Mo Dewji: Simba itafanyia mazoezi Marekani 2022

Makolo FC
IMG_20210827_042608.jpg
 
Mashabiki msiotumia logic kama wewe ndo mlisababisha Rage akatutukana

Kipindi MO anaahidi hostel na viwanja alijua mashabiki wengi wa Simba wapo kama wewe.
Yanga na wao wataenda marekani, maana akili zao wanazijua wenyewe
 
Yanga na wao wataenda marekani, maana akili zao wanazijua wenyewe
Yaani waache kwenda Spain au Brazil penye soccer waende USA Penye record nzuri ya Basketball na Baseball?

Yaani Simba wana sifa na Ujinga mwingi

USA na soccer wapi na wapi...au wanaenda NBA kwenye training ya Basketball?
 
Yaani waache kwenda Spain au Brazil penye soccer waende USA Penye record nzuri ya Basketball na Baseball?

Yaani Simba wana sifa na Ujinga mwingi

USA na soccer wapi na wapi...au wanaenda NBA kwenye training ya Basketball?
Simba wanaenda USA Marekani mwakani.
Huko Spain kwenye mpira nendeni nyinyi.
Kila timu ina mipango yake.
Simba inatengeneza Mahusiano na timu moja ya huko Marekani hivyo inaenda kujifunza baadhi ya mbinu za soka.
Marekani ishaingiza mara nyingi timu yao ya Taifa katika michuano ya Kombe la Dunia.
Je Tanzania kama nchi imeingiza mara ngapi timu yake ya Taifa.?

Acheni dharau, Marekani pamoja na kuthamini Basketball, inatuzidi sana katika nyanja ya Soka.
Kwanini hutaki Simba ijifunze kwao ?
Huko Brazili nenda wewe Simba wakati wake utafika wa kwenda huko.
 
Tajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati

Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal

Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season

Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii

Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako

Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa

Wao wana watu sisi tuna hela

View attachment 1909187
"Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako"
 
Tajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati

Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal

Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season

Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii

Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako

Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa

Wao wana watu sisi tuna hela

View attachment 1909187
Naona sasa ni vita rasmi kati ya MO na Manara.
 
Hili wala halina toka kwa sasa, boss anaonekana kavurugwa sana na Manara, kwa sasa tunahitaji utulivu sana ili upepo huu mbaya upite

Badala ya kumsaidia Manara kisaikolojia ili akae sawa,mko mnazidi kumdidimiza tu,ataishia kujitia kitanzi ndiyo mtaelewa kuwa kufukuzwa kwake Simba ni pigo ambalo hakuwahi tegemea maishani mwake
 
Simba wanaenda USA Marekani mwakani.
Huko Spain kwenye mpira nendeni nyinyi.
Kila timu ina mipango yake.
Simba inatengeneza Mahusiano na timu moja ya huko Marekani hivyo inaenda kujifunza baadhi ya mbinu za soka.
Marekani ishaingiza mara nyingi timu yao ya Taifa katika michuano ya Kombe la Dunia.
Je Tanzania kama nchi imeingiza mara ngapi timu yake ya Taifa.?

Acheni dharau, Marekani pamoja na kuthamini Basketball, inatuzidi sana katika nyanja ya Soka.
Kwanini hutaki Simba ijifunze kwao ?
Huko Brazili nenda wewe Simba wakati wake utafika wa kwenda huko.
Vipi wamekwenda Marekani ?
 
Back
Top Bottom