Moja ya sababu kwa ndoa za kisasa kuyumba na kuvunjika hovyo hovyo ni kufifia kwa matumizi ya limbwata.

Ncha Kali

JF-Expert Member
Sep 19, 2019
15,000
28,146
Nasemajeeee?

Huu ni ukweli ambao wengi wetu kwa kujua ama kutojua hatuusemi.

Ukiacha mila za jando na unyago, hizi kitchen parts zimethibitika kukosa msaada wa kutosha kuimarisha ndoa.

Tumeiga mifumo iliyofeli kutokea huko ilikotoka, tukaikumbatia na kuacha mifumo yetu.

Sasa basi, unaambiwa kufifia kama sio kupoa kwa matumizi ya limbwata ni moja ya sababu kubwa za ulegevu wa ndoa zetu za kisasa.

Zamani mume ilikuwa ni lazima unyooshwe. Yaani ni kama tu unavyonunua gari na kitu cha kwanza unawaza 'kuipimpu'. Mke ilikuwa lazima akupimpu ili ukae sawa.😀😀

Siku hizi mke hana hofu wala aibu yoyote kumpoteza mume wake, zamani mume ilikuwa kitu cha hadhi na heshima kubwa.

Lazima alindwe kwa gharama yoyote, na kwa kiasi kikubwa ilikuwa limbwata.... na ilizaa matunda.

Siku hizi wake zetu akijitahidi saaaana kukulinda basi atakuwa na kichupa cha mafuta ya upako, ambapo wengi wao huwa wamepigwa mizeituni tupu.

Kizamani kisasa, sio kila zamani haifai.😊😊

Ncha Kali.
 
Hoja kubwa inayofanya ndoa zisidumu ni kufuata material things kwenye ndoa kuliko upendo wa dhati.

Wanawake wanapenda pesa kuliko mtu, pesa zikiyumba na ndoa imefia hapo.
Hahaha acha uoga tulia utulizwe ili ndoa idumu Daima na milele.
 
Nasemajeeee?

Huu ni ukweli ambao wengi wetu kwa kujua ama kutojua hatuusemi.

Ukiacha mila za jando na unyago, hizi kitchen parts zimethibitika kukosa msaada wa kutosha kuimarisha ndoa.

Tumeiga mifumo iliyofeli kutokea huko ilikotoka, tukaikumbatia na kuacha mifumo yetu.

Sasa basi, unaambiwa kufifia kama sio kupoa kwa matumizi ya limbwata ni moja ya sababu kubwa za ulegevu wa ndoa zetu za kisasa.

Zamani mume ilikuwa ni lazima unyooshwe. Yaani ni kama tu unavyonunua gari na kitu cha kwanza unawaza 'kuipimpu'. Mke ilikuwa lazima akupimpu ili ukae sawa.

Siku hizi mke hana hofu wala aibu yoyote kumpoteza mume wake, zamani mume ilikuwa kitu cha hadhi na heshima kubwa.

Lazima alindwe kwa gharama yoyote, na kwa kiasi kikubwa ilikuwa limbwata.... na ilizaa matunda.

Siku hizi wake zetu akijitahidi saaaana kukulinda basi atakuwa na kichupa cha mafuta ya upako, ambapo wengi wao huwa wamepigwa mizeituni tupu.

Kizamani kisasa, sio kila zamani haifai.

Ncha Kali.
Ndoa+limbwata=familia ya misukule
 
Acheni kupindisha mambo ndoa za siku hizi zimejaa matatizo kwa sababu ya jamii yetu imeendekeza uzinzi kupitiliza.
Kwa sababu asilimia 99 ya ndoa huwa zinaingia kwenye matatizo chanzo huwa ni kutokuwa na uaminifu kwenye ndoa.
Kusingizua umasikini sijui nini ni visingizio visivyo na mantiki kwa sababu hata wenye fedha na ndoa zao zimejaa matatizo.

Siku hizi mtu asipo kuwa mzinzi ataonekana mshamba na domo zege
 
Ndoa zinayumba sababu tendo la ndoa limekuwa biashara watu wapo huru kuuza na kununua ngono bila kuchukuliwa hatua yeyote kama vile umalaya/prostitution siyo kosa la jinai, Mke haoni faida ya ndoa wkt akiwa na madanga/clients kama 7 wa nguvu anapata mahitaji yote muhimu. Dawa ni Sharia au Torati zipitishwe kama sheria, ndoa hazitayumba. Tumeiga umarekani ambako ndoa zinakufa kwa wingi.
 
Hoja kubwa inayofanya ndoa zisidumu ni kufuata material things kwenye ndoa kuliko upendo wa dhati.

Wanawake wanapenda pesa kuliko mtu, pesa zikiyumba na ndoa imefia hapo.
Mnavyofataga shepu nani anawalalamikia? Mnazalisha watoto wa watu kijijini unamuona sio type yako unakuja kuzoa ngurumbembe mjini lazima umwite gold digger
 
Back
Top Bottom