Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Nani anaelitambuwa hilo katika serikali zote mbili?
Viongozi wetu wote wakuu toka pande zote mbili hilo wanalitambua hili, na ndio maana viongozi wetu wote wanazungumza lugha moja kuwa huu muungano wetu adhimu, tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P
 
Nelson...
Hujafika makamo bado una safari ndefu sana:

WAZANZIBARI...
Najaribu kuweka picha za Wazanzibari niliopata kuwafamu katika maisha yangu wengine kwa mbali na wengine kwa karibu sana.

Kwa ujumla naweza kusema kuwa namshukuru Allah kwa kunikutanisha na watu hawa.

Kutoka kwao nimejifunza mengi sana katika historia ya Zanzibar:

325359887_1559023841282466_8236630204159252575_n.jpg

Ahmed Rajab na Mwandishi Ofisi za Africa Analysis London, 1991​
325274793_646909950457044_8512641820648796487_n.jpg

Mohamed Mlamali Adam Mhariri wa Africa Events London
325345592_552017376812862_8610962515758016735_n.jpg

Aboud Jumbe na Mwandishi 1992
325288943_2046710018855799_7720368641194005393_n.jpg

Kushoto Sheikh Ali Muhsin na Mwandishi, Muscat 1999
325250503_699321948392342_4605567683914174142_n.jpg

Hassan Nassoro Moyo na Mwandishi, Zanzibar 2012
325299433_723113892856097_5188676803776481183_n.jpg

Salim Himid na Mwandishi, Paris 2011
Nelson...
Nataka tufahamiane.

Hawa wote nimeandika habari zao hapa JF fanya ''search'' utajifunza mengi.

Hawa ni baadhi tu:



Nakutumia mawasiliano yangu kakangu ili wakati mwingine tujuliane hali nje ya jamii forum.Kaka bora ni yule anaelewa na kusikiliza hoja za wadogo zake hata kama hakubaliani nao katika baadhi ya mambo
 
Licha ya visiwani, hivi Wabantu walifika lini pwani ya bahari ya hindi?

Ukishapata jibu ya hilo pia ujibu, walikuta kuna wenyeji? Wepi?
Hili ndio swali gani?!. Mtu ni kwao ndie asili yake, Mreno, Mzungu na Mwarabu wanakuja wanamkuta, halafu unailiza walifika lini kwao?.

Swali rasmi lingekuwa Mzungu, Mhindi na Mwarabu, walifika lini Pwani ya East Africa na walimkuta nani?.

Mjerumani angalau ameweka kumbukumbu, alimkuta Sultan Mangungo akampa mkataba kumtawala, japo mkataba ulikuwa ni wa kimagumashi lakini ni mkataba!.

Mwarabu alivyotoka zake Oman ile 1732, alivitwaa visiwa vya Zanzibar na Pemba kama ameviokota yaani havina mwenyewe!.
Mjerumani ndio ile 1884, akaikabidhi Pwani ya East Africa kwa Sultan of Zanzibar kama himaya yake!. Laiti kungekuwepo watu walioshuhudia Sultan of Zanzibar alimfanya nini Mwinyimkuu!, kusinge kalika!.
P
 


My dear, that is a very simple question to answer.

Uliza kuwa Wa-Oman walipowashinda wareno na wakajitangaza wao kuwa ndio new rulers, waliwatawala watu gani? Au kulikuwa hakuna raia? Au waliitawala ardhi tupu bila ya watu?

Ukijibiwa ndio utajua waliwatawala nani - hao ndio Wazanzibari - hao ndio waliokuwa wakiwaghilibu kwa marobota ya tende walizokuwa wakija nazo kutoka Yemen na Oman.
Mzanzibari huwezi mwambia chochote kiovu Cha mwarabu akakuelewa. Kwake mwarabu Ni mtakatifu asie na chembechembe za dhambi.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Hili ndio swali gani?!. Mtu ni kwao ndie asili yake, Mreno, Mzungu na Mwarabu wanakuja wanamkuta, halafu unailiza walifika lini kwao?.

Swali rasmi lingekuwa Mzungu, Mhindi na Mwarabu, walifika lini Pwani ya East Africa na walimkuta nani?.

Mjerumani angalau ameweka kumbukumbu, alimkuta Sultan Mangungo akampa mkataba kumtawala, japo mkataba ulikuwa ni wa kimagumashi lakini ni mkataba!.

Mwarabu alivyotoka zake Oman ile 1732, alivitwaa visiwa vya Zanzibar na Pemba kama ameviokota yaani havina mwenyewe!.
Mjerumani ndio ile 1884, akaikabidhi Pwani ya East Africa kwa Sultan of Zanzibar kama himaya yake!. Laiti kungekuwepo watu walioshuhudia Sultan of Zanzibar alimfanya nini Mwinyimkuu!, kusinge kalika!.
P
Kama huijui historia, nakushauri chimba.
 
Mdogo wangu nina wasiwasi na uelewa wako wa mambo na ndio maana kwenye mada hii ya mzee wangu na jirani yangu Said mohamed waga najadiliana nae zaidi kuliko mtu mwingine yeyote.Lakini sikupingi hoja zako mdogo wangu,upo sahii kabisa kwa umri wako na uwelewa wako wa historia ya wabantu.
Wacha porojo, jibu swali...
aizaFoxy said:
Licha ya visiwani, hivi Wabantu walifika lini pwani ya bahari ya hindi?

Ukishapata jibu ya hilo pia ujibu, walikuta kuna wenyeji? Wepi?
 
Wacha porojo, jibu swali...
aizaFoxy said:
Licha ya visiwani, hivi Wabantu walifika lini pwani ya bahari ya hindi?

Ukishapata jibu ya hilo pia ujibu, walikuta kuna wenyeji? Wepi?
Nina wasiwasi na uelewa wako wa historia ya wabantu.Nadhani itakua busara kama nikikupa darasa la pekee kuhusu wabantu ukanda huu.Afu kisomi maneno kama"Porojo"ni hali ya kuonyesha uduni wa uungwana na mihemuko hasi.Tumia lugha nzuri toa hoja au swali utajibiwa.
 
Kama huijui historia, nakushauri chimba.
History ya Pwani ya Azania iko open sana mji wa kwanza ni Kilwa ukanunuliwa toka kwa wenyeji karne ya 15 na Hassan Bin Amir kwa bei ya kipande cha kitambaa kuzunguka kisiwa chote cha Kilwa!.

Wenyeji halisi wa Zanzibar ni Wahadimu, wakiongozwa na Ukoo wa Mwinyi Mkuu. Mwinyi Mkuu akaomba usaidizi wa Waarabu kumpiga Mreno aliyetaka kuviteka visiwa hivyo hivyo Mwarabu akakubali na kusaidia kuwapiga Wareno, wakashinda vita. Baada ya kuwashinda Wareno, sijui walimfanya nini Mwinyi Mkuu lakini ghafla mara Sultan Seyyid Said wa Oman akaihamishia Sultanate yake from Oman to Zanzibar na kujitwalia visiwa hivyo kama ameviokota havina mwenyewe!.

Na kiukweli Sultan ali relax kabisa kwa kujua wame u wipe out ukoo wote wa Mwinyi Mkuu na kujiona Zanzibar ni mali yao!. Kumbe damu ya ukoo wa Mwinyi Mkuu ilikuwa inatokata, reincarnation ya Mwinyi Mkuu ikaibuka kupitia kwa John Okello, ile January 12, 1964, akafanya mambo Sultan Jamsid akatimka, wenye Zanzibar yao wakaitwaa nchi yao!.
P
 
Sijawahi kumsikia kiongozi yeyote akimtaja okelo. Kama umewahi, weka ushahidi.
Shujaa wa Mapinduzi ni Abed Amani Karume, John Okello alitangulizwa tuu kama chambo kwa Karume kujibanza Bara, just incase zoezi lita fail. Okello alipewa kazi ya kutangaza tuu pale Karume House!, kwa kujua Karume hayupo, baada ya kutangaza, Okello akajitangaza ni yeye kiongozi wa Mapinduzi, akajiita field marshal na kuwazidi kete wenzake, tena Okello amshukuru sana Julius, almanusura Karume amfanye mbaya Nyerere akamuokoa!.
P
 
Shujaa wa Mapinduzi ni Abed Amani Karume, John Okello alitangulizwa tuu kama chambo kwa Karume kujibanza Bara, just incase zoezi lita fail. Okello alipewa kazi ya kutangaza tuu pale Karume House!, kwa kujua Karume hayupo, baada ya kutangaza, Okello akajitangaza ni yeye kiongozi wa Mapinduzi, akajiita field marshal na kuwazidi kete wenzake, tena Okello amshukuru sana Julius, almanusura Karume amfanye mbaya Nyerere akamuokoa!.
P

Chenga hizo, soma tena...
FaizaFoxy said:
Sijawahi kumsikia kiongozi yeyote akimtaja okelo. Kama umewahi, weka ushahidi.
 
History ya Pwani ya Azania iko open sana mji wa kwanza ni Kilwa ukanunuliwa toka kwa wenyeji karne ya 15 na Hassan Bin Amir kwa bei ya kipande cha kitambaa kuzunguka kisiwa chote cha Kilwa!.

Wenyeji halisi wa Zanzibar ni Wahadimu, wakiongozwa na Ukoo wa Mwinyi Mkuu. Mwinyi Mkuu akaomba usaidizi wa Waarabu kumpiga Mreno aliyetaka kuviteka visiwa hivyo hivyo Mwarabu akakubali na kusaidia kuwapiga Wareno, wakashinda vita. Baada ya kuwashinda Wareno, sijui walimfanya nini Mwinyi Mkuu lakini ghafla mara Sultan Seyyid Said wa Oman akaihamishia Sultanate yake from Oman to Zanzibar na kujitwalia visiwa hivyo kama ameviokota havina mwenyewe!.

Na kiukweli Sultan ali relax kabisa kwa kujua wame u wipe out ukoo wote wa Mwinyi Mkuu na kujiona Zanzibar ni mali yao!. Kumbe damu ya ukoo wa Mwinyi Mkuu ilikuwa inatokata, reincarnation ya Mwinyi Mkuu ikaibuka kupitia kwa John Okello, ile January 12, 1964, akafanya mambo Sultan Jamsid akatimka, wenye Zanzibar yao wakaitwaa nchi yao!.
P
Bado upo finyu kwenye historia ya pwani.
. Babu zako hawajawahi kukuhadithia asili ya wasukuma?
 
History ya Pwani ya Azania iko open sana mji wa kwanza ni Kilwa ukanunuliwa toka kwa wenyeji karne ya 15 na Hassan Bin Amir kwa bei ya kipande cha kitambaa kuzunguka kisiwa chote cha Kilwa!.

Wenyeji halisi wa Zanzibar ni Wahadimu, wakiongozwa na Ukoo wa Mwinyi Mkuu. Mwinyi Mkuu akaomba usaidizi wa Waarabu kumpiga Mreno aliyetaka kuviteka visiwa hivyo hivyo Mwarabu akakubali na kusaidia kuwapiga Wareno, wakashinda vita. Baada ya kuwashinda Wareno, sijui walimfanya nini Mwinyi Mkuu lakini ghafla mara Sultan Seyyid Said wa Oman akaihamishia Sultanate yake from Oman to Zanzibar na kujitwalia visiwa hivyo kama ameviokota havina mwenyewe!.

Na kiukweli Sultan ali relax kabisa kwa kujua wame u wipe out ukoo wote wa Mwinyi Mkuu na kujiona Zanzibar ni mali yao!. Kumbe damu ya ukoo wa Mwinyi Mkuu ilikuwa inatokata, reincarnation ya Mwinyi Mkuu ikaibuka kupitia kwa John Okello, ile January 12, 1964, akafanya mambo Sultan Jamsid akatimka, wenye Zanzibar yao wakaitwaa nchi yao!.
P
Kumbe siyo ya Okelo?

Tunawaona waliotawala Zanzibar na Tanganyika leo hii, asili zao sio siri.
 
Back
Top Bottom