USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Dar es salaam na Zanzibar ni kilometers chache Sana, kwa tajiri Kama Mohammed Raza angesafirishwa kwa ndege dk chache Sana na kuzikwa kwao Zanzibar aliko kuwa mbunge mtu maarufu Ila Cha ajabu wamemzika Kisutu kwa nini?
Je Zanzibar hakuna maeneo ya kuzika maana sio yeye tu wapo watu wengi wenye ushawishi na raia wa kawaida wanaazikwa Mmbande, Mbagala kule wapemba waliponunua eneo la kuzikana wao tu, kwanini wasinunue eneo Zanzibar na kuzikana huko maana ni karibu?
USSR
Je Zanzibar hakuna maeneo ya kuzika maana sio yeye tu wapo watu wengi wenye ushawishi na raia wa kawaida wanaazikwa Mmbande, Mbagala kule wapemba waliponunua eneo la kuzikana wao tu, kwanini wasinunue eneo Zanzibar na kuzikana huko maana ni karibu?
USSR