Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,944
- 12,509
Duh! hii ni moment ambayo wengi tunatamani tuijue ila ni wachache kwakizazi hiki. Ukifa umewaaga ndugu jamaa na marafiki huwa kuna utulivu wa nafsi naamini. Brother Mshana Jr ukujeKuna mama mmoja amefariki last satoo...nifamous Sana Moro...anahotel inalishaga mabasi yanayotoka dar-dom...hotel yake ilikua inaitwa mama Nelly..
Ameamka salama saa11 akajipima BP na sukari...akamwambia mumewe mhh leo bp silielewi Mara 220 Mara 240! Akamwambia mumewe nipime wewe...mume kupima ikawa 240! Hapo amekaa bed mzima wa afya..akamwambia mumewe Ila leo najisikia vby..siku zote mume wangu naugua Ila Leo naamini Nakufa..niombee niliowakosea wanisamehe..
Unaambiawa week Zima kutoka jmatu alikua anavaa suti na kofia zake ..akivaa blak bas had kofia...akifika job anawaambia wafanyakzi nipigen picha niwatumie wanangu .unaambiwa Alivaa white..black..brown had ijumaa...akipigwa picha anatuma kwa mume na mchungaji na watoto wake woote..anawaambia nioneni wanangu nilivyopendeza..
Usiku aliofariki unaambiwa alikua anamwambia mumewe leo naomba unikumbatie...bas bed akawa anamtake care balaa mumewe...anamuongelesha had saa6! Sasa mumewe akawa anajiuliza Ina maana mke wangu hajachoka leo? Mbona had nw ananiongelesha tu?naskia akawa anamsongelea mumewe anamfunika na shuka..anamkumbatia kana kwamba Kuna baridi...bas alipopimwa BP saa12 akaanza kuvomit..akamwambia mumewe nipeleke hossy.....wakambeba na dada wa kazi...wanafika mkoa ashafariki...
Kifupi Yule mama alimuaga mumewe na wanaye kabisaaa! Imagine mke anakuambia niombee nilowakosea leo sitapona😭😭!Kuna vifo vyepesi had raha..

!ukisikia definition ya mwanamke mpiganaji Yule mama nishamvhliaga kifua .alikua anajua kuitafuta Sana hela. Kifupi kaacha millions ndefu bank...lol




