MOI Wajiunga Tena na MGOMO

MOI hawakujua kuwa kurudi jana kazini ilikuwa ni mbinu ya kukatisha mwendelezo wa kutokuwepo kazini kwa zaidi ya siku tatu kinyume cha sheria mwajiriwa anahesabika kuwa amejifukuza kazi. Wanaanza tena leo na wataaendelea na mgomo mpaka wiki ijayo ambapo watarudi tena siku moja au mbili wanagoma tena

mh style ya panya kuchezea sharubu za paka
 
Kutokana na Taarifa toka TBC, wananchi tunatambua kuwa Muhimbili ni kituo cha afya ru. Hospitali ya RUFAA kwa hivisasa ni LUGALO. Kwahiyo ni vigumu sana kwa serikali kustuka hivi sasa, maana imeshatupatia mbadala wa uhakika.[/QUOTE

Hivi kwa akili yako kinachoipa sifa ya hospital kuwa ya rufaa ni majengo au wataalam waliopo?
 
Mkwara kwa kitoooooooto kwa Amiri jeshi mkuu!

Watu wamekasirika kusikia mgomo umemalizika.

Hahahahaha, mnataka umaarufu wa kisiasa kwa kutumia roho za masikini wa watu?

Shame

Amiri Jeshi Mkuu Kabwana Dr Ulimboka anamtoa Makasi,stress juu ya stress nothing is moving atajuta kuwajua Madaktari
 
Good.
Kama ni hivyo kwanini basi madai yao yasitekelezwe ili matatizo yaishe.
watendelea kugoma indefinitely.
Beware, mtaingia kwenye mgomo huu soon ninyi mnaopinga,

Sikushangai kwa maneno yako kwani hata Avatar yako inadhihirisha hilo. Dah, unapenda migomo!
 
HIvi sinasikia Rais wetu ni dokta, sasa yabidi akawatibie hao wagonjwa. ili kuonesdha kweli anamaanaisha anachoongea
 
SIDHANI SPECIALISTS KAMA DR. ANTHONY, PROF. MUSERU, PROF. KAHAMBA, DR. NUNGU NK. NK. AMBAO WAKO VERY SMART WANAWEZA KUFANYA UPUUZI KAMA HUU!
THIS IS NON SENSE AND VERY STUPID! I THINK MLETA MADA ANA AGENDA YAKE YA SIRI!
Kwani ugomvi mkuu, we si uende ukatibiwe nao hao uliowataja kama wako kazini!!
 
Mkwara kwa kitoooooooto kwa Amiri jeshi mkuu!

Watu wamekasirika kusikia mgomo umemalizika.

Hahahahaha, mnataka umaarufu wa kisiasa kwa kutumia roho za masikini wa watu?

Shame

CCM wanaendelea kutibu magonjwa nyemelezi ya UKIMWI na hawajagundua dawa ya kutibu magonjwa yanaowakabiri watz kwa sasa ikiwemo la madaktari, inakuwaje kupaka rangi bodi ya gari ambayo imeshaliwa na kutu? Sasa hivi CCM inaongoza kwa tabu sana nchi hii ni baada ya watu kutambua haki zao. Na bado mpaka mtaogopa kuchukua fomu za kugombea urahisi na ubunge. Hatutaki tena ubabaishaji wenu.

Halafu mnawapakazia wapinzani, wangesimama na kukanusha kwamba kinachodaiwa na madaktari ni uwongo na hali iko hivi. Mishahara duni, maisha duni, huduma duni, vitu bei juu unategemea wapinzani waangalie tu?
 
Safari hii Liwalo na Liwe, Dhaifu sijui watasema nini?
Madokta kutoka Iran haiwezekani tena, washalikororoga na bendera zao.

Sasa hapa tukisema wabunge wa WASHWA WASHWA na chama chao kinatetea migomo km ilivyo andikwa kwenye hotuba yenu mtakataa? Washwa washwa bana , mna matatizo makubwa
 
Mapambano ndo yanaanza Lugalo 80% yao ni MA na AMO

Unafikiri kusomea udaktari bingwa mchezo? geshi lenyewe tu si la kisasa ni la kizamani la kutumia maguvu je huo udaktari watauweza? msitake kudharau taaluma za watu acheni madaktari wadai haki zao bwana wanastahili. Bila kugoma huwezi kusikilizwa
 
Sasa hapa tukisema wabunge wa WASHWA WASHWA na chama chao kinatetea migomo km ilivyo andikwa kwenye hotuba yenu mtakataa? Washwa washwa bana , mna matatizo makubwa

Kugoma ni haki ya kila mtanzania, Chama hakitetei mgmo ila kinatetea haki za watu. Kwanza inakuwaje mpaka watu wanaingia kwenye migomo? Kama hawa watu hawakuwa na haki mbona serikali ilianzisha mazungumzo nao?
 
Kugoma ni haki ya kila mtanzania, Chama hakitetei mgmo ila kinatetea haki za watu. Kwanza inakuwaje mpaka watu wanaingia kwenye migomo? Kama hawa watu hawakuwa na haki mbona serikali ilianzisha mazungumzo nao?

Msimamo mbona JK aliisha utoa kwenye hotuba yake ? alisema hawana haja yakugoma na kumsumbua mwajiri kuwaandikia barua nk, wao waache kazi waende kwenye maslahi bora wayatakayo, shida iko wapi ? na kwa nn usiwashauri wafuate ushauri wa Rais wakuacha kazi?
 
Kugoma ni haki ya kila mtanzania, Chama hakitetei mgmo ila kinatetea haki za watu. Kwanza inakuwaje mpaka watu wanaingia kwenye migomo? Kama hawa watu hawakuwa na haki mbona serikali ilianzisha mazungumzo nao?

Msimamo mbona JK aliisha utoa kwenye hotuba yake ? alisema hawana haja yakugoma na kumsumbua mwajiri kuwaandikia barua nk, wao waache kazi waende kwenye maslahi bora wayatakayo, shida iko wapi ? na kwa nn usiwashauri wafuate ushauri wa Rais wakuacha kazi?
 
Mbona povu linakutoka mpaka linamwagika nje ? Mkuu wa nchi aliisha sema kama wanataka mishahara mikubwa na minono si waache kazi waende huko kwenye mishahara minono? shida iko wapi wakati Mh. Rais ameishatoa msimamo wa serikali yake kuwa huwa wanacho taka kulipwa hakiwezekani hata mbingu ishuke. Washauri tu hao vibaraka wenu waache kazi
Si ndio maana wamemuachia Muhimbili yake hawana shida na mshahara wake akawaleta hao wa Iran waliomhonga suti watibu wananchi
 
Unafikiri kusomea udaktari bingwa mchezo? geshi lenyewe tu si la kisasa ni la kizamani la kutumia maguvu je huo udaktari watauweza? msitake kudharau taaluma za watu acheni madaktari wadai haki zao bwana wanastahili. Bila kugoma huwezi kusikilizwa

Hayo maslahi wanayoyataka Rais JK aliisha waambia hayawezekani, na akawapa na suluhisho kuwa kama hayawezekani na wao waache kazi, mbona kitu ni rahisi tu na ww kwa nn usitumie muda wako kuwashauri waache kazi tu?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom