Mohamed Trans laua Polisi watano!

Mohamed Trans laua Polisi watano!

!
!
pamoja na ubinadamu, ukudadeki na unini sijui......hata wangekufa kituo kizima poa tu. Mbwa kabisa hawa. Yani nikisikia polisi kafa,tena kafa kwa maumivu makali huwa nafarijika sana. ***** sana hawa.
Rushwa zimewajaa kama nini, yani mie siwapendi mpaka basi.
Nikikuta nyoka anapambana na polisi ntamsaidia nyoka.
 
i think you are an idiot,,kwa hiyo usipofunga mkanda wa gari unataka Traffic asikukamate, and this the reason why unawaita polisi waliokufa kwenye ajali ya gari mbwa?????,,,nahisi wewe ndo mbwa!!!!
bila shaka hujawah kamatwa na hawa jamaa ila lait ungeku nata na kagari kadogo tu ambako umekakopa utilie kogo mtaani af hawa jamaa wakuotee pengine tu umejisahau kufunga mkanda ndo utawajua
 
namuomba mwenyezi mungu awalipe kadiri ya matendo yao kwani ni wengi waliopata hasara kwa kazi za hawa watu kuliko faida sema AMEEN
 
Mohamed trans once again,sijui kwa nini sumatra hawaifungii hii kampuni maana imeshatoa roho za ndugu zetu wengi sana,ila kwa kuwa awamu hii wameua hawa jamaa nadhani mamlaka husika sasa watashtuka na kuifuta kabisa.
 
R.I.P all deceased mtakumbukwa daima na ndugu jamaa na marafiki
 
mnaotaka picha za nini? Maiti ama magari?ama ajali?
Rip n polen familia
 
Mohamed trans once again. Sijui kwa nini sumatra hawaifungii hii kampuni maana imeshatoa roho za ndugu zetu wengi sana ila kwa kuwa awamu hii wameua hawa jamaa nadhani mamlaka husika sasa watashtuka na kuifuta kabisa.

Ni makosa makubwa Sumatra kufungia Kampuni ambayo mabasi yake yamehusika kwenye ajali bila kufanya uchunguzi wa kina. Kinachotakiwa kufanywa ni kuangalia kama chanzo cha ajali kinatokana na Kampuni kama Kampuni au Dereva kama Dereva. Kuna makosa ya Kampuni na Makosa ya Madereva. Mfano Basi ambalo lime-overtake sehemu ambayo hairusuwi ku-overtake (mfano kwenye kona) na kusababisha ajali huwezi sema chanzo ni Kampuni ya hilo Basi. Hapo chanzo ni Dereva wa Basi personally . Wa kumfungia hapa ni Dereva na siyo Kampuni, unless idhibitike kwamba Dereva aliyekuwa anaendesha (yaani ameajiriwa na Kampuni) hakuwa na Leseni ya Udereva kutoka mamlaka husika.

Aidha inapotokea Basi limepinduka kutokana na kupasuka kwa tairi na uchunguzi ukagundua kwamba tairi za Basi husika zilikuwa zime-expire au zilikuwa zimejazwa upepo kupita kiasi hapo obvious wa Kufungia ni Kampuni. Lakini ikigundulika kwamba tairi hazija-expire na zilikuwa zimejazwa vizuri wakushughulikiwa ni Mzalishaji wa Tairi including TBS. Lakini kama tairi husika hazija dhibitishwa ubora na TBS hapo lazima ile kwa Kampuni ya Basi.

Sasa katika mazingira haya ya polisi kugongwa uso kwa uso na Mohamed Trans tusilaumu kwanza Mohamed Trans hadi hapo tutapojua dhahiri chanzo cha ajali ni nini. Na bahati mbaya sana katika hii kesi Injury peoples ambao ni Police ndiyo watakaopima ajali na kufungua kesi Mahakamani. Sijui kama kutakuwa na Justice. Ajali ya kugongwa Nyani anaenda kupima Ngedere na Ngedere huyo huyo anaipeleka kesi Mahakamani.
 
mi nilijua binadam ndo wakufa kumbe police kweli hii newz rip policcm
 
Sherehe mpaka saa 11 asubuh? RIP polisi.

Tusiendeshe tumelewa
 
Ni makosa makubwa Sumatra kufungia Kampuni ambayo mabasi yake yamehusika kwenye ajali bila kufanya uchunguzi wa kina. Kinachotakiwa kufanywa ni kuangalia kama chanzo cha ajali kinatokana na Kampuni kama Kampuni au Dereva kama Dereva. Kuna makosa ya Kampuni na Makosa ya Madereva. Mfano Basi ambalo lime-overtake sehemu ambayo hairusuwi ku-overtake (mfano kwenye kona) na kusababisha ajali huwezi sema chanzo ni Kampuni ya hilo Basi. Hapo chanzo ni Dereva wa Basi personally . Wa kumfungia hapa ni Dereva na siyo Kampuni, unless idhibitike kwamba Dereva aliyekuwa anaendesha (yaani ameajiriwa na Kampuni) hakuwa na Leseni ya Udereva kutoka mamlaka husika.

Aidha inapotokea Basi limepinduka kutokana na kupasuka kwa tairi na uchunguzi ukagundua kwamba tairi za Basi husika zilikuwa zime-expire au zilikuwa zimejazwa upepo kupita kiasi hapo obvious wa Kufungia ni Kampuni. Lakini ikigundulika kwamba tairi hazija-expire na zilikuwa zimejazwa vizuri wakushughulikwa nae ni Mzalishaji wa Tairi kupitia TBS.

Sasa katika mazingira haya ya polisi kugongwa uso kwa uso na Mohamed Trans tusilaumu kwanza Mohamed Trans hadi hapo tutapojua dhahiri chanzo cha ajali ni nini. Na bahati mbaya sana katika hii kesi Injury peoples ambao ni Police ndiyo watakaopima ajali na kufungua kesi Mahakamani. Sijui kama kutakuwa na Justice. Ajali ya kugongwa Nyani anaenda kupima Ngedere na Ngedere huyo huyo anaipeleka kesi Mahakamani.

uko sahihi kabisa....na hapa wanahukumu bila kujua nani ana makosa kati gari iliopakia hao polisi na moh'd trans bus.
 
unafurahia kifo cha mwenzio!!? Kumbuka kifo ni haki ya kila mtu na hujui utakujafia mikonon mwa nan? Kumbuka hujafa hujaumbika hao hao unaowachukia leo ipo siku bila kujua watakuja kuwa msaada mkubwa kwako au wakomboz wako inaweza usiwe ww lakin mke wako, mtoto wako, baba yako mama yako au ndugu yako........... Hv katiaka ukoo wako wote hakuna askar polis?

hata kama wapo 600000 wafe tu,polis!!!!!aaah hawa hawana maana,na kama kuna majeruh wafe wote,ingawa wote tutakufa,hawana ubinadam hawa watumishi,nawachukia polisi tangu nikiwa darasa la 2
 
yani baadala ya police waje wamsake jambazi anayeua watu hapa tarime wao wanaenda ktk sherehe kula na kulewa chakari.wana raha gani sisi tunaishi kwa hofu wao wanastarehe!!!!!!,ILA R.I.P TU
 
Picha zinatisha sana kwa kweli!Ni sahihi kabisa walikuwepo Askari aliyetambulika SGT Adolf,D/c Evalist,D/c Deogratious,Wp jac na Wp jema!Mungu hawasamehe,Mohamed Trans Imewachinja kabisa vichwa vyote vimepasuka!Chanzo cha ajali ni Mwendo kasi wa Magari yote Mawili.....Kwa niaba ya Askari wote na itifaki imezingatiwa Tunatoashukrani za dhati kwa wote walioshiriki kuwatoa marehemu kwenye gari na kuwapeleka chumba cha kuhifadhia Mahiti!Kwa kweli ni msiba mkubwa ndani ya mkoa wa Dodoma esp ktk wilaya ya kongwa walipokuwa wakifanyia kazi,Mungu hatusamehe dhambi zetu!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
😛ray2::rip::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
Chanzo cha ajali ni Mwendo kasi wa Magari yote Mawili

Hapo bado hujanishawishi Mkuu. Mbona kila siku magari yanapishana tena yakiwa na Mwenda kasi ya hayapati ajali. Kama huamini nenda kipande cha Chalinze Morogoro uone magari yanavyopishana yakiwa kwenye Mwendo wa kasi na hakuna ajali yoyote. Kama ni kweli wote walikuwa kwenye Mwendo wa kasi, ni nani alienda site ya mwenzie na kusababisha ajali? Maana tumeambiwa zimegongana uso kwa uso, so hopefully kuna Gari haikuwa kwenye site yake!
 
Don't Drink and Drive


Rest In Peace Police Wetu, Poleni Wafiwa.

Especially when you are in a SHEREHE and, knowing that you have to drive your colleagues home.....
 
Back
Top Bottom