Ngida1
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 586
- 206
- Thread starter
- #41
Hapana tatizo, Endelea Kuenjoy uhuru wa CCM. mzee Mohamed Said alikufahamu mapema ndio mana akakupuuza.
Hajanipuuza lakini niliyoyaandika asingeweza kuyapinga.
Utapingai vipi kusema kama waafrika walidhulumiwa kielimu chini ya usultani?