Kuchabutwa
Senior Member
- Jan 4, 2015
- 101
- 71
Kijana ana point wingi wa ccm ndo unawaangusha. Lkn anajenga point za maana sana.
Yaani umezungumza kitu kilichotulia sana, Mnyika ni mmoja ya wabunge wachache wa bunge hili wanaojua wajibu wa mbunge haswa. Sio mara moja au mbili namuona akipambana kwenye vifungu vya sheria na huwa anapambana mpaka dakiki ya mwisho na huwa anajenga hoja zenye mantiki. Huwa anashindwa kwa ule wingi wa ndioo na sio hoja.
Kwa uwezo huo wa Mnyika umenifanya mimi na wenzangu waelewa kuangalia uwezo wa mtu na sio elimu yake ya darasani. Kwa mfano hebu tuangalie tu watu wenye elimu ya degree pale bungeni wenye uwezo wa kujenga hoja kama Mnyika achia mbali hao MaDr na Maprof. kwahiyo elimu kwetu haina tija kwa kiwango kile bali ni sifa mojawapo tu ya mmbunge, ila uongozi kwetu ni uwezo. Nakushukuru mleta mada kwa kuliona hilo.
Kama ungeweka hapa hizo ripoti za mashirika zinaomtaja Mnyika kama mbunge pekee mwenye mchango mkubwa bungeni ingekuwa vizuri saana. Otherwise wewe ndio unatakiwa kuwa reasonable badala ya kuniambia mimi maana unaongea maneno ya kusikia kwenye vijiwe vya kahawa na magazeti ya udaku!
capitoNadhani ungeanza na Zitto Kabwe maana ni mbunge pekee katika bunge linaloendelea aliyepeleka hoja nyingi bungeni zenye masilahi kwa taifa na kupelekea mawaziri na viongozi kadhaa kujiuzuru kwa nyakati tofauti katika kipindi chake cha miaka 10 bungeni.
Hata suala la ESCROW ambalo CDM wamelitumia sana kujiuza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Mnyika alikuwa wapi wakati Kafulira na Zitto wanahangaika nalo na CAG! CDM walikuja kudandia na kutaka eti kutoka bungeni baada ya kuona hiyo issue inaweza kuwa boost kisiasa!
Amewahi kuleta muswada gani?Naomba niseme tu,mh.Mnyika ni mbunge bora katika utungaji wa sheria katika bunge letu.
Tuna mawaziri na wabunge wasomi lakini Mnyika japo hana elimu kama wao,ame-prove to be the best lawmaker.
Huyu mh. ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kutetea hoja zake katika upitishaji wa vifungu vya sheri ila wingi wa wabunge wa CCM ndio kikwazo cha nchi hii kupata sheria bora.
Kwakweli he is very impressive awapo ndani ya bunge.
Ningekuwa na uwezo,huyu mh.ningemzawadia gari "brand new".
Tujenge utamaduni wa ku-pick the best legislator na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wabunge wanaotambua wajibu wao kwa umma.
Kwa wanaofuatulia bunge wataukubaliana na mimi ila kwa wale wenye wivu,wataleta hapa kejeli na siasa tu and nothing else.
capito
Ulkikuwa wapi wakati Zitto akisema amechoka na kuamua kutuuza kwa CHENGE? na hili ni baada ya kuja na MAZIMIO mepesi mepesi kwenye ripoti yao maana haowezekani hela ziibiwe na BOT na Wizara ya fedha wasiguswe uliona wapi hiyo?
JE ni nani aliokoa Jahazi baada ya Zitto kutuuza? MBOWE hahah hutaki hili najuua
JE ni nani aliyeandika upya yale maazimio kwenye kamati baada ya zitoo kusanda kwa mwanamama kairuki ? LISSU najua hutaki kusikia.
Amewahi kuleta muswada gani?
Jana kasisitiza wale walioingiziwa fedha kupitia Stanbic wafichuliwe ilhali zitto na kamati yake hawakuwakomalia,huyu jamaa amezidisha mahaba kwa zito
Wanaubungo tuna hitaji maji John Mnyika ulituahidi kutupa maji wakati ulikuwa unajua fika wewe uwezi kuleta maji...hakika ukirudi bungeni ukatambike upareni..
Mkuu, hili lipo wazi tu kama uchi wa Ng'ombe, hata Lukuvi anamkubali pamoja na ukilaza wake pia Makinda Juzi kikao cha jioni alimkubali. Ila tu ni upuuzi wa wanaccm wanotaka kubeza kila kitu ili mradi tu kimetoka upinzani, mfano mzuri ni Henry Shekif anakuwa kama hana ufahamu vile.Naomba niseme tu,mh.Mnyika ni mbunge bora katika utungaji wa sheria katika bunge letu.
Tuna mawaziri na wabunge wasomi lakini Mnyika japo hana elimu kama wao,ame-prove to be the best lawmaker.
Huyu mh. ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kutetea hoja zake katika upitishaji wa vifungu vya sheri ila wingi wa wabunge wa CCM ndio kikwazo cha nchi hii kupata sheria bora.
Kwakweli he is very impressive awapo ndani ya bunge.
Ningekuwa na uwezo,huyu mh.ningemzawadia gari "brand new".
Tujenge utamaduni wa ku-pick the best legislator na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wabunge wanaotambua wajibu wao kwa umma.
Kwa wanaofuatulia bunge wataukubaliana na mimi ila kwa wale wenye wivu,wataleta hapa kejeli na siasa tu and nothing else.
Kazi nzuri sana. Lakini bahati mbaya hajawahi kufanikiwa kupitishwa sheria hata moja aliyoandika yeye, sio?
Mojawapo ni huu muswada unaoisumbua sana Serikali ya CCM...
Mkuu, hili lipo wazi tu kama uchi wa Ng'ombe, hata Lukuvi anamkubali pamoja na ukilaza wake pia Makinda Juzi kikao cha jioni alimkubali. Ila tu ni upuuzi wa wanaccm wanotaka kubeza kila kitu ili mradi tu kimetoka upinzani, mfano mzuri ni Henry Shekif anakuwa kama hana ufahamu vile.
Nadhani ungeanza na Zitto Kabwe maana ni mbunge pekee katika bunge linaloendelea aliyepeleka hoja nyingi bungeni zenye masilahi kwa taifa na kupelekea mawaziri na viongozi kadhaa kujiuzuru kwa nyakati tofauti katika kipindi chake cha miaka 10 bungeni.
Hata suala la ESCROW ambalo CDM wamelitumia sana kujiuza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Mnyika alikuwa wapi wakati Kafulira na Zitto wanahangaika nalo na CAG! CDM walikuja kudandia na kutaka eti kutoka bungeni baada ya kuona hiyo issue inaweza kuwa boost kisiasa!
Watunga sheria wanaitwa learned brothers and Sisters huyo mnyika hata degree hana.Acha kudhalilisha fani ya wanasheria.
Wabunge wanatunga sheria au wanajadilli na kupigia kura sheria zilizotungwa na wataalamu wa sheria? Hilo la kusema wabunge wanatunga sheria ni tu kuwapa kilemba cha ukoka na wao wajisikie wamo.Lakini hana kitu.Serikali kupitia wanasheria wake hutunga sheria na kuipeleka bungeni kujadiliwa na kupiga kura.
Mnyika atunge sheria jamani pana kichwa cha kutunga sheria pale ukiangalia kale ka kichwa ka Mnyika?
Au Mbunge Sugu anaweza tunga sheria yule?