Sahihi kabisaUko sahihi sana, hata wakati wa vita vya Uganda wananchi walikuwa tayari, je Nyerere alikuwa mstari wa mbele huko vitani? Hawa askari wote wanaokwenda kulinda amani sehemu zenye vita, viongozi wanaosaini hiyo mikataba na wao huwa wanaenda huko kwenye vita wao na familia zao? Kwenye mechi za soka huwa kunakuwa na kocha, je huwa naye anaingia uwanjani kucheza?
Hizi lugha za kijinga ndio hutengenezea uhalali wa viongozi kusigina haki na maslahi ya watu. Ndio maana unaona viongozi wanaoishi hapa Dar wanatembelea maVX ya 400m+, huku wao wakiwa na maji safi ya kuflash mpaka vinyesi, wakati huko vijijini watu wakosa hata kisima cha maji cha 50m tu. Na mleta post unaona umepost kitu cha maana kwelikweli.
Wale mapoliccm wanaodai viongozi wa CDM waee mstari wa mbele kwenye maandamaono watusaidie kujibu swali.Uko sahihi sana, hata wakati wa vita vya Uganda wananchi walikuwa tayari, je Nyerere alikuwa mstari wa mbele huko vitani?
Wala hakuwa muovu, alikuwa muwazi sana.Kaishi naye kaburini boss. Nchi hii haina nafasi ya kiongozi muovu kutamba.
Shida ya cdm ni moja tu huwa awajui nyakat nzuri ya kupigana vita na mbinu nzuri zaidi kwene medani hapo tu... inshort there not strategic wameweka uhanaharakati mbele Tz sio nchi inayohitaji mapigano ya kihanaharakati kwene politics...ni mbinu,nyakati sahihi na nyenzoKwa taarifa yako hata rais mumjaze mtakavyo hata ikibidi kuifuta cdm, bado katiba mpya itapatikana. Hata angefufuka Magufuli leo hii bado katiba mpya ingepatikana. Na vile alikuwa ameshaangusha uchumi, tena yeye ingepatikana hata kwa machafuko. Hitaji la katiba mpya ni la wakati, halikwepeki kwa hila wala mabavu. Someni alama za nyakati.
Ndio maana halisi ya ulimwengu wa kidigitali.Sawa sawa mashujaa wa keyboards
Kina Mandela, kenyatta etc wangekuwa na mawazo haya Africa isingepata uhuru.Kila siku mnalala jela.hamchok jaman...hii ni africa jaman..mnajisahau sana..hapa utapotezwa na utasahaulika
Wala hakuwa muovu, alikuwa muwazi sana.
Hakuwa mnafiki, ukifanya ujinga unapewa makavu hapo hapo.
Sasa baadhi ya Watanzania kama wewe mlipotumbuliwa, mkamchukia.
Pamoja na kuondoka hapa duniani lakini kawaamsha Watz wengi, hatuwezi kuchezewa kama miaka ya nyuma.
Shida ya cdm ni moja tu huwa awajui nyakat nzuri ya kupigana vita na mbinu nzuri zaidi kwene medani hapo tu... inshort there not strategic wameweka uhanaharakati mbele Tz sio nchi inayohitaji mapigano ya kihanaharakati kwene politics...ni mbinu,nyakati sahihi na nyenzo
Basi kama ule ndo uovu Watanzania wengi tunauenzi na kutafuta mwingine wa kurithi huo uovu fullstop.Sijawahi kuwa mnufaika binafsi wa serikali kwa chochote, sasa anitumbue kwa lipi? Ni hivi, alikuwa mtu muovu fullstop.
Ujue katiba ni ya nchi na wananchi wte kwa ujumla na ndo maan zipo procedures namna yakupata katiba mpya wala hamna aliekataa hata raisi kasema apewe muda kidgo, sasa cdm wanataka kwa lazima lianze sasa Tena kibaya zaidi wanatumia mbinu ambazo hazita wafavour, walitakiwa wa bye support ya wananchi Tena kwa makundi tofauti ila kwa siku hizi 100 za samia watu waliowengi wanamsupport hivo sio rahisi kuushawishi umma kwa wingi kwa hizi siku chache maan wanaona samia kaja kitofaut ni faraja kwa wengi ndo maan nasema hawajui mbinu sahihi Tena kwa wakati sahihiNi kweli kabisa boss usemacho, cdm wao wanatumia mbinu hizo mbovu, ww na taasisi uliyopo tumieni hizo mbinu sahihi, lengo ni kupata katiba mpya. Unakwama lolote mkuu?
Hivi wewe unaweza kumsogelea kichaa aliyeshika rungu?limi chadema imewahi ishiwa sera??
kwanini hamkudai akiwa hai mmesubiri mpaka amekufa!!!
jichaganyeni.
Watanzania sio mataahira kama babu yako, jpm ndo rais wa mwisho mwovu kuongoza tz, haitakuja itokee tena tz tupate rais wa hovyo kama marehemu mwendakuzimu.Basi kama ule ndo uovu Watanzania wengi tunauenzi na kutafuta mwingine wa kurithi huo uovu fullstop.
Ujue katiba ni ya nchi na wananchi wte kwa ujumla na ndo maan zipo procedures namna yakupata katiba mpya wala hamna aliekataa hata raisi kasema apewe muda kidgo, sasa cdm wanataka kwa lazima lianze sasa Tena kibaya zaidi wanatumia mbinu ambazo hazita wafavour, walitakiwa wa bye support ya wananchi Tena kwa makundi tofauti ila kwa siku hizi 100 za samia watu waliowengi wanamsupport hivo sio rahisi kuushawishi umma kwa wingi kwa hizi siku chache maan wanaona samia kaja kitofaut ni faraja kwa wengi ndo maan nasema hawajui mbinu sahihi Tena kwa wakati sahihi
Ukiachana na yote na hiyo hoja ya kutokuandamana sababu ya kutishwa na dola lakini Kuna ukweli ulio wazi kabisaa ambao mlio wengi wenye imani na movements Kama hizo kuwa ndio zinaweza kuleta ukombozi hamuukubali ila ni kwamba sababu kubwa ya haya maandamano kufeli ni watu kuwapuuza hao wanao hamasisha hayo maandamano, ushawishi wao na hoja wanazo zitumia ni nyepesi mno mwisho hupuuzwa na jamii kubwa ya watanzania.Hakuna mtu angeandamana wakati dhalimu alishaagiza watu wauwawe. Watanzania kwa asili yako ni watu wa kumuachia Mungu na huishia kusimanga. Na si kila kitu hutokea mara moja, mambo mengine ni mchakato. Lakini uzuri ni kuwa mbegu ya watu kuandamana imeshapandwa, kama si leo basi haiko mbali. Mfano angalia makondoo wa hapo Eswatini walikuwa ni mateka wa mfalme. Umeona kilichotokea siku mbili hizi? Huko Zimbabwe Mugabe aligeuza watu wote ni mandondocha hakuna aliyekuwa anakohoa. Lete mrejesho wa kipi kilimkuta?
Maandamano kutokufanyika juzi haimaniishi watu waliridhika na kilichofanyika, ila udhubutu ndio bado. Kwa sasa chukulia ule ukatili na uoga ni ushindi, lakini iko siku hutaamini macho yako, utatamani siku zirudi nyuma.
Ukiachana na yote na hiyo hoja ya kutokuandamana sababu ya kutishwa na dola lakini Kuna ukweli ulio wazi kabisaa ambao mlio wengi wenye imani na movements Kama hizo kuwa ndio zinaweza kuleta ukombozi hamuukubali ila ni kwamba sababu kubwa ya haya maandamano kufeli ni watu kuwapuuza hao wanao hamasisha hayo maandamano, ushawishi wao na hoja wanazo zitumia ni nyepesi mno mwisho hupuuzwa na jamii kubwa ya watanzania.
Huu ndo udoko wenyewe. Akili gani hii? Kweli ndiyo maana tulipelekwa utumwani.Wananchi tupo ila nyie viongozi muwe mstari wa mbele sisi wananchi tuwe nyuma yenu