Write your reply...Amini usiamini Ukiondoa viongozi wa juu wa serikali zote Tanzania bara na visiwani pamoja na familia zao ...tuliobakia sisi sote ni watumea wao ...haya mengine ni kujifariji tu
Kaka/Dada huijui historia ya Zanzibar.. Shk Ali Muhsin na Mohammed Shamte walijikimbiza wenyewe, lakini hawakufukuzwa au kupinduliwa. Wangelizuwiliwa tu siku 2-3 na wangeliachiwa, kama walivyoachiwa wengine. Aliepinduliwa ni Sultani aliekuwa na himaya na wao wenzangu mimi walikuwa vibaraka tu vya Sultani. Huwapinduwi vibaraka, bali unampinduwa yule mwenyewe aliehusika ambae ni mwenye nguvu ya Dola.
Shamte na Muhsin walikuwa na nguvu gani? Wangelikuwa na nguvu wangelipokelewa Uarabuni? Mbona Sultani hajapokelewa Uarabuni na anamalizikia Uingereza miaka yote hii? Soma mijadala ya nyuma kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar na utapata maarifa au tuulize sisi tuliyoshiriki katika Mapinduzi kwa namna moja au nyengine.
Write your reply...Hawa nao wanachosha kwa propaganda zao za mapinduzi ...wakati wao wenyewe amri zote wanapokea kutoka Dodoma Tena kwa utiifu was all ya juu ...wakikwazwa wanalalamika pembeni
Mkuu naona unaanza kuropokwa ropokwa,
Unajua kama Mohammed Shamte ndie aliekua most powerful man ndani ya government? au hufahamu hadhi ya waziri mkuu kwenye serekali za Parliamentary system?
Halafu mkuu kapitie vizuri historia bado upo mbali sana. Hivi hujui kama Shamte na Muhsin walikaa jela karibu miaka 10?
Kwani nilisema nini? Sio nilisema watakaa jela kidogo halafu watatolewa?
Wewe huujuwi ukweli, Shamte alikuwa kibaraka tu!
Uwaziri Mkuu ALIHONGWA ili asijiunge na ASP na sio kwasababu alikuwa popular kwa vile viti vyake vitatu. Waulize historians wetu watakujuvya. Shamte angelibakia pamoja na waafrika wenziwe (ASP) mapinduzi yasingelitokea. Alieivuruga nchi ya Zanzibar ni Shamte na sio Mapinduzi. Uchaguzi wa mwanzo ASP ilishinda viti vyote 5 na uchaguzi wa mwisho ASP ilikuwa ishinde lakini ukavurugwa kwa makusudi, je, utastaajabu yaliotokea 2015? History does repeat itself my friend and it will repeat itself in 2020, 2025, 2030 and so on.
Labda tungelianza hap mkuu, Nani alikua nyuma ya mapinduzi yale? Kwa lugha nyengine nani alikua kiongozi wa yale mapinduzi.
Kwani nilisema nini? Sio nilisema watakaa jela kidogo halafu watatolewa?
Wewe huujuwi ukweli, Shamte alikuwa kibaraka tu!
Uwaziri Mkuu ALIHONGWA ili asijiunge na ASP na sio kwasababu alikuwa popular kwa vile viti vyake vitatu. Waulize historians wetu watakujuvya. Shamte angelibakia pamoja na waafrika wenziwe (ASP) mapinduzi yasingelitokea.
Alieivuruga nchi ya Zanzibar ni Shamte na sio Mapinduzi. Uchaguzi wa mwanzo ASP ilishinda viti vyote 5 na uchaguzi wa mwisho ASP ilikuwa ishinde lakini ukavurugwa kwa makusudi, je, utastaajabu yaliotokea 2015? History does repeat itself my friend and it will repeat itself in 2020, 2025, 2030 and so on.
That question is irrelevant.
Hivyo ukitaka msaada wa kulitoa joka ndani mwako, will it matter to you nani kakusaidia?
Hujasikia wewe ule msemo..."Mtumikie kafiri ili upate mradi wako'! Sasa does it matter to us, kama ikiwa ni Wamakonde, Waganda au Watanganyika waliotusaidia? La umuhimu ni kuwa joka limetoka!
Wana-Msumbiji tumewasaidia kihali na mali katika ukombozi wao and they still kicked us in the butt about 2 years ago. Shida yenyewe ni kuwa sisi Wazanzibari ni mabwege!
-Mkuu tatizo lako nikua hujaisoma historia unaishi kwa kuhadithiwa na wana CCM. Shamte alikua na viti sita na sio vitatu katafute matokeo ya uchaguzi wa mwisho kabla ya mapinduzi. na kabla ya hapo alishakua waziri kiongozi kwa miaka miwili.
-Sasa shamte ajiunge ASP vipi alishatimka huko? Alikataa kuongozwa na Karume akisema jamaa hana nia njema na nchi. na matunda yake yalionekanwa baada ya kuzaliwa TANZANIA
Na unapotwambia ASP ilikua ishinde, ishinde kwa misingi ipi mkuu? na ulivurugwa vipi? hufahmu nini Coalition Government?
Jamani itabidi tena nisomeshe history hapa ukumbini. Naona kazi hio sitoweza.
Sasa wewe kwani unataka vipi? Unataka muarabu angelibakia akitawala mpaka leo?
Sawa!
Hahahahaha!
Usinichekeshe na Christmas hii.
Sinahaja ya kuisoma historia ya usultani Zanzibar. I lived that history.
Shamte hata kama alipata viti 10 he was still a stooge of the arabs. FULL STOP!!!
It matters mkuu. Swali langu sio alietoa msaada. nataka aliekua behind revolution yani mwenye mapinduzi yale.
Mkuu naona unatoka nje ya mada. Mada uliaanzisha kistaarabu tungeendelanayo kistaarabu. Yote unayoyazungumza haya prove kitu, ni just kama thousand stories ambazo tumekua tukizisikia tokea udogoni kwetu. Ukweli huupati kwa kuamishwa na jamii yako iliokuzunguka hilo ndilo nililojifunza mimi. Nimefanya kazi na watu watatu tafauti kuhusu historia ya zanzibar, na nilinufaika na kujifunza mengi sana kupitia kwao. Mkuu dunia tunayoishi sio uhalisia wake kabisa.
Mnazungumza alikua kibaraka wakati mnakosa hata link hata mbovu za kuthibitisha. sasa tutaamini vipi kwa kukaririshwa?
Je unaweza twambia Karume alikua stooge of nani? Unaweza twambia Afro shirazi ilikua stooge of nani? vipi upewe dalili?
Karume alikuwa stooge wa nani????
Hahahaha.
Usinichekeshe kaka. Waulize Watanganyika na watakujibu. Nyerere mwenyewe akimuogopa Karume na alipouliwa nadhani alipumua. Mambo yetu yote yaliharibika alipotutoka Karume. Karume angelikuwepo leo basi tusingelitawaliwa na Tanganyika. Enzi za Karume utawala wa Tanganyika ulikuwa mwisho Chumbe.
Yule alikuwa KIDUME!
Sasa wewe unataka kusikia au kujifunza nini kutoka kwangu? History ya usultani ndio hio nimekumwagia kuwa waafrika tulikuwa tukidhulumiwa na tukibaguliwa. Kama wewe haya huyataki basi sina njia nyengine isipokuwa kukueleza kuwa waafrika tulikuwa wenye furaha sana chini ya sultani and we wish he were still here ruling us today.
Are u happy now
Goodnight!