Mojawapo kati ya picha zako

Mojawapo kati ya picha zako

JamiiForums563488382.jpg
 
Technology imerahisisha ulozi,siku hizi unamloga mtu kupitia picha yake unaidowload kwenye social media tu.
Ukiipata picha ya mtu umeyapata maisha ya mtu, wazazi msiweke picha za watoto kwenye mitandao ni rahisi kwa wachawi kuharibu future ya watoto wenu.
Kama ni picha mtunzie kwenye email yake
 
Dah mshana bwana kwa kupenda mambo ya kufa kufa.... Halafu basi ataungekua unaposti mchana, unasubiri usiku watu tumelala, tumeshtuka kidogo usingizin tunapita Jf tunakutana na mambo yako ya kufa kufa, mara mida ya wanga
 
AMEPOTEA AMEPOTEA AMEPOTEA

Pichani ni Oscar Robart Mgowole

Ana umri wa miaka 43, kazi yake ni Mhasibu,mkazi wa Dar es saalam.

Amepotea toka tarehe 20 May 2024 alipokuwa ameenda Dodoma kuripoti kwenye shitaka lake lililokuwa linakabiliwa ,Kituo cha Polisi Kati Dodoma.

Alifikia Lodge ya kulala wageni , ili siku husika (kesho yake) aeeze kuripoti kituo cha polisi Kati Dodoma,

Lakini haikuwa hivyo; kwani asubuhi kulipokucha iligundulika hayupo chumbani kwake alipofikia.

Polisi wa kituo cha Polisi kati, Dodoma, ambako alitakiwa kwenda kuripoti siku hiyo, wanasema hakwenda kuripoti na wala hawajui yupo wapi.

Simu za Oscar Robart Mgowole zikawa hazipatikani kuanzia siku hiyo hadi leo hii.

Yoyote atakayepata taarifa zitakazo fanikisha kumpata Bwana Oscar Robart Mgowole

anaweza kuwasiliana na familia yake kupitia namba ya mke wake Oscar ambayo ni +255 689 026 411

Watu wanaisha Jamani 😭😭😭😭😭
 

Attachments

  • 20240529_082702.jpg
    20240529_082702.jpg
    165.9 KB · Views: 13
AMEPOTEA AMEPOTEA AMEPOTEA

Pichani ni Oscar Robart Mgowole

Ana umri wa miaka 43, kazi yake ni Mhasibu,mkazi wa Dar es saalam.

Amepotea toka tarehe 20 May 2024 alipokuwa ameenda Dodoma kuripoti kwenye shitaka lake lililokuwa linakabiliwa ,Kituo cha Polisi Kati Dodoma.

Alifikia Lodge ya kulala wageni , ili siku husika (kesho yake) aeeze kuripoti kituo cha polisi Kati Dodoma,

Lakini haikuwa hivyo; kwani asubuhi kulipokucha iligundulika hayupo chumbani kwake alipofikia.

Polisi wa kituo cha Polisi kati, Dodoma, ambako alitakiwa kwenda kuripoti siku hiyo, wanasema hakwenda kuripoti na wala hawajui yupo wapi.

Simu za Oscar Robart Mgowole zikawa hazipatikani kuanzia siku hiyo hadi leo hii.

Yoyote atakayepata taarifa zitakazo fanikisha kumpata Bwana Oscar Robart Mgowole

anaweza kuwasiliana na familia yake kupitia namba ya mke wake Oscar ambayo ni +255 689 026 411

Watu wanaisha Jamani 😭😭😭😭😭
 
AMEPOTEA AMEPOTEA AMEPOTEA

Pichani ni Oscar Robart Mgowole

Ana umri wa miaka 43, kazi yake ni Mhasibu,mkazi wa Dar es saalam.

Amepotea toka tarehe 20 May 2024 alipokuwa ameenda Dodoma kuripoti kwenye shitaka lake lililokuwa linakabiliwa ,Kituo cha Polisi Kati Dodoma.

Alifikia Lodge ya kulala wageni , ili siku husika (kesho yake) aeeze kuripoti kituo cha polisi Kati Dodoma,

Lakini haikuwa hivyo; kwani asubuhi kulipokucha iligundulika hayupo chumbani kwake alipofikia.

Polisi wa kituo cha Polisi kati, Dodoma, ambako alitakiwa kwenda kuripoti siku hiyo, wanasema hakwenda kuripoti na wala hawajui yupo wapi.

Simu za Oscar Robart Mgowole zikawa hazipatikani kuanzia siku hiyo hadi leo hii.

Yoyote atakayepata taarifa zitakazo fanikisha kumpata Bwana Oscar Robart Mgowole

anaweza kuwasiliana na familia yake kupitia namba ya mke wake Oscar ambayo ni +255 689 026 411

Watu wanaisha Jamani 😭😭😭😭😭
Interrogation went wrrong.
 
Back
Top Bottom