Morocco walianza kusema Wao siyo Waafrika Wenzetu, Leo wana Janga Kubwa wanachagua wa Kuwasaidia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,653
109,055
Nchi ya Morocco ambayo hivi sasa imekumbwa na Janga Kubwa la Tetemeko la Ardhi imesema ni nchi Nne tu ndizo wameruhusu Wawasaidie ambazo ni Hispania, Uingereza, Qatar na UAE.

Kuna Taifa moja Barani Afrika ( nimelisahau Jina ) lenyewe Uturuki ilipopatwa na Janga kama hili la Morocco ilikuwa na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kwa kupeleka Msaada wa Tani za Mahindi wakati nchini Kwake tu kuna sehemu ya Mikoa ( Maeneo ) Wananchi wake wana Njaa iliyotukuka.

Kama kuna Taifa ambalo Silielewi Barani Afrika ni la Morocco kwani hata katika Fainali za Kombe la Dunia zilizopita walipofika hatua nzuri Walituruka Waafrika wengine tuliokuwa tunajivunia nao kwa kutuambia kuwa tusiwashangilie kwani Wao siyo Waafrika Wenzetu bali Wao ni Wazungu na wako Afrika ( aliko GENTAMYCINE ) kwa bahati mbaya tu.

Walipotukataa Waafrika kuwa Wao ni Wazungu kama Kawaida yetu Waafrika tulichukia na kujigawa ambapo Wengine waliwaombea Dua Baya na Wengine waliamua Kuwaroga kabisa na Wengine tuliangalia Mechi yao iliyofuata huku Tukisonya na Kununa hali ambayo ilisaidia kufanya wafanye vibaya ( Wafungwe ) na ili kuonyesha kuwa pamoja na Wamoroko kuwa na Dharau kumbe pia ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani baada ya Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni walirejea na kusema kuwa Wao ni Waafrika Wenzetu.

Haya Morocco hawataki Misaada yenu sasa nyie Jipendekezeni kupeleka Mahindi, Mcbele na Maparachjchi yenu muone kama hamkurudishwa nayo Uwanja wa Ndege au Bandarini.
 
Is Morocco the African, Arab, or Europe country? Kuna nchi ya kiafrika iliyotoa msaada? Naona nchi za kiarabu ndio zimekuwa za mwanzo mwanzo kutoa misaada. Anyway, hiyo nchi iko kwenye ukanda wa tetemeko la ardhi, walijisahau sana kuwa wamejenga kwenye ukanda hatari hawakuchukua tahadhari. Hii dunia ina kanda za hatari kujenga, kuna maeneo yenye kukumbwa na mafuriko, ukame, majangwa, tufani, volkano, vimbunga na hata milipuko ya magonjwa. Binadamu hana budi kujua eneo alilojenga linaweza kukumbwa na janga gani la asili
 
Lile tetemeko la kisenge kweli, lilipaswa kupiga mji mkuu halafu liondoke na nyomi ya watu hata milioni. Next time tetemeko lisiwe na 6.8, liwe na 20 ama 30 na lipige mji mkuu.

Sijajua kitaalum kama hua kuna tetemeko la 20 ama 30. Hilo ndio linapaswa kutembelea wasengerema kama hao.
 
Nchi ya Morocco ambayo hivi sasa imekumbwa na Janga Kubwa la Tetemeko la Ardhi imesema ni nchi Nne tu ndizo wameruhusu Wawasaidie ambazo ni Hispania, Uingereza, Qatar na UAE.

Kuna Taifa moja Barani Afrika ( nimelisahau Jina ) lenyewe Uturuki ilipopatwa na Janga kama hili la Morocco ilikuwa na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kwa kupeleka Msaada wa Tani za Mahindi wakati nchini Kwake tu kuna sehemu ya Mikoa ( Maeneo ) Wananchi wake wana Njaa iliyotukuka.

Kama kuna Taifa ambalo Silielewi Barani Afrika ni la Morocco kwani hata katika Fainali za Kombe la Dunia zilizopita walipofika hatua nzuri Walituruka Waafrika wengine tuliokuwa tunajivunia nao kwa kutuambia kuwa tusiwashangilie kwani Wao siyo Waafrika Wenzetu bali Wao ni Wazungu na wako Afrika ( aliko GENTAMYCINE ) kwa bahati mbaya tu.

Walipotukataa Waafrika kuwa Wao ni Wazungu kama Kawaida yetu Waafrika tulichukia na kujigawa ambapo Wengine waliwaombea Dua Baya na Wengine waliamua Kuwaroga kabisa na Wengine tuliangalia Mechi yao iliyofuata huku Tukisonya na Kununa hali ambayo ilisaidia kufanya wafanye vibaya ( Wafungwe ) na ili kuonyesha kuwa pamoja na Wamoroko kuwa na Dharau kumbe pia ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani baada ya Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni walirejea na kusema kuwa Wao ni Waafrika Wenzetu.

Haya Morocco hawataki Misaada yenu sasa nyie Jipendekezeni kupeleka Mahindi, Mcbele na Maparachjchi yenu muone kama hamkurudishwa nayo Uwanja wa Ndege au Bandarini.
Walisema wao ni waarabu na Waislam, uafrika hawautambui.
 
Nchi ya Morocco ambayo hivi sasa imekumbwa na Janga Kubwa la Tetemeko la Ardhi imesema ni nchi Nne tu ndizo wameruhusu Wawasaidie ambazo ni Hispania, Uingereza, Qatar na UAE.

Kuna Taifa moja Barani Afrika ( nimelisahau Jina ) lenyewe Uturuki ilipopatwa na Janga kama hili la Morocco ilikuwa na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kwa kupeleka Msaada wa Tani za Mahindi wakati nchini Kwake tu kuna sehemu ya Mikoa ( Maeneo ) Wananchi wake wana Njaa iliyotukuka.

Kama kuna Taifa ambalo Silielewi Barani Afrika ni la Morocco kwani hata katika Fainali za Kombe la Dunia zilizopita walipofika hatua nzuri Walituruka Waafrika wengine tuliokuwa tunajivunia nao kwa kutuambia kuwa tusiwashangilie kwani Wao siyo Waafrika Wenzetu bali Wao ni Wazungu na wako Afrika ( aliko GENTAMYCINE ) kwa bahati mbaya tu.

Walipotukataa Waafrika kuwa Wao ni Wazungu kama Kawaida yetu Waafrika tulichukia na kujigawa ambapo Wengine waliwaombea Dua Baya na Wengine waliamua Kuwaroga kabisa na Wengine tuliangalia Mechi yao iliyofuata huku Tukisonya na Kununa hali ambayo ilisaidia kufanya wafanye vibaya ( Wafungwe ) na ili kuonyesha kuwa pamoja na Wamoroko kuwa na Dharau kumbe pia ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani baada ya Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni walirejea na kusema kuwa Wao ni Waafrika Wenzetu.

Haya Morocco hawataki Misaada yenu sasa nyie Jipendekezeni kupeleka Mahindi, Mcbele na Maparachjchi yenu muone kama hamkurudishwa nayo Uwanja wa Ndege au Bandarini.
Unaonekana una stress sana ni kama mwanamke uliyeachika.
 
Back
Top Bottom