Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Mbona post za watu wengi zinaunga mkono madaktari kuendelea kuua wagonjwa kwa faida yao wenyewe? Inakela sana, kwa mfano huyu jamaa, sijui anafurahia sana wagonjwa kufa ili hali madokta wakiwa wamepumzika manyumbani kwao.
Msiwaogope wauao mwili wasiweze kuiua na roho, afadhali mwogopeni yeye awezaye kuua vyote, mwili na roho katika jehanamu.
Mkuu wangu kwenye red hapo,
Eng. stella amesema CHADEMA ndio wapo nyuma ya mgomo wa madaktari, kwa hiyo usishangae kuona pro-CDM wamehuzunishwa na mgomo kusitishwa!