Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,361
- 11,517
Morocco wakituinamisha tunainuka, wakituinamishia uwanja tunainuka mara pipe..... Cha kwanza. Tukafuta.... Tukaanza kusumbuana tena wakiinamishia uwanja Taifa Stars... Inainuka... Mara tena pipe... Kitu... Waarabu hawa hapa. Cha pili
Tunafuta heeeeh. Cha tatu. Waliweza ila si kirahisi rahisi babaake. Kwa mbinde sana.
Sasa Congo wanaweza kuja wamejipaka Mkongo. Zitapigwa vibaya sana. Si kirahisi sana.
Tunafuta heeeeh. Cha tatu. Waliweza ila si kirahisi rahisi babaake. Kwa mbinde sana.
Sasa Congo wanaweza kuja wamejipaka Mkongo. Zitapigwa vibaya sana. Si kirahisi sana.