Tetesi: Mojtaba Ali Khamenei kumrithi Ayatollah Ali Khamenei baada ya kuuawa baba

Tetesi: Mojtaba Ali Khamenei kumrithi Ayatollah Ali Khamenei baada ya kuuawa baba

View attachment 3550408
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.

Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
Rejea vizuri historia ys Iran ndugu,kwanza hakuna mtu mmoja aliyetangazwa kumrithi Ali Khamenei.Pili Ali Khamenei hana mtoto anayeitwa Mujtaba.Mujtaba Khomeini ni mjukuu wa Ayatollah Ruhollah Khomeini,kiongozi wa waislamu wa Irani aliyempindua Mohamed Reza Pahlav,Shah wa Iran
 
View attachment 3550408
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.

Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
Huyo mojtaba ana roho mbaya kumzidi muuaji Samia?
 
Kizazi cha Khamenei kitaisha na kubaki kuwa sehemu ya historia mbaya duniani.
 
Eye in the Sky...
Siku sio nyingi tutasikia msiba mwingine
 
Ili utulivu urejee Iran na middle east ni lazma Hilo Baraza la Mapinduzi livunjwe na lisambaratike kwa namna yoyote yeyote atakayerithi madaraka na kutaka kuendeleza misimamo ya Ayytolah lazma apokee kichapo tu
 
Trump alitaka mabadiliko ya serikali (regime change). CIA yake mwenyewe ilimwambia kuwa kumuua Khamenei kunaweza kufanya mambo kuwa mabaya zaidi. Alifanya hivyo hata hivyo.
Tathmini hiyo ilitengenezwa wiki mbili zilizopita. Ikiwa Khamenei atakufa, makamanda mahiri wa IRGC wana uwezekano mkubwa kuchukua madaraka, wanaume ambao utambulisho wao wote ni wa kijeshi, si wa kitheolojia.

Anafanya kazi kupitia mamlaka ya kidini, ujanja wa kisiasa, na kujizuia kwa makini. IRGC inafanya kazi kupitia bunduki.

Hii ndiyo somo la Iraq ambalo Marekani haijawahi kujifunza. Muue Saddam, upate ISIS. Haribu kilele... na uachilie kitu kibaya zaidi kutoka chini.
CIA haikusema "usifanye". Walisema: usidhani kuua kiongozi kunamaliza utawala. Iran ni mfumo, si inashikiliwa na mtu mmoja.

Kiongozi Mkuu (Supreme Leader) ndiye uso wake. IRGC ndiyo mifupa yake. Trump aliwaambia watu wa Iran usiku huu kuchukua fursa na kuamka.
Lakini ikiwa Khamenei amekufa na IRGC ichukue udhibiti, watu wanaoinuka hawata kabiliana na Ayatollah mzee anayezeeka.
Wanaweza kukabiliana na askari ambao hawana chochote cha kupoteza tena.
IRGC nao wataliwa vichwa tuu, waache ufadhiri wa vikundi kama hezbolla na nuclear mambo yaishe
 
View attachment 3550408
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.

Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
Yaani huyu vita ikiendela zaidi wanakula kichwa mapema sana

Tatizo kubwa ninalo liona ndani ya Iran na nchi nyingi za Kiarabu/Islam ni kuwa Mossad wamepandikiza moles kila kona.

Hata akiongoza akiwa chini ya mashimo kama panya watamfikia tu labda akubali matakwa ya Israel/USA
 
View attachment 3550408
Baraza la Mapinduzi la Iran limemtangaza Mojtaba Khamenei (Mtoto wa Ali Khamenei- RIP) kuwa kiongozi mkuu wa Iran.

Ali Khamenei alimlea akimlea na kumwandaa kwa miongo kadhaa mwanawe mwenye roho mbaya, Mojtaba, ili awe kiongozi mkuu ajaye.
Yeye ni mbaya zaidi kuliko baba yake.
Baraza la mapinduzi halina hayo mamlaka
 
Rejea vizuri historia ys Iran ndugu,kwanza hakuna mtu mmoja aliyetangazwa kumrithi Ali Khamenei.Pili Ali Khamenei hana mtoto anayeitwa Mujtaba.Mujtaba Khomeini ni mjukuu wa Ayatollah Ruhollah Khomeini,kiongozi wa waislamu wa Irani aliyempindua Mohamed Reza Pahlav,Shah wa Iran
Unaandika utumbo unajifanya uko deep sana. Waislamu wa Bonyokwa bana shida sana. Haya bishana na Wikipedia hapa:-
Screenshot_20260301_110722_Wikipedia.jpg
 
Huyo mojtaba ana roho mbaya kumzidi muuaji Samia?
Wale wahalifu wa Oktoba 29 waliokuwa wanachoma miundombinu walistahili walichopata. Bila risasi wale walikuwa wanaipeleka nchi yetu pabaya
 
Yaani huyu vita ikiendela zaidi wanakula kichwa mapema sana

Tatizo kubwa ninalo liona ndani ya Iran na nchi nyingi za Kiarabu/Islam ni kuwa Mossad wamepandikiza moles kila kona.

Hata akiongoza akiwa chini ya mashimo kama panya watamfikia tu labda akubali matakwa ya Israel/USA
Kuna Mossad agents zaidi ya 800 ndani ya Iran
 
Wale wahalifu wa Oktoba 29 waliokuwa wanachoma miundombinu walistahili walichopata. Bila risasi wale walikuwa wanaipeleka nchi yetu pabaya
Kwa akili yako CCM na majambazi mengi yaliyoko huko akiwemo mwigulu uliyekuwa unampigia kelele magu amtumbue ndo wanaipeleka nchi pazuri?
 
Huo ndo uwendawazimu. unashambuliwa na Washington unajibu mapigo kwa kupiga Doha.

Kubalini tu Iran bado sana na pia aache kiburi. Watamnyoosha.
Sidhani kama ni uwendawazimu.

Ipo hivi, Hizo nchi zinapigwa na Iran kwa sabb Iran ame-target military bases za USA zilizopo kwenye nchi hizo.
Hizi military bases za USA zipo karibu na Iran, so zinaweza kutumika kuishambulia Iran kwa karibu zaidi.

Iran kupiga hivyo vituo vya kijeshi vya USA katika hizo nchi, bila shaka ni katika mpango wa Iran wa kujihami na kujilinda.
 
Nao wanakubalije kushika nafasi hizo ambazo kwa maisha yako yote unakuwa unaangalia nyuma ya mabega?

Hata washkaji zako unawaweka kwenye target ya kuwa chambo muda wowote.
 
Back
Top Bottom