Mnyika apanda daladala!

Mnyika apanda daladala!

alikuja na gari yake. halafu wakati wakurudi akajifanya eti anafanana nasi, na lile gari lake likarudi bila yeye na kwenda kusuburia kituoni. sasa ameserve nini, kama mafuta na garama ni zilezile zilizotumika na isingeleta tofauti hata kama angeenda na gari lake. na rudia tena. ni kutafuta umaarufu tu hana lolote.

we mjamaa una matatizo ya akili au?
 
MAGAMBA acheni majungu bac, posho anayochukua Mnyika ile ni haki yake kwa kazi anayofanya Bungeni, huwezi fananisha na GAMBAZI KOMBA.
 
Bila kuwa karibu na wananchi hauwezi kujua matatizo yanayo wasibu.kila mwenye akiri timamu lazima atakubali kuwa mnyika alikuwa sawa mno kwa kitendo kile.
 
Anajua ipo siku maisha yatageuka atarudi huku uraiani, kwa hiyo mwacheni afanye hivyo
 
we mjamaa una matatizo ya akili au?

Hapana sio kwamba ana matatizo ya akili ni kweli alichosema, na mimi naongezea alichofanya mnyika ni fake, hayo sio maisha yake ya kila siku ametuzuga tu wananchi tuone tuko naye, mi ningemkubali zaidi lile cruzer lake angelikodisha/angeliuza na hela akapeleka kwenye maendeleo halaf yeye angekuwa anakula basi kila siku na tuwe tunakutana pale ubungo anapoenda bungeni.
 
Back
Top Bottom