hana lolote zaidi ya kutafuta umaarufu.
umaarufu wenye maana n mwema xana.hana lolote zaidi ya kutafuta umaarufu.
hana lolote zaidi ya kutafuta umaarufu.
Duniani bwana, hakuna jema litakolokuwa zuri kwa watu wote. Masikini anachekwa kufuria, tajiri anaambiwa anaringa na hela zake. Kweli tenda wema nenda zako.
umaarufu wenye maana n mwema xana.
Ndio hilo lolote!
Kama ni umarufu Mnyika anao sana tena wa + siyo wa huyo mwenye kifafa wenu mwenye sifa za -
alikuja na gari yake. halafu wakati wakurudi akajifanya eti anafanana nasi, na lile gari lake likarudi bila yeye na kwenda kusuburia kituoni. sasa ameserve nini, kama mafuta na garama ni zilezile zilizotumika na isingeleta tofauti hata kama angeenda na gari lake. na rudia tena. ni kutafuta umaarufu tu hana lolote.
ambao anao tayari ?
Umaarufu sio kitu kibaya mkuu; inategemea unaupata kwa matendo asilia au unautafuta kama wanavyofanya wanaotafuta uongozi kupitia ccm.
makengeza yako hayatibiki si ccbrt wala ujerumani, una hasara mwakwetu.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Hata Kama anatafta umaarufu lakini at least amejaribu.
Sent from my EyePhone
MWAKYEMBE alipanda treni from DAR-DODOMASioni ajabu kwa kiongozi kama Mnyika kupanda daladala,kwa wanaobeza hili basi watupe mfano wa viongozi wao wenye mashangingi ya bei mbaya na wakaamua kupanda daladala.