Yanga na wao wataenda marekani, maana akili zao wanazijua wenyeweMashabiki msiotumia logic kama wewe ndo mlisababisha Rage akatutukana
Kipindi MO anaahidi hostel na viwanja alijua mashabiki wengi wa Simba wapo kama wewe.
Yaani waache kwenda Spain au Brazil penye soccer waende USA Penye record nzuri ya Basketball na Baseball?Yanga na wao wataenda marekani, maana akili zao wanazijua wenyewe
Simba wanaenda USA Marekani mwakani.Yaani waache kwenda Spain au Brazil penye soccer waende USA Penye record nzuri ya Basketball na Baseball?
Yaani Simba wana sifa na Ujinga mwingi
USA na soccer wapi na wapi...au wanaenda NBA kwenye training ya Basketball?
"Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako"Tajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela
View attachment 1909187
Taratibu hao ni timu Manara na Kilomoni."Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako"
Naona sasa ni vita rasmi kati ya MO na Manara.Tajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela
View attachment 1909187
Hili wala halina toka kwa sasa, boss anaonekana kavurugwa sana na Manara, kwa sasa tunahitaji utulivu sana ili upepo huu mbaya upite
Tuache na Simba yetu, Boss Mo tumeshamzoea.Jenga uwanja na hostel kama ulivyoahidi tajiri janja janja wewe.
Vipi wamekwenda Marekani ?Simba wanaenda USA Marekani mwakani.
Huko Spain kwenye mpira nendeni nyinyi.
Kila timu ina mipango yake.
Simba inatengeneza Mahusiano na timu moja ya huko Marekani hivyo inaenda kujifunza baadhi ya mbinu za soka.
Marekani ishaingiza mara nyingi timu yao ya Taifa katika michuano ya Kombe la Dunia.
Je Tanzania kama nchi imeingiza mara ngapi timu yake ya Taifa.?
Acheni dharau, Marekani pamoja na kuthamini Basketball, inatuzidi sana katika nyanja ya Soka.
Kwanini hutaki Simba ijifunze kwao ?
Huko Brazili nenda wewe Simba wakati wake utafika wa kwenda huko.
masikini kuchukia tajiri hakukufanyi uwe afadhaliTajiri uchwara kawapeleka US ya buza
Tajiri ni moo?masikini kuchukia tajiri hakukufanyi uwe afadhali
Mudi kwa fiksi, hatumuwezi!Vipi wamekwenda Marekani ?