GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Si ndio maana wamemuachia Muhimbili yake hawana shida na mshahara wake akawaleta hao wa Iran waliomhonga suti watibu wananchi
Well done , ndivyo wanavyotakiwa kufanya na mie nawapongeza kwa hatua yao hiyo, ila mpaka sasa hakuna aliyeandika barua yakuacha kazi , na naomba uwashauri sasa waandike barua ili km kuna mafao yao yaweze kuwa processed , wapewe na waondoke wakatafute maslahi wayatakayo.