GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,653
- 109,055
Nchi ya Morocco ambayo hivi sasa imekumbwa na Janga Kubwa la Tetemeko la Ardhi imesema ni nchi Nne tu ndizo wameruhusu Wawasaidie ambazo ni Hispania, Uingereza, Qatar na UAE.
Kuna Taifa moja Barani Afrika ( nimelisahau Jina ) lenyewe Uturuki ilipopatwa na Janga kama hili la Morocco ilikuwa na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kwa kupeleka Msaada wa Tani za Mahindi wakati nchini Kwake tu kuna sehemu ya Mikoa ( Maeneo ) Wananchi wake wana Njaa iliyotukuka.
Kama kuna Taifa ambalo Silielewi Barani Afrika ni la Morocco kwani hata katika Fainali za Kombe la Dunia zilizopita walipofika hatua nzuri Walituruka Waafrika wengine tuliokuwa tunajivunia nao kwa kutuambia kuwa tusiwashangilie kwani Wao siyo Waafrika Wenzetu bali Wao ni Wazungu na wako Afrika ( aliko GENTAMYCINE ) kwa bahati mbaya tu.
Walipotukataa Waafrika kuwa Wao ni Wazungu kama Kawaida yetu Waafrika tulichukia na kujigawa ambapo Wengine waliwaombea Dua Baya na Wengine waliamua Kuwaroga kabisa na Wengine tuliangalia Mechi yao iliyofuata huku Tukisonya na Kununa hali ambayo ilisaidia kufanya wafanye vibaya ( Wafungwe ) na ili kuonyesha kuwa pamoja na Wamoroko kuwa na Dharau kumbe pia ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani baada ya Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni walirejea na kusema kuwa Wao ni Waafrika Wenzetu.
Haya Morocco hawataki Misaada yenu sasa nyie Jipendekezeni kupeleka Mahindi, Mcbele na Maparachjchi yenu muone kama hamkurudishwa nayo Uwanja wa Ndege au Bandarini.
Kuna Taifa moja Barani Afrika ( nimelisahau Jina ) lenyewe Uturuki ilipopatwa na Janga kama hili la Morocco ilikuwa na Kiherehere ( Waganda wanasema Lugezigezi ) kwa kupeleka Msaada wa Tani za Mahindi wakati nchini Kwake tu kuna sehemu ya Mikoa ( Maeneo ) Wananchi wake wana Njaa iliyotukuka.
Kama kuna Taifa ambalo Silielewi Barani Afrika ni la Morocco kwani hata katika Fainali za Kombe la Dunia zilizopita walipofika hatua nzuri Walituruka Waafrika wengine tuliokuwa tunajivunia nao kwa kutuambia kuwa tusiwashangilie kwani Wao siyo Waafrika Wenzetu bali Wao ni Wazungu na wako Afrika ( aliko GENTAMYCINE ) kwa bahati mbaya tu.
Walipotukataa Waafrika kuwa Wao ni Wazungu kama Kawaida yetu Waafrika tulichukia na kujigawa ambapo Wengine waliwaombea Dua Baya na Wengine waliamua Kuwaroga kabisa na Wengine tuliangalia Mechi yao iliyofuata huku Tukisonya na Kununa hali ambayo ilisaidia kufanya wafanye vibaya ( Wafungwe ) na ili kuonyesha kuwa pamoja na Wamoroko kuwa na Dharau kumbe pia ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani baada ya Kufungwa na Kutolewa Mashindanoni walirejea na kusema kuwa Wao ni Waafrika Wenzetu.
Haya Morocco hawataki Misaada yenu sasa nyie Jipendekezeni kupeleka Mahindi, Mcbele na Maparachjchi yenu muone kama hamkurudishwa nayo Uwanja wa Ndege au Bandarini.