Hanifer Mjanja
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 216
- 327
Kuna kaka (baba) mmoja anakopesha kwa riba, akawa ana date dada mmoja mke wa mtu.... Yule dada na mumewe wakapata dharura, akashauri mumewe wakope pesa kwa mchepuko (mumewe hajui kama mkopeshaji ana date na mkewe) wakaweka nyumba yao kama dhamana.
Penzi likanoga, mume akimpa mke marejesho akabidhi mke anakula akijua baby wangu(mchepukowe) hana noma... Kaka mkopeshaji yeye ana count tu deni na riba inaongezeka, alimuuliza yule dada vipi mumeo mbona pesa hakipi anamwambia baby bhana tuna hili na lile pesa nitakupa mimi.
Kumbe marejesho anapewa ananunua vipodozi na nguo nzuri apendeze kwa mchepuko mkopeshaji...
Kikichokuja kutokea...
Kaka mkopeshaji anakoishi sasa ndio ile nyumba ambayo dada na mumewe waliweka dhamana...
Ilibidi aibinafsishe maana deni na riba ilikuwa kubwa ikashindikna kulipwa. Bibie alijua wako kwenye mapenzi pesa halipi kaka yeye biashara yake na mapenzi havina uhusiano.
Ndoa ile iliingia migogoro ikafa, na yule baba hakukawia nae akafariki, yule dada alihama mji... Imebaki historia chungu japo watu huwa wanamlaumu kaka mkopeshaji kuwa hakuwa na utu. Akamlia mkewe na nyumba akabeba.
My take: WANAWAKE TUACHE TAMAA!
Penzi likanoga, mume akimpa mke marejesho akabidhi mke anakula akijua baby wangu(mchepukowe) hana noma... Kaka mkopeshaji yeye ana count tu deni na riba inaongezeka, alimuuliza yule dada vipi mumeo mbona pesa hakipi anamwambia baby bhana tuna hili na lile pesa nitakupa mimi.
Kumbe marejesho anapewa ananunua vipodozi na nguo nzuri apendeze kwa mchepuko mkopeshaji...
Kikichokuja kutokea...
Kaka mkopeshaji anakoishi sasa ndio ile nyumba ambayo dada na mumewe waliweka dhamana...
Ilibidi aibinafsishe maana deni na riba ilikuwa kubwa ikashindikna kulipwa. Bibie alijua wako kwenye mapenzi pesa halipi kaka yeye biashara yake na mapenzi havina uhusiano.
Ndoa ile iliingia migogoro ikafa, na yule baba hakukawia nae akafariki, yule dada alihama mji... Imebaki historia chungu japo watu huwa wanamlaumu kaka mkopeshaji kuwa hakuwa na utu. Akamlia mkewe na nyumba akabeba.
My take: WANAWAKE TUACHE TAMAA!