naona upo zaidi ya neno siriazi, lol! wanangu kazi ipo wallah, itabidi nikawafunde ziwa tanganyikaaaaaaa chini kule kabisa, wakitoka wamekwiva! HAWADANGANYIKI NG'O! lol!naona itabidi niagizie ya chuma, siku hizi kuna mininga fake, sitaki ku-take chances
kaka Kaizer yan hampati mtu hapa wote tupo occupied!
Kaizer acha kumwingiza mkenge FP bana,mihela muhimu aisee kwenye malavidavi,we siku ukiishiwa ndo utajua mbivu na mbichi.
Hehehee jino kwa jino...we nae kwa kukariri!
fom fo history ulipata maks ngapi?
sasa Bishanga nani kamrithi sweetlady jamani??? maskini shoga angu, nani baazazi kuu humu ndani limrithi?? kadogoo malezi ya singo parent itakuwa mbaya wallah!baba kadogoo keshalamba ya two years tayari kwa matunzo mabovu.
naomba kujua visheni, misheni na objektivu ya jeiefu, kabla sijaruius hivyo vi-ban, motto yake naijua... whea wi dea tu tok openli..
ha haaaaaaaaaaaaaaa, kazi kwao akina Bishanga. watabaki kutoa mimacho tunaona upo zaidi ya neno siriazi, lol! wanangu kazi ipo wallah, itabidi nikawafunde ziwa tanganyikaaaaaaa chini kule kabisa, wakitoka wamekwiva! HAWADANGANYIKI NG'O! lol!
ha haaaaaaaaaa, thanx for a call Bishangahalafu we FP nakufahamu wewe,ngoja nikupigisie simu tuongee kitu.
hahaha charminglady huyu si mnamfahamu lakini? Bishanga huyu huyu!
Kaizer umejuaje?? matwins ni nouma, ila mama mkwe wao Fixed Point kaniacha hoi, katafuta manati ya chuma kabisa - neno 'ningejua' halitaki. kuhusu Bishanga asikupe tabu, wala hasumbui akithubutu siku hiyo ndio atajua kwa nini CNN haina wanga, wameloga weeeeeeeeeee, wameacha wenyewe!asa Bishanga mihela kwa nani? kwa Fixed Point? wala usisubutu. Niulize mimi. Kwa cacico? Huyo ana 'mguu wa kuku' kabisa. uliza aliupata kwa sababu gani? sio matwins. charminglady ndo ivo tena..
sasa ukiwatishia na lunch za kempisk, wao wanajua kabisa hizi kamba afu watakupeleka ukweli...ukinipigia simu umekwama apo ujue siji. ili ujifunze
Unataka ila vibuti ndo vimekuandamasitaki dem nasema sitaki deeeeeeem....
source:juma nature
mara baada ya kuwa commited through jf,nimebadilika mkuu,niko fixed kwa mlimbwende mmoja tu,thanks to jf.