema MOSHI direct unazungumzia mji huko kijijini sisi panatuhusuje?
Kama haibadiriki toka 1995 basi imekufa kifo cha mende hata katoro itaipita kama imesimama
Wewe ni kati ya wale wanaofikiri Msamvu ndio Morogoro mjini?Kitu pekee kilichobadilika ni stendi ya Msamvu, hotel ya Shabiby na ile ghorofa mpya pale round about Msamvu