Mbona maji hajaleta Ubungo kazi kubwabwaja tu!
@Capito
Unajua moja ya fursa unazoweza kupata kwenye search engines ni pamoja na kufanya utafiti. Kama unakiri huwezi hata ku-google kupata taarifa juu ya jambo hilo, basi omba usaidiwe.
Wewe unaongelea kuandika maazimio wakati issue imefikia ukingoni?? mwanzoni wakati Kafulila anatukanwa na CAG walikuwa wapi? Kama umeelewa mada yangu ndio maana nimesema CHADEMA walidandia issue ya ESCROW katikati baada ya kugundua kuwa inaweza kuwa boost kisiasa!capito
Ulkikuwa wapi wakati Zitto akisema amechoka na kuamua kutuuza kwa CHENGE? na hili ni baada ya kuja na MAZIMIO mepesi mepesi kwenye ripoti yao maana haowezekani hela ziibiwe na BOT na Wizara ya fedha wasiguswe uliona wapi hiyo?
JE ni nani aliokoa Jahazi baada ya Zitto kutuuza? MBOWE hahah hutaki hili najuua
JE ni nani aliyeandika upya yale maazimio kwenye kamati baada ya zitoo kusanda kwa mwanamama kairuki ? LISSU najua hutaki kusikia.
Yeye ndo anaekusanya kodi..? Mtafute Maghembe anaetoa ahadi kila siku.. Mada ya hapa ni uwezo mkubwa wa John katika kujenga hoja.. Mapimbi kuielewa hii ni ngumu sana..
Mkuu naheshimu mawazo yako lakini wewe ndiyo mwenye makosa, sasa mimi unaniuliza hotuba ya waziri kivuli wa nishati na madini niwe nayo ya nini?
Wewe kama uliona kuwa kwenye hiyo hotuba ndio kulikuwa na majibu ya hoja zangu basi wewe ndio ulitakiwa kufanya hiyo homework ya kuleta hiyo hotuba na kuoesha kwa vipi inajibu hoja yangu na siyo kuniambia mimi nilete hotuba!
Kama ni hotuba tu mbona zipo nyingi, hata Mh.Sugu na Lema nao wanazo!
Watunga sheria wanaitwa learned brothers and Sisters huyo mnyika hata degree hana.Acha kudhalilisha fani ya wanasheria.
Mkuu Salary Slip nauliza tena leo kama jana, ina maana kwenye law making Mnyika yupo juu ya learned brother Tundu Lisu?Naomba niseme tu,mh.Mnyika ni mbunge bora katika utungaji wa sheria katika bunge letu.
Tuna mawaziri na wabunge wasomi lakini Mnyika japo hana elimu kama wao,ame-prove to be the best lawmaker.
Huyu mh. ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kutetea hoja zake katika upitishaji wa vifungu vya sheri ila wingi wa wabunge wa CCM ndio kikwazo cha nchi hii kupata sheria bora.
Kwakweli he is very impressive awapo ndani ya bunge.
Ningekuwa na uwezo,huyu mh.ningemzawadia gari "brand new".
Tujenge utamaduni wa ku-pick the best legislator na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wabunge wanaotambua wajibu wao kwa umma.
Kwa wanaofuatulia bunge wataukubaliana na mimi ila kwa wale wenye wivu,wataleta hapa kejeli na siasa tu and nothing else.
Acha kutetea ushuzi!, Mbona ktk kampeni zake 2010 alitoa ahadi ya kupatikana kwa maji Ubungo nzima???....
Sasa hivi fupa limemshinda mnaanza kutumia mpira kwa maCCM,
Kujenga hoja hakusaidii kitu Kama unashindwa kutekeleza ahadi ulizo toa!
CHAGADEMA = maCCM = Hawafai kuongoza.
Mkuu acha matusi, watu tuna uchungu na maji.Hata akiyaleta bado kuoga, mnashindwa mnaishia kuoshea boda boda.
Nadhani ungeanza na Zitto Kabwe maana ni mbunge pekee katika bunge linaloendelea aliyepeleka hoja nyingi bungeni zenye masilahi kwa taifa na kupelekea mawaziri na viongozi kadhaa kujiuzuru kwa nyakati tofauti katika kipindi chake cha miaka 10 bungeni.
Hata suala la ESCROW ambalo CDM wamelitumia sana kujiuza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Mnyika alikuwa wapi wakati Kafulira na Zitto wanahangaika nalo na CAG! CDM walikuja kudandia na kutaka eti kutoka bungeni baada ya kuona hiyo issue inaweza kuwa boost kisiasa!
Hivi kwa akili zako mtu anaweza kujenga hoja zenye mshiko on current political issues bila ya kuwa msomaji wa kila siku na mfuatiliaji wa siasa.Tuna mawaziri na wabunge wasomi lakini Mnyika japo hana elimu kama wao,ame-prove to be the best lawmaker.
Mkuu acha matusi, watu tuna uchungu na maji.