Mohamed Trans laua Polisi watano!

Mohamed Trans laua Polisi watano!

!
!
wangekufa kumi au ishirini mbwa hawa siwapendi kama nini basi tu,

go burn in hell...siwapendi sana hawa watu basi tu

mkuu sio kosa lako, kuna vitendo vingine vina fanywa na polis vya kikatili dhidi ya raia vina sababisha raia kuwaona kama mizimu.
 
Mkuu chuki mbaya sana hiyo mkuu,,wafirie basi wafiwa,,watoto wao ambao ghafla wamekuwa yatima na wake zao wajane,,,kwa huruma hiyo tu ungetoa hata pole!!!!sio ustarabu kabsa mkuu,,,after all sio police wote wabaya mkuu,wengine ni wazuri tu,,na hii ni ajali kaka hawajafa wakimpora mtu.
!
!
wangekufa kumi au ishirini mbwa hawa siwapendi kama nini basi tu,

go burn in hell...siwapendi sana hawa watu basi tu
 
Mkuu hiyo sio sababu ya kuwachukia polisi wote na kumuita mtu ambaye amefariki kwenye ajali mbwa,,,this is the highest degree of barbarism and uncivilisation,,,too judgmental,,this is not fair.
mkuu sio kosa lako, kuna vitendo vingine vina fanywa na polis vya kikatili dhidi ya raia vina sababisha raia kuwaona kama mizimu.
 
Kwenye nchi za wenzetu Askari Polisi ni msaada mkubwa sana kwa jamii, kutokana na kufuata maadili yao ya kazi. Lakini hawa wa kwetu ni kero kubwa sana kwa jamii, ndiyo maana wengi wetu hatuwapendi , hii hutokana na tabia zao.

Note: Ingawa sio wote, Hivyo wanahitajika kujisahihisha.
Raia wa kawaida huwachukulia mtindo wa Samaki kwenye Tenga kuwa akioza mmoja basi wote wameoza,
ingawa ukichambua utawapata walio safi.
 
Duh!😱 hatari namna hii.
Hiyo saa 11 hilo bus lilikuwa linatoka wapi? Maana sie Sumatra tujuavyo mabasi yanaanza safar kote nchini saa 12 alfajiri.
...umenena mkuu.
Mohamed Trans wanatabia ya kutoa rushwa..., hasa mabasi yanayotoka mkoani' hawapendi kulala njiani.
 
Kwenye nchi za wenzetu Askari Polisi ni msaada mkubwa sana kwa jamii, kutokana na kufuata maadili yao ya kazi. Lakini hawa wa kwetu ni kero kubwa sana kwa jamii, ndiyo maana wengi wetu hatuwapendi , hii hutokana na tabia zao.

Note: Ingawa sio wote, Hivyo wanahitajika kujisahihisha.
Raia wa kawaida huwachukulia mtindo wa Samaki kwenye Tenga kuwa akioza mmoja basi wote wameoza,
ingawa ukichambua utawapata walio safi.
....Polisi 14 wasimamishwa kwa tuhuma za wizi wa vitu vya thamani ya sh900mil mali ya mkandarasi Namtumbo-Tunduru Road, RPC Nsimike asema
 
Mkuu hiyo sio sababu ya kuwachukia polisi wote na kumuita mtu ambaye amefariki kwenye ajali mbwa,,,this is the highest degree of barbarism and uncivilisation,,,too judgmental,,this is not fair.

bila shaka hujawah kamatwa na hawa jamaa ila lait ungeku nata na kagari kadogo tu ambako umekakopa utilie kogo mtaani af hawa jamaa wakuotee pengine tu umejisahau kufunga mkanda ndo utawajua
 
...umenena mkuu.
Mohamed Trans wanatabia ya kutoa rushwa..., hasa mabasi yanayotoka mkoani' hawapendi kulala njiani.

Kwahiyo mohamed trans huwa wanawapa askari rushwa siyo!...R.I.P. ASKARI WETU
 
Swali nzuri sana! ndyoko kuja na jibu chap chap!

naogopa kujibu ntapata 'ban'. Kwa wanaosafiri na mabasi ya mikoani (bukoba, bujumbura, kagera) wanajua kinachoendelea pamoja na uwepo wa hiyo sheria. Mnakua kama hamuijui bongo vile
 
Last edited by a moderator:
RIP dear soldiers, ila ndg zangu Watz. Hawa polisi ni sehemu ya jamii yetu. Hakuna sababu ya kuwachukia, mimi naamini kuwa nao hawapendi kufanya yale ambayo yanakera watu ila wanalazimishwa na mfumo wa utawala. Sitaki kutoa mfano maana mahali hapa sio pake. tusifurahie kufa kwao, hebu jaribu kufikiri ni familia ngapi zimeathirika kutoka na hili? fikiria wawe sehemu ya familia yako ungeyasema hayo unayoyasema sasa.

MUNGU ZIFARIJI FAMILIA ZOTE Zilizopatwa na misiba hii mizito,
Ee Bwana Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, uturehemu, msiba huu utukumbushe kuwa sisi tu wapitaji tu katika ulimengu huu, maana hatudumu daima, Tumekutenda dhambi kwa kuwaza, kwa kunena na kutenda. Tumepungukiwa na utukufu wako,tunakuomba uturehemu. Tunakuomba usiukumbuke uovu wetu, utakapofika wakati wetu wa kuondoka katika uso wa nchi basi tufe vema tukiwa katika mikono yako ambayo ni salama, AMINA.
 
Askari walikuwa wametoka kwenye sherehe labda dereva alikuwa amelewa, tusubiri kujua chanzo cha ajali pengine mwenye kosa sio dereva wa basi
 
D.9084 D/CPL Adolf, F.6459 PC Evarist, H.3783 PC Deogratius(dereva), WP 10337 PC Jackline na WP. 10382 PC Jema. Mungu awapumzishe kwa amani askari.
 
Poleni wafiwa, Mungu awapumzishe panapostahili kulingana na matendo yao!
 
Back
Top Bottom