hana lolote zaidi ya kutafuta umaarufu.
Mbunge wa Ubungo kamanda John Mnyika aungana na wananchi waliokuja Katika mkutano uliofanyika Katika viwanja Vya Kibaha Maili Moja mara tu mkutano ulipokwisha.
Kwa ushuhuda cheki picha chini
![]()
Kwahiyo mulipanga mumpige picha ili humu auze sura?huyo jamaa ambae anatuangalia ni Beni sanane au? naona kaa kichagakichaga sana,naona mulijaa wa kanda yenu sana!!!!
Kwahiyo mulipanga mumpige picha ili humu auze sura?huyo jamaa ambae anatuangalia ni Beni sanane au? naona kaa kichagakichaga sana,naona mulijaa wa kanda yenu sana!!!!
Ukisema Mnyika hana uwezo utakuwa unamatatizo,kinachoonekana ni kuwa mjumbe ndio,yan kilakitu ndio mzee,"nyuma geuka mbele tembea"anaramba watu viatu.anakubali kuingiliwa ua kwasababu wanatoka kumoja.Hakuna hazina ndani ya nchi hii kama mnyika.huyu kijana bila kujali chama atakachokuwa anakiwakilisha ,ni hazina kubwa kwa taifa hili leo na kesho amini usiamini...heko wana ubungo.
Mnyika panda mwana punda kama Bwana Yesu alipoingia Yerusalem kwa shangwe siku ile ya mitende na Last supper
wewe ndie pambafu kumshambulia mtu anayepanda daladala na kuwaacha watu waoagiza mashangingi kila kukicha au wanaotumia mabilioni kununua ndege mbovu au wanaotumia mabilioni kununua rada za deal. kuhusu posho ulikuwa wapi wewe Gamba wakati chadema ilipokuwa ikidai posho zisizo za msingi zifutwe ?? l
please acha ukali wako wa kinafiki gamba la kijani Pilitoni
Ujinga pia kukubali kubaguliwa sisi wanakusini walitubagua sana,wameshindwa kutupa hata mbunge wa viti maalumu mmoja ili CDM ionekane inasura ya kitaifa,lkn HAI wamepewa wawili.kudadeki !!!!! wabaguzi wakubwa nyinyi.Ujinga siyo kutojua kuandika na kusoma pekee.
Kubagua watu kwa makabila yao unaweza kuwa ujinga uliopitiliza kuliko ule wa kutojua kusoma na kuandika.
Kuna mmoja alioneshwa kapanda MTUMBWI mkasema anaigiza,, huyu kapanda dala dala mnamtetea......DOUBLE STANDARDS!!!! hamna lolote.
Kama ni umarufu Mnyika anao sana tena wa + siyo wa huyo mwenye kifafa wenu mwenye sifa za -hana lolote zaidi ya kutafuta umaarufu.
Bajaji/toyo mbona ndiyo usafiri wa Lema hapa Arusha...tunasubiri Komba nae apande toyo..lolna yule makamba aliepanda bajaji je?