CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,942
- 9,462
Wanao faidika na wingi wa Hoteli za kitalii au Camps hapa Tanzania au wingi wa watalii ni foregners, na sio sisi Watanzania. Sababu iko wazi.
Kule Iringa kuna yule Mafisio, yule Mzungu anailisha Zanzibar yote, analisha Dar hotels na Super Market zote, anailisha Arusha hoteli zote na Super Market Anailisha ile Singita Grumet Hoteli ile hotel ya iana yake pale Serengeti, analisha hizi Internationa schoos zote za Arusha, sisi hatuna habari.
Yule Mzungu anafanya kulemewa kuna wakati hana mzigo kabisa na anafanya kuomba wabongo wa subcontract ila ndio kama hivyo sisi tuko busy na nazao ya urithi wetu.
Sisi Watanzania tumekalia kuzodoana tu.
Arusha kule kuna Simba Farm Mzungu analisha Hotel na Camp zote.
Fikiria Katavi National Park Hotels zote mboga mboga na matunda zinatokea Arusha kwa wazungu, sasa wape wazo watu wa Katavi hawatakuelewa kabisa wataona ni utapeli mkubwa sana na ni wizi.
Fikiria ndani ya nchi yetu ila wanao supply matunda na Mboga mboga ni wageni wanao lima hapa hapa Tanzaniaz sisi tuko busy kuzodoana na tu.
Mimi huwa naumia sana kuona kwamba Wazungu ndio wanao faidika na hata wingi wa Watalii Tanzania hii na sio sisi Wazawa.
Sisi tuendelee kuzodoana na kukomaa na kilimo cha urithi wetu.
Siku ujinga ukituisha tutaamka tupambane nao kwenye bishara ingawa itakuwa too late.
Kule Iringa kuna yule Mafisio, yule Mzungu anailisha Zanzibar yote, analisha Dar hotels na Super Market zote, anailisha Arusha hoteli zote na Super Market Anailisha ile Singita Grumet Hoteli ile hotel ya iana yake pale Serengeti, analisha hizi Internationa schoos zote za Arusha, sisi hatuna habari.
Yule Mzungu anafanya kulemewa kuna wakati hana mzigo kabisa na anafanya kuomba wabongo wa subcontract ila ndio kama hivyo sisi tuko busy na nazao ya urithi wetu.
Sisi Watanzania tumekalia kuzodoana tu.
Arusha kule kuna Simba Farm Mzungu analisha Hotel na Camp zote.
Fikiria Katavi National Park Hotels zote mboga mboga na matunda zinatokea Arusha kwa wazungu, sasa wape wazo watu wa Katavi hawatakuelewa kabisa wataona ni utapeli mkubwa sana na ni wizi.
Fikiria ndani ya nchi yetu ila wanao supply matunda na Mboga mboga ni wageni wanao lima hapa hapa Tanzaniaz sisi tuko busy kuzodoana na tu.
Mimi huwa naumia sana kuona kwamba Wazungu ndio wanao faidika na hata wingi wa Watalii Tanzania hii na sio sisi Wazawa.
Sisi tuendelee kuzodoana na kukomaa na kilimo cha urithi wetu.
Siku ujinga ukituisha tutaamka tupambane nao kwenye bishara ingawa itakuwa too late.