Afya ya binadamu yoyote ni muhimu na katika binadamu hakuna aliye wa zaidi kuliko mwenzake na ndiyo maana wote hufa na baada yahapo kwenda kwa Mungu ama motoni kwa tunavyo amini na ndivyo ilivyo,ila Zaidi Ulimboka ni Kiongozi wa MAT na ni dokta mwenzao hawakufurahishwa na kilicho mkumba na mazingina yalivyokuwa.
Vip ule Mgomo wenu wa Sensa bado mmeshikilia ule msimamo wenu? Naona lile zoezi lenu la kujihesabu limekuwa gumu mlikuwa mnafikiri zoezi la sensa ni sawa na kuhesabu vikombe vya kahawa na kashata?
Amiri Jeshi Mkuu Kabwana Dr Ulimboka anamtoa Makasi,stress juu ya stress nothing is moving atajuta kuwajua Madaktari
Ila kuna nini?
Sheria ni siku 5 hujaonekana kazini unajifukuzisha kazi walishaifanyia marekebisho na imeshaanza kutumika muda mrefu, kuwa usipoonekana kazini siku 5 mfululuzo umejifukuzisha kazi. So walichofanya MOI n kuonekana kazini then wanarudi tena kwenye A kama wameanza mgomo leo unaesabu siku 5 za kazi wanarudi tena mchezo huo wataucheza weee hadi watakapo pata majibu ya matakwa yao
Kazi zinaendelea kama kawaida, na wagonjwa wanapatiwa huduma vyema. SOSI: TBC1 habari
wengi mnaonekana kuunga mgomo utazan nyie wote madokta! nakubal hizi ni harakat na naamin kati yenu hakuna hata mmoja mwenye mgonjwa aliye hoi taabani MOI n.k
Liwalo na liwe !
Mkuu wangu binafsi yangu sikubaliani kabisa na mgomo ulotokea mwanzo na sababu zangu nimeziweka wazi kabisa. Lakini pamoja na mgomo ule kutoafiiana nao kwa uhalisia wake, hakuna sababu wala uhalali wa serikali yetu kufikia kufanya jaribio la mauaji wakati tunavyo vyombo vya sheria. Imekuwa mazoea kwa serikali yetu kila inapopingwa basi lazima mtu au watu wafe kwanza kutia adabu. Huu ni unyama mkubwa sawa kabisa na ule wa madaktari wasiojali amani na utulivu hujengwa ktk misingi gani.Its so sad watu wanafurahia sana wakisikia mgomo umeanza au unaendelee! Why?
Its so sad watu wanafurahia sana wakisikia mgomo umeanza au unaendelee! Why?
Afya yake kwa namna flani inabeba fate ya afya ya hao walioko Muhimbili na kwingineko mahospitalini!Kwani afya ya Ulimboka ni muhimu sana kuliko afya za wagonjwa walioko hapo muhimbili?