ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,255
- 8,345
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni jamani. Huko kuuza nyumba za serikali ilikuwa ni shinikizo la Rais na Waziri Mkuu kwa hali hiyo mnadhani Maghufuli angefanya nini?
Kwa akili za kawaida kabisa hata kama mngekuwa ninyi (mnaomlaumu Magufuli) msingejiuzia hizo nyumba?
Jamani fisadi utamjua tu Magufuli hata kama anakula rushwa sio kama wengine, hawana hata aibu, Magufuli ni mchapa kazi bwana! Utamlinganisha Magufuli na huyo aliyeshika hiyo wizara ya miundombinu, sijui ndo Kawambwa, semeni hapa amefanya kazi gani tangu ameingia ktk hiyo wizara?
Ukiangalia nyumba aliyojenga Magufuli huko mwz huwezi kucompare na za mawaziri wengine. Compare nyumba ya waziri kijana na ya Magufuli, hizo nyumba zinatizamana ila zimetenganishwa na barabara tu ukiziangalia tu lazima utajua nyumba moja ni ya fisadi.
I like Magufuli, I appriciate his work. Big Up!
Kwa akili za kawaida kabisa hata kama mngekuwa ninyi (mnaomlaumu Magufuli) msingejiuzia hizo nyumba?
Jamani fisadi utamjua tu Magufuli hata kama anakula rushwa sio kama wengine, hawana hata aibu, Magufuli ni mchapa kazi bwana! Utamlinganisha Magufuli na huyo aliyeshika hiyo wizara ya miundombinu, sijui ndo Kawambwa, semeni hapa amefanya kazi gani tangu ameingia ktk hiyo wizara?
Ukiangalia nyumba aliyojenga Magufuli huko mwz huwezi kucompare na za mawaziri wengine. Compare nyumba ya waziri kijana na ya Magufuli, hizo nyumba zinatizamana ila zimetenganishwa na barabara tu ukiziangalia tu lazima utajua nyumba moja ni ya fisadi.
I like Magufuli, I appriciate his work. Big Up!