Bishanga mpaka watu wengine wajue kuwa huna namba yangu? mimi nimewazuga kwa kukushukuru ili wajue tumeongea! umeshajiharibia sasa. majisifu yote kwishneymbona inalia tu hupokei Fixed Point?
siku moja usije sema sikukwambia...kalagabao na ubozi wako.
Kaizer, kwa kumfanya ajione mdogo, tunampeleka, then tunaagiza kila kitu very expensive, that is, tunapoagiza hatuangalii kule mwisho kumeandikwa bei gani..... akishindwa kulipa tuna-swipe kadi zetu tu...... atakoma kuwatokea mapedeshee ya kikeasa Bishanga mihela kwa nani? kwa Fixed Point? wala usisubutu. Niulize mimi. Kwa cacico? Huyo ana 'mguu wa kuku' kabisa. uliza aliupata kwa sababu gani? sio matwins. charminglady ndo ivo tena..
sasa ukiwatishia na lunch za kempisk, wao wanajua kabisa hizi kamba afu watakupeleka ukweli...ukinipigia simu umekwama apo ujue siji. ili ujifunze
Bishanga mpaka watu wengine wajue kuwa huna namba yangu? mimi nimewazuga kwa kukushukuru ili wajue tumeongea! umeshajiharibia sasa. majisifu yote kwishney
nifungwe POP wapi? funguka....
Hatudanganyikimkuu we niunganishe tu na mmoja wa hawa,mengine niachie,wakitaka breakfast grand regency nairobi,lunch The four seasons london na dinner hilton ya new york nitampeleka tu kamanda.
Kaizer, kwa kumfanya ajione mdogo, tunampeleka, then tunaagiza kila kitu very expensive, that is, tunapoagiza hatuangalii kule mwisho kumeandikwa bei gani..... akishindwa kulipa tuna-swipe kadi zetu tu...... atakoma kuwatokea mapedeshee ya kike
Hi honey......
hipo incriminating post ngoja nii delete fasta.