Moja ya stoo za creti kiwanda cha bia (TBL) imeungua moto

Teh teh teh mpwa Ze bingwa si ndo hao wamesha ungua!
Siku jua kama Ze Bingwa ni ya TBL.....ila mpwa naona wee unafaa kunywa Ze Pingu. me itabidi nirudie kunywa Mbege
 
Last edited:
Balimi ndio bia gani tena hiyo mkuu? ndio kwanza naisikia toka kwako?

BALIMI ni product ya TBL Mwanza plant. niliwahi kuionja kipindi fulani nikiwa kanda ya ziwa. huwa inaishia kule kule kanda ya ziwa. Ni kali zaidi ya Bingwa!!!
 
Hii ni hujuma kabisa, kwanini viwanda vya maji ya uhai ama vya coca cola na pepsi hajaungua?

....May be kwa vile siyo miongoni mwa vile vitakavyopata mgao wa ECONOMIC RESCUE PACKAGE

....Uchaguzi ukiwa ukingoni we can't rule anything out right now!
 
Je ni conspiracy Serengeti wamafanyia TBL ili wauze zaidi??

TuskerBaridii mzee tushauri: tupate nini mbadala??
 
BALIMI ni product ya TBL Mwanza plant. niliwahi kuionja kipindi fulani nikiwa kanda ya ziwa. huwa inaishia kule kule kanda ya ziwa. Ni kali zaidi ya Bingwa!!!
Ahsante mkuu kwa kunifahamisha.kali zaidi ya Bingwa? kipindi cha nyuma ili semekana kuwa wa nywaji wa Ze Bingwa walikuwa wanapoteza funguo baada ya kupata hiyo kitu! Vipi kwa Upande wa BALIMI? pombe nyingine ni kujitafutia matatizo tu.
 
Siku jua kama Ze Bingwa ni ya TBL.....ila mpwa naona wee unafaa kunywa Ze Pingu. me itabidi nirudie kunywa Mbege

Duh Pingu noma mkuu ni bora nirudi kule kule kwenye Ze Konyagi kwa saaana.
 
bia kibao mbona?godowns zipo, serengeti zipo,arusha mwanza wataleta dar, after all siku hizi watz hawanywi saana so hamna shida, heinken, wines, whisky, wanzuki, so wasiwasi wa nini?
 
Ni bora kiteketee kabisa, maana pombe imerudisha maendeleo ya watu wengi nyuma Tanzania!!

umetumwa nini wewe, shindwa na ulegee, unajua TBL inachangia kiasi gani kwenye kodi pale TRA?, alaah
 
Ishu sio insurance, vinywaji tuta pata wapi??????


KWANGU mimi ishu ni mali na ajira za watu na siyo pombe ndugu yangu... utakunywa vileo vingine - kuna mvinyo, whisky,brandy, rum, ciders, gin za kizungu na kienyeji, kuna pombe kibao za kienyeji - kimpumu,komoni, banana wine,chang'aa, mbege,ulanzi, lubisi,etc.Siyo lazima unywe za TBL.
 
naona wazee wa BANANA na CHANGAA BILA KUWASAHAU WENZANGU WA KONYAGI WANAGONGANISHA GLASS,.......KAZI IPO..,,MSIOGOPE KUHAMIA KWINGINE....

ujue hata konyagi iko chini ya kampuni mama ya tbl yaani sabmiller
 
I wish kingeungua chote kikaisha kikawa jivu, wala kusingekuwa na shida yoyote, bahati mbaya yameungua makreti tu. Ahhhhhhhhh:D:D:D
 



PRESS RELEASE
For immediate release


FIRE AT DAR ES SALAAM PLANT EMPTIES STORAGE AREA

Dar es Salaam 29th July 2009

On the 29th July 2009 at around 1 am a fire was detected in the Empties Storage Yard by G4S Security personnel on duty. They attempted to extinguish the fire which seemed to be small enough at the time for them to try and extinguish. When it became apparent that they would not be able to successfully extinguish the rapidly spreading fire, they immediately called in the Dar es Salaam City Fire Services, Ultimate Security Fire Services, Knight Support and Tanzania Ports Authority Fire Tender, as well as TANESCO to switch off the power network in the area.

With lots of courage from the fire service departments and many TBL employees, the fire was contained at around 3 am to the extensive destruction of the crates and bottles and some damage to the new Line Five Packaging Line equipment currently being installed. It is with luck that no serious injury to both the fire tenders and TBL employees was recorded.

The cause of this damaging fire is still unknown, and at current TBL Management is establishing the extent of damage to property and stock, and as soon as clearing of the site is completed production of beer products will be brought back to normal. TBL would like to assure all of its customers that it has sufficient stocks of finished products at hand, deliveries and orders will continue to be honoured as normal.

On behalf of TBL Board and Management, we would like to thank all individuals who have gone beyond the call of duty in helping us save what could have turned out to be a much bigger disaster, in particular Dar es Salaam City Fire Services, Ultimate Security Fire Services, Knight Support, Tanzania Ports Authority, TANESCO, Police Force, G4S Security Services, our Mchikichini neighbours and the Press and not to forget all best wishers who sent us messages of encouragement and sympathy.

We shall continue to give you an update of developments as more findings unfold.



R.M. Goetzsche
Managing Director;Tanzania Breweries Ltd.
Operations Director, SABMiller East Africa


For further Information:
Corporate Affairs & Communications Office, +




About TBL

Tanzania Breweries Limited (TBL) manufactures sells and distributes clear beer, alcoholic fruit beverages (AFB’s) and non-alcoholic beverages within Tanzania. TBL has controlling interests in Tanzania Distilleries Limited, and associated company, Mountainside Farms Limited.

TBL’s most popular clear beer brands include Safari Lager, Kilimanjaro Premium Lager, Ndovu Special Malt, Castle Lager, Pilsner Lager and Tusker Lager. Other prominent brands associated with the TBL group are Konyagi Gin, Amarula Cream, Redds Premium Cold and Konyagi Ice.

The TBL group is listed on the Dar es Salaam Stock Exchange, employs about 1,300 people and is represented throughout the country with 3 clear beer breweries, a distillery, a maltings facility and 8 distribution depots.

About SABMiller
SABMiller plc is one of the world’s largest brewers with brewing interests or distribution agreements in over 60 countries across five continents. The group’s brands include premium international beers such as Miller Genuine Draft, Peroni Nastro Azzurro and Pilsner Urquell, as well as an exceptional range of market leading local brands. Outside the USA, SABMiller plc is also one of the largest bottlers of Coca-Cola products in the world. Recently SABMiller Plc acquired Foster’s brand in India and its operations.

SABMiller plc is listed on the London and Johannesburg stock exchanges.



 
Are you serious?

Una tatizo na Hilo Mkuu.....Beer toka Umeisikia Unajua ilikuwa inauzwa ngapi?Ni kila siku bei inapanda na production inapanda na wanywaji wanaogezekan...kula vijana uko shule tu zimewabana wanaomba waanze kazi wakamate pesa yao na kuanza kunywa.
 
Kwa hiyo una shauri watu wafuate misingi ya Uislamu wakati wa Ramadhani tu? Kwa nini usi wasihi wafanye hivi siku zote?

Jamaa wana utakatifu wa msimu. Hata walaji wa kitimoto (nguruwe) hupungua sana wakati wa mfungo wa Ramadhani. Taaaabu kwelikweliiiiiii!
 
Back
Top Bottom