Mnyika is the most brilliant lawmaker!

Mnyika is the most brilliant lawmaker!

He is very brilliant MP. The people of Ubungo Constituency should give him another term to be their Member of Parliament. I urge Hon. Mnyika to pursue LLB from any recognized University as to prove to the community that you are the best law maker. Bravo Hon. Mnyika.
 
Baada ya Zitto aliyetarajiwa kupewa uwenyekiti 2020 ..kwa uhakika kabisa Mnyika Ndio future leader wa Upinzani nchini ......na wengine Kama Kina dogo Janja ..wenje etc
 
Baada ya Zitto aliyetarajiwa kupewa uwenyekiti 2020 ..kwa uhakika kabisa Mnyika Ndio future leader wa Upinzani nchini ......na wengine Kama Kina dogo Janja ..wenje etc
Tanzania ya kesho itakuwa salama kama fikra za vijana za kama kina: Mnyika, Zitto, Mwigulu, January, Kingwangwala, Nape, Mchambuzi, Yericko na Saanane (minus fitna zao ao wawili wa mwisho) zitakuwa ushawishi wa kutafsiri siasa kwa vijana wanaotaka kufanya siasa.

Na sio wale vijana wachache ambao bado wenye majivuno kama Ngeleja na Nyalandu.
 
Nadhani ungeanza na Zitto Kabwe maana ni mbunge pekee katika bunge linaloendelea aliyepeleka hoja nyingi bungeni zenye masilahi kwa taifa na kupelekea mawaziri na viongozi kadhaa kujiuzuru kwa nyakati tofauti katika kipindi chake cha miaka 10 bungeni.

Hata suala la ESCROW ambalo CDM wamelitumia sana kujiuza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Mnyika alikuwa wapi wakati Kafulira na Zitto wanahangaika nalo na CAG! CDM walikuja kudandia na kutaka eti kutoka bungeni baada ya kuona hiyo issue inaweza kuwa boost kisiasa!

Mtu anaongelea vifungu vya sheria, wewe unakuja na hoja za kupeleka bungeni ufisadi Hii ungetoa thread nyingine kabisa ili watu wachangie. Isitoshe, zitto ni msomi zaidi ya Mnyika, tuwe tunaelewa mtoa hoja nini anaongelea. yaani uko out of track, tujifunze kuelewa sio kudakia tu kiushabiki bila kujua nini kinaongelewa. Ndo mnaojibu maswali bila hata kusoma guidelines/instructions. TZ kazi ipo kutoka
 
Pamoja nakuwa Mimi huwa simchangiaji sana lakini kwenye hili naamka na kusema... Mnyika is one of the best Mbunge bungeni, mimi kama mkaazi wa Ubungo sijutii hata kidogo kumchagua yeye
 
Wabunge wanatunga sheria au wanajadilli na kupigia kura sheria zilizotungwa na wataalamu wa sheria? Hilo la kusema wabunge wanatunga sheria ni tu kuwapa kilemba cha ukoka na wao wajisikie wamo.Lakini hana kitu.Serikali kupitia wanasheria wake hutunga sheria na kuipeleka bungeni kujadiliwa na kupiga kura.
Mnyika atunge sheria jamani pana kichwa cha kutunga sheria pale ukiangalia kale ka kichwa ka Mnyika?
Au Mbunge Sugu anaweza tunga sheria yule?

Ni kweli mkuu,Mnyika J J hajui kitu wala hana kichwani,isipokuwa Prof Maji Marefu,Lusinde,kina Mh sana Asumpta Mshana,Nchambi mbunge wa Kishapu,Haeish wa Sumbawanga,Lameck Airo wa Rolya,Idd Azan wa Kinondoni,Zuberi Mtemnvu wa Temeke,Maria Hewa,Sanga yule Jah people,Said Nkumba,Mariam Msangi,nk hawa ndio watunga sheria wazuri sana,eti Mnyika huyu wa Ubungo,hamna kitu huyo,Makene usitumie ushabiki kaka,wote tunajua.
Tuangalieni bunge kama bunge na wala sio Futuhi.
 
Nadhani ungeanza na Zitto Kabwe maana ni mbunge pekee katika bunge linaloendelea aliyepeleka hoja nyingi bungeni zenye masilahi kwa taifa na kupelekea mawaziri na viongozi kadhaa kujiuzuru kwa nyakati tofauti katika kipindi chake cha miaka 10 bungeni.

Hata suala la ESCROW ambalo CDM wamelitumia sana kujiuza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Mnyika alikuwa wapi wakati Kafulira na Zitto wanahangaika nalo na CAG! CDM walikuja kudandia na kutaka eti kutoka bungeni baada ya kuona hiyo issue inaweza kuwa boost kisiasa!

zitto ni mjanja. Aliishupalia issue ya ESCROW kupumbaza watu wasione jinsi alivyowachomoa IPTL fedha ati ya "kumtibia" mama yake! Anachomoa fedha TANAPA, huku akikoroma kuhusu ubadhirifu!
 
Huo ni ukweli ambao upo wazi kabisa lazima Wananchi wabadilike nakuchagua wabunge ambao wtafanya kazi yao inavyostahili yakutunga sheria pa1 nakujitahidi sana kwa Mnyika ila amekosa sapoti.
 
Hoja ni ya Kafurila fine, huyo Mnyika mnayemsema alikuwa wapi? Afterall Kafurila mlimfukuza CDM mkisema ni sisimizi tu! Aliyeagiza CAG kuchunguza suala la ESCROW ni PAC ambayo ilikuwa inaongozwa na Zitto na ripoti ya PAC ndio iliyowaondoa mawaziri na kupelekea baadhi kuhojiwa na tume ya maadili

Hata kama document zinatoka kwa watu wa serikalini, mbona hawakuzipeleka kwa Mnyika, Mbowe au Lissu?

Sasa kama Report ni ya PAC.why Zitto atake kuonesha kuwa yeye ndo alikuwa on top na kutaka kuuaminisha umma kuwa issue ilikuwa ni yake ?????
 
Wabunge wanatunga sheria au wanajadilli na kupigia kura sheria zilizotungwa na wataalamu wa sheria? Hilo la kusema wabunge wanatunga sheria ni tu kuwapa kilemba cha ukoka na wao wajisikie wamo.Lakini hana kitu.Serikali kupitia wanasheria wake hutunga sheria na kuipeleka bungeni kujadiliwa na kupiga kura.
Mnyika atunge sheria jamani pana kichwa cha kutunga sheria pale ukiangalia kale ka kichwa ka Mnyika?
Au Mbunge Sugu anaweza tunga sheria yule?

It all begins with the innerself, kama wanaweza kujiwekea own principles watashindwa vipi kuwa sehemu ya watunga na wajadili sheria za nchi? Kama wanaweza kuzitambua changomoto zinazokabili jamii zao unawezaje kwadharau kihivyo?
 
Watunga sheria wanaitwa learned brothers and Sisters huyo mnyika hata degree hana.Acha kudhalilisha fani ya wanasheria.
principally the man with topic has mentioned on Mnyika not being qualified but competent more than those who are qualified.Learn to criticize sensible affairs you should not erupt on objecting matters which are clearly identified.who has mention on Mnyika being qualified?
nadhani ni busara kuelewa hoja ya mtoa hoja sio kwakua unaweza kureply post basi ukajikuta unaandika hata mambo yasiyo na mantiki.mtuma topic kazungumzia umakini na utendaji bora wa kazi apart from Mnyika si mtu wa field husika.thats it
 
Naomba niseme tu,mh.Mnyika ni mbunge bora katika utungaji wa sheria katika bunge letu.

Tuna mawaziri na wabunge wasomi lakini Mnyika japo hana elimu kama wao,ame-prove to be the best lawmaker.

Huyu mh. ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kutetea hoja zake katika upitishaji wa vifungu vya sheri ila wingi wa wabunge wa CCM ndio kikwazo cha nchi hii kupata sheria bora.

Kwakweli he is very impressive awapo ndani ya bunge.

Ningekuwa na uwezo,huyu mh.ningemzawadia gari "brand new".

Tujenge utamaduni wa ku-pick the best legislator na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wabunge wanaotambua wajibu wao kwa umma.

Kwa wanaofuatulia bunge wataukubaliana na mimi ila kwa wale wenye wivu,wataleta hapa kejeli na siasa tu and nothing else.

Usimtafutie matatizo bure,most brilliant?unamaanisha Mnyika ni makini Bungeni kuliko Mbowe?tafadhari sana
 
Mkuu wamemzidi elimu kivipi? kuwa na vyeti ndo kuwa na elimu? Mbona anawagalagaza kwa mbali sana? Mtake Radhi Mkh Mnyika Mkuu... Yeye huwa anasoma sana na amefanikiwa kuwa na elimu kubwa sana kuwapita wengi pale mjengoni ... hao wenye vyeti vya mwaka 47 wakati huu ambao Dunia imebadilika ni wasanii tu ...

Naomba niseme tu,mh.Mnyika ni mbunge bora katika utungaji wa sheria katika bunge letu.

Tuna mawaziri na wabunge wasomi lakini Mnyika japo hana elimu kama wao,ame-prove to be the best lawmaker.

Huyu mh. ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kutetea hoja zake katika upitishaji wa vifungu vya sheri ila wingi wa wabunge wa CCM ndio kikwazo cha nchi hii kupata sheria bora.

Kwakweli he is very impressive awapo ndani ya bunge.

Ningekuwa na uwezo,huyu mh.ningemzawadia gari "brand new".

Tujenge utamaduni wa ku-pick the best legislator na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wabunge wanaotambua wajibu wao kwa umma.

Kwa wanaofuatulia bunge wataukubaliana na mimi ila kwa wale wenye wivu,wataleta hapa kejeli na siasa tu and nothing else.
 
Umeshasema PAC, hiyo ni kamati ndugu,si Zitto peke yake, wale 19 wangegoma hakuna kilichofanyika. Hoja ya Escrow bila wabunge wote wa Upinzani ingekuwa mvuke na ingepotea hewani,jifunze uelewe na kuelimika. Report mbalimbali za mashirika yanayotathmini mabunge, zinamtaja Mnyika kuwa Mbunge pekee mwenye Mchango Mkubwa Bungeni kuliko mbunge mwingine yeyote,na sio kwa idadi ya hoja tu,bali hoja zenye Maslahi mapana kwa Taifa hili. Zitto ana Mchango wake na Unaheshimika,lakini je!ndiye mbunge pekee aliyefukuzisha Mawaziri?
Pamoja na mahaba uliyonayo kwa Zitto, huna budi kukubaliana na Ukweli uliopo, na uwe reasonable.

Ebu tutajie hao wabunge walioleta hoja zilizofukuzisha mawaziri, usipige porojo, tutajie tu.

Pili, ebu tuonyeshe hapa hiyo report inayoonyesha wabunge na hoja zao zenye msalahi ya nchi walizozitoa bungeni, na wakamuweka Mnyika kuwa namba moja.tuwekee hapa.Tusiongee porojo, weka vithibitisho hapa.

Tatu, so unamaana Mnyika anamfunika mpaka Mbowe huko Bungeni?mtamuharibia huyu kijana, shauri yenu.Jambo kila mtu anajua Mbowe kwenye hoja bungeni ni boya lakini msifie tu kuwa ndiye makini zaidi bungeni.Fuata protokali.
 
Mnyika leo alikuwa anamwaga madini wabunge wa CCM idiotically wakawa wanapitisha miswada kwa speed ya hatari sijui walikuwa wanawahi wapi ?
 
Back
Top Bottom