Mobhare Matinyi: Mkazo wa Serikali ni kuelimisha wananchi wa Ngorongoro ili wahame kwa hiari

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi anazungumza na Waandishi wa Habari, leo Januari 17, 2024, Handeni-Tanga.


Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi amesema Mkazo wa Serikali ni kuelimisha wananchi wa Ngorongoro na kuwahamisha kwa hiari wananchi hao kuacha eneo la hifadhi libaki likikaliwa na wanyama.

Amefafanua kuwa gharama za ujenzi wa Nyumba z wamasai huko Msomera, Tanga, haipungui wastani wa Tsh. Milioni 15 kwa kila nyumba na gharama halisi itatolewa baada ya kukamilika kwa mradi huo. Hata hivyo, amebainisha kuwa gharama hizi zinabadilika kila mara ha haiwezi kubaki ileile kila siku.
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi anazungumza na Waandishi wa Habari, leo Januari 17, 2024, Handeni-Tanga.


Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi amesema Mkazo wa Serikali ni kuelimisha wananchi wa Ngorongoro na kuwahamisha wananchi ili eneo la hifadhi libaki likikaliwa na wanyama.

Amefafanua kuwa gharama za ujenzi wa Nyumba z wamasai huko Msomera, Tanga, haipungui wastani wa Tsh. Milioni 15 kwa kila nyumba na gharama halisi itatolewa baada ya kukamilika kwa mradi huo. Hata hivyo, amebainisha kuwa gharama hizi zinabadilika kila mara ha haiwezi kubaki ileile kila siku.

Lini tuliwauliza kuhusu Ngorongoro, inawezekana amechanganya kuhusu malalamiko yetu ya sukari kupanda bei yeye kazungumzia Ngorongoro.
 
Hawa wajinga wa ccm wanatuona waTz hatuna akili. Pesa za maendeleo hamna ila pesa za kuwahamisha watu na kuwajengea nyumba zipo. Huyo ajuza hao wajomba zake waarabu Kuna kitu wanakitafuta .
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi anazungumza na Waandishi wa Habari, leo Januari 17, 2024, Handeni-Tanga.


Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi amesema Mkazo wa Serikali ni kuelimisha wananchi wa Ngorongoro na kuwahamisha wananchi ili eneo la hifadhi libaki likikaliwa na wanyama.

Amefafanua kuwa gharama za ujenzi wa Nyumba z wamasai huko Msomera, Tanga, haipungui wastani wa Tsh. Milioni 15 kwa kila nyumba na gharama halisi itatolewa baada ya kukamilika kwa mradi huo. Hata hivyo, amebainisha kuwa gharama hizi zinabadilika kila mara ha haiwezi kubaki ileile kila siku.

Ni nani anayejenga mahotel makubwa huko Ngorongoro?
 
Sawa muarabu analipa fidia watu wahame ili achukue ardhi kirahisi:::: Saa100 hili utajibu time will come!!!

SASA SAMIA AFANYE NINI,AMEWASHAURI VATICAN WAJE WANUNUE HAWATAKI,WAO WANAKOMAA TUH KUWALAZIMISHA ETI WANACHI WAWE MACHOKO,AFANYE NIN SASA
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi anazungumza na Waandishi wa Habari, leo Januari 17, 2024, Handeni-Tanga.


Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi amesema Mkazo wa Serikali ni kuelimisha wananchi wa Ngorongoro na kuwahamisha wananchi ili eneo la hifadhi libaki likikaliwa na wanyama.

Amefafanua kuwa gharama za ujenzi wa Nyumba z wamasai huko Msomera, Tanga, haipungui wastani wa Tsh. Milioni 15 kwa kila nyumba na gharama halisi itatolewa baada ya kukamilika kwa mradi huo. Hata hivyo, amebainisha kuwa gharama hizi zinabadilika kila mara ha haiwezi kubaki ileile kila siku.

mlaaniwe mpigwe na radi mfe kwenye ndege mnakokwenda kuuza mali zetu
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi anazungumza na Waandishi wa Habari, leo Januari 17, 2024, Handeni-Tanga.


Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi amesema Mkazo wa Serikali ni kuelimisha wananchi wa Ngorongoro na kuwahamisha wananchi ili eneo la hifadhi libaki likikaliwa na wanyama.

Amefafanua kuwa gharama za ujenzi wa Nyumba z wamasai huko Msomera, Tanga, haipungui wastani wa Tsh. Milioni 15 kwa kila nyumba na gharama halisi itatolewa baada ya kukamilika kwa mradi huo. Hata hivyo, amebainisha kuwa gharama hizi zinabadilika kila mara ha haiwezi kubaki ileile kila siku.

Pesa zimetola katika mfuko upi?
1. Bunge lilipitisha bajeti hiyo?
2. Je wamefadhiliwa na nani?
3. Kama wamefadhiliwa huyo mfadhili ana maslahi gani Ngorongoro?
 
Hotuba nzito mbele ya jumuiya ya kimataifa kuhusu yanayoendelea Ngorongoro Loliondo Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=CjWMqs_15oc

Wakili msomi Joseph Moses
Oleshangay amekuwa akifanya kampeni kwa miaka mingi kupinga kufukuzwa kwa wafugaji wa Kimasai kutoka katika ardhi yao ya jadi kaskazini mwa Tanzania.

Akiwa mjumbe wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania, anahusika pia katika kutoa ushauri wa kisheria na kuweka kumbukumbu za ukiukwaji wa haki za binadamu nchini mwake. Juhudi zake bila kuchoka za kuboresha hali ya haki za binadamu nchini Tanzania zimeheshimiwa na Jiji la Weimar nchini Germany .

Joseph Moses Oleshangay alitoa shukrani zake kwa utambuzi huu wa kazi yake, na kusema kwamba anachukulia tuzo hiyo kama tuzo ya pamoja kwa jamii yake, wanasheria wenzake na washirika wa kimataifa, ikiwa ni pamoja na waandishi wa habari wanaoripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania.

Katika hotuba yake, ujumbe kwa hadhira yake ya Wajerumani, pia ulikazia na aliangazia chimbuko la ukoloni la njia ya sasa ya uhifadhi wa asili. Akizungumzia msamaha uliotolewa hivi karibuni na Rais wa Ujerumani kwa ukatili uliofanywa nchini Tanzania wakati wa ukoloni, Oleshangay alihimiza kila mtu kuchukua hatua dhidi ya dhuluma sasa, ikiwa ni pamoja na kukataa kwamba fedha za walipakodi wa Ujerumani zitumike kusaidia kufukuzwa kwa nguvu na ukiukaji wa haki za binadamu.
 
Aibu mnafukuza raia wenu mnaopaswa kuwalinda kwa kisingizio cha kugawa mali kwa wageni.

Jambo la kusikitisha mno.
 
SASA SAMIA AFANYE NINI,AMEWASHAURI VATICAN WAJE WANUNUE HAWATAKI,WAO WANAKOMAA TUH KUWALAZIMISHA ETI WANACHI WAWE MACHOKO,AFANYE NIN SASA
Kumbe kweli tuna dalali ikulu bhana! Tunalifurusha tu lirudi huko ghuba 2025! Hata iweje!
 
Back
Top Bottom