Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
7.7 m kwa alietoka direct from school, je mwenye miaka 30 ya uzoefu analipwa shilingi ngapi?
Tafakari chukua hatua
say no to boycott, say no to mob psychology
say yes to humanity, say yes to logical thinking
unapotoa michango shilikisha ubongo wako na siyo hayo makamasi yako....madai ya madaktari yako 12 kwanini mmeshikila la mshahara, vipi vitenea kazi kama CT Scan na wangonjwa kulazwa chini...na kama tatizo ni mshahara kwani Ngonyani yule la saba anapata kiasi gani kwa mwaka.....