Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,160
- 72,200
aisee
Nna wasi wasi na wewe kama wewe sio FaizaFoxy basi utakuwa mdogo wakeNaona umegundua blunder yako....
Unajaribu kuweka sawa... Malizia na kigezo cha dini blaza.
"kumbuka wale wawekewao picha zao ni wale tu wakr...sto"
Mkuu huyo ni ww?INGEWEZEKANA, NINGEPENDA SANA JENEZA LANGU LIPAMBWE NA PICHA YANGU ILIYOPIGWA KAMA HII!
I LOVE MARINE LIFE!![]()
Mkuu nimecha ckusoma thread zakoaISEE NGOJA NA MIMI NIANZE KUCHAMBUA ZANGU...WALAU NIWAPE TOP FIVE, WACHAGUE MOJA.
Mkuu nimecha ckusoma thread zako
umeona eeeh mi usiku naogopa kufungua thread zakeDah mshana bwana kwa kupenda mambo ya kufa kufa.... Halafu basi ataungekua unaposti mchana, unasubiri usiku watu tumelala, tumeshtuka kidogo usingizin tunapita Jf tunakutana na mambo yako ya kufa kufa, mara mida ya wanga
Dats Good Family itakuwa na Furaha Kuwa pamoja nawe ktk likizo fupiLikizo fupi![]()
Ungekuwa na tabia kama yangu ya kuangalia Horror movies kabla ya kulala usingeogopaumeona eeeh mi usiku naogopa kufungua thread zake