MOI Wajiunga Tena na MGOMO

MOI Wajiunga Tena na MGOMO

thibitisha
Endelea kuifariji, hakuna mgomo, madr wote waliobaki ni waajiriwa wa serikali, au kwa lugha nyepesi wapo under control ya serikali sikivu. Kirusi kilikuwa ULIMBOKA(Hiler wa Tanzania) ambaye hakuwa mwajiri wa serikali. Kukiondoa tu kumerudisha amani TZ.
 
Hawo MOI wasichezee akili zetu jana kuna watu walitwambia walistage lile tukio wengine wakasema haijatokea theatre mgonjwa mmoja awe attended na wafanyakazi zaidi ya sita kwa udhoefu kuna kuwa na daktari,anaethetist,scrubing nurse labda na msaidizi wa daktari lakini stretcher ya mgonjwa inazungukwa na watu kumi ilitia mashaka kidogo
waamuwe moja kugeuka nyuma na kuwa chumvi au kusimama na kuwa kitu kimoja
 
Endelea kuifariji, hakuna mgomo, madr wote waliobaki ni waajiriwa wa serikali, au kwa lugha nyepesi wapo under control ya serikali sikivu. Kirusi kilikuwa ULIMBOKA(Hiler wa Tanzania) ambaye hakuwa mwajiri wa serikali. Kukiondoa tu kumerudisha amani TZ.
Hitler ni Jakaya Mrisho Kikwete a dictator president, brutal and a disguise to our nation, he will pay his deeds before his term ends
 
inabidi kutopanda bajaji au bodaboda maana ukipata ajali ukavunja mifupa imekula kwako
 
Kutokana na Taarifa toka TBC, wananchi tunatambua kuwa Muhimbili ni kituo cha afya ru. Hospitali ya RUFAA kwa hivisasa ni LUGALO. Kwahiyo ni vigumu sana kwa serikali kustuka hivi sasa, maana imeshatupatia mbadala wa uhakika.
 
Hawo MOI wasichezee akili zetu jana kuna watu walitwambia walistage lile tukio wengine wakasema haijatokea thetre mgonjwa mmoja awe attended na wafanyakazi zaidi ya sita kwa udhoefu kuna kuwa na daktari,anaethetist,scrubing nurse labda na msaidizi wa daktari lakini stretcher ya mgonjwa inazungukwa na watu kumi ilitia mashaka kidogo
waamuwe moja kugeuka nyuma na kuwa chumvi au kusimama na kuwa kitu kimoja
Hizo ndo news mkuu,
fika ujiridhishe.
 
What a coincidence, watu watatu wa kwanza kucomment kwenye hii thread wanatumia avator ya bunduki!!!
 
Hitler ni Jakaya Mrisho Kikwete a dictator president, brutal and a disguise to our nation, he will pay his deeds before his term ends


Mkwara kwa kitoooooooto kwa Amiri jeshi mkuu!

Watu wamekasirika kusikia mgomo umemalizika.

Hahahahaha, mnataka umaarufu wa kisiasa kwa kutumia roho za masikini wa watu?

Shame
 
Acheni upotoshaji,

Hakuna mgomo wa madaktari.



Mpotoshaji wewe au aliyeanzisha uzi huuu?, Ofkoz hata aliyeanzisha uzi huu hajaweka vizuri statement zake mie nimekuwapo Muhimbili na MOI leo

Mosi,Watu hawajaanza kufanya kazi jana maigizo yamefanyika ili zipatikane picha za kuonesha kwenye TV

Pili,Kwa wenye kufikiri lakini...... inawezekanaje mgomo atangaze mwingine(MADAKTARI) halafu msitishaji awe mwingine(BODI YA HOSPITALI). Kuanzia Jumatatu ni full comedy ili mradi tu SINA HELA aka KUBWA LA MAJAMBAZI aka DHAIFU aonekane ameheshimika kwa kauli yake aliyotoa kwenye ile hotuba yake.

Kwa mtindo huu KIKOSI CHA MAJAMBAZI( aka SIRI KAAALI) mtaua madr wengi sana tu.... kama ambavyo manaendela kuwawinda sasa usiku na mchana kuwatishia na kuwawekea mitego miingi....ila damu zao hazitapotea bure jueni hili wekeni akilini mwenu
 
Kutokana na Taarifa toka TBC, wananchi tunatambua kuwa Muhimbili ni kituo cha afya ru. Hospitali ya RUFAA kwa hivisasa ni LUGALO. Kwahiyo ni vigumu sana kwa serikali kustuka hivi sasa, maana imeshatupatia mbadala wa uhakika.
Sasa kwanini wanahaha na mgomo hadi kufikia hatua ya kutoa agizo la kuuliwa Ulimboka?
 
Serikali dhaifu ya JK ndiyo imetufikisha hapa.
 
Kuwa mwaminifu halafu unapeleka taarifa za uwongo kuwa hakuna mgomo unakolifai kuwa "gamba mnafiki"
Uko sahihi kabisa mkuu. Ila mimi niliamua kutumia tamathali ya semi ambayo kwa kiingereza inaitwa irony. Hii ina maana unaongea kitu kimoja lakini ukimaanisha kinyume chake. Mfano ni kama mama anapomtuma mtoto mahali na kumwambia, "Halafu uchelewe kurudi." Kile anachomaanisha mama kwa mtoto ni kwamba urudi mapema. Hivyo na mimi maana yangu hasa ni Gamba mnafiki. Tupo pamoja mkuu.
 
Swala la kuna mgomo au hakuna mgomo, serkali inalijua vizuri kupitia informer wake.
Wapange tu wa kumpeleka Mabwepande au kama wameshapata msitu mbadala
 
Mpotoshaji wewe au aliyeanznisha uzi huuu, Ofkoz hata aliyeanzisha uzi huu hajaweka vizuri statement zake mie nimekuwapo Muhimbili na MOI leo

Mosi,watu hawajaanzza kuafanya kazi jana kuna baadhi ya drs waalilazimishwa kuact ili zipatikane picha za kuweka kwenye TV

Pili,Kwa wenye kufikiri lakini inakuwaje mgomo atangaze mwingine(madaktari) halafu msitishaji awe mwingine(Bodi ya Hospitali). Kuanzia Jumatatu ni full comedy ili mradi tu SINA HELA aka KUBWA LA MAJAMBAZI aka DHAIFU aonekane ameheshimika kwa kauli

kwa mtindo huu KIKOSI CHA MAJAMBAZI( aka SIRI KAAALI) mtaua madr wengi sana tu kwani kama ambavyo manaendela kuwawinda sasa usiku na mchana ila damu zao hazitapotea bure jueni hili wekeni akilini mwenu

Nasisitiza


Hakuna mgomo muhimbili, after all wagonjwa wa rufaa wanapelekwa LUGALO.
 
Endelea kuifariji, hakuna mgomo, madr wote waliobaki ni waajiriwa wa serikali, au kwa lugha nyepesi wapo under control ya serikali sikivu. Kirusi kilikuwa ULIMBOKA(Hiler wa Tanzania) ambaye hakuwa mwajiri wa serikali. Kukiondoa tu kumerudisha amani TZ.

Nakuombea sana uendelee kuwa na afya njema. Kama ungekuwa na matatizo ya afya waliyonayo watanzania wengine na hadi vivi sasa hawajapata huduma stahiki, sidhani kama ungekuwa na jeuri ya kuongea hizi propaganda. Pia nashangaa kwanini huoni umuhimu wa madaktari wa private na hospitali za private wakati zipo hapa nchini kutuhudumia sisi wananchi wote.
 
Serikali dhaifu ya JK ndiyo imetufikisha hapa.
DHAIFU
Liwalo na liwe.
Tutasikia mengi safari hii.
Inabidi wafanye rehearsal kabla ya kuongea, if at all wanacho kitu kichwani
 
Aluta continua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mbona post za watu wengi zinaunga mkono madaktari kuendelea kuua wagonjwa kwa faida yao wenyewe? Inakela sana, kwa mfano huyu jamaa, sijui anafurahia sana wagonjwa kufa ili hali madokta wakiwa wamepumzika manyumbani kwao.
Msiwaogope wauao mwili wasiweze kuiua na roho, afadhali mwogopeni yeye awezaye kuua vyote, mwili na roho katika jehanamu.
 
Back
Top Bottom