Mnyeti ni mfano hai wa Wabunge mizigo na anayehatarisha diplomasia ya nchi

"ALEXANDER MNYETI" sio jina geni katika siasa ya Tanzania. Wengi wanakumbuka ugomvi wake mkubwa na waandishi wa habari mkoa wa Arusha wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambapo chanzo kinaelezwa kuwa ni Mnyeti kumuweka ndani mwandishi wa ITV (Arusha) Halfan Liundi kwa kile kilichoelezwa kuwa Mwandishi huyo aliripoti habari ya maji ambayo yeye (Mnyeti) HAKUIPENDA. baadaye Jeshi la polisi lilimwachia huru mwandishi huyo bila kuweka bayana makosa yake.
Waandishi wa habari walipomtafuta ili kutaka ufafanuzi aliwaambia
“KAMA KUNA MWANAUME ANAYEJIAMINI ANIFUATE KUNIHOJI,”

Sasa haya ni ya zamani, lakini Mnyeti alikwenda kwenye kura za maoni akambwaga Charles Kitwanga na hatimaye akawa mbunge wa Jimbo la Misungwi mkoa wa Mwanza.

Bungeni nako ameendeleza matendo yake ya ajabu na yasiyotabirika lakini kubwa na la hivi karibuni ni kauli aliyoitoa Alhamisi, 23-06-2022 katika Mkutano wa saba wa Bunge la 12 kikao cha 50 wakati akichangia hoja ya bajeti kuu ya Serikali.

Akichangia hoja Mnyeti alisema "Jirani akiwa na matatizo tumsaidie haina mbaya, lakini jirani tunayemsaidia awe ni jirani anayejitambua, wako majirani HAWAJITAMBUI, inauma sana tunapopeleka askari wetu wanakwenda kupigana vita zao wanarudi wamekufa,...alafu wale wa nchi husika TUNAOWASAIDIA HATA HAWAJALI NCHI YAO, WAKO TANZANIA WANATETEMA KIFUA, WANATETEMA MIKONO ETI WAMEFUNGA MAGOLI. Hizo nguvu wanazotumia kutetemeka kifua na mikono kwanini wasibebe mtutu wa bunduki wasaidie mataifa yao ili dhahabu yao ibaki kwenye nchi yao,...hili sio sawa , Waziri wa Ulinzi lazima mlione hili, haya mambo ya mtu anakuja kutetemeka Tanzania alafu ameacha nchi yake inaibiwa dhahabu huko, hiyo halikubaliki"

Maneno kama haya kuzungumzwa na MBUNGE, ndani ya BUNGE ni hatari sana kwani yanaweza kuleta mgogoro wa kidipolomasia na majirani zetu (Kama alivyowaita Mnyeti). Tunaofuatilia michezo tunafahamu anayetetema ni MAYELE na anatoka nchini CONGO na tunaofuatilia Siasa tunafahamu mgogoro mkubwa unaoendelea baina ya Rwanda na Congo kwa kinachodaiwa kuwa wizi wa MADINI (Dhahabu kama alivyosema Mnyeti), tunafahamu kuwa Askari wetu kadhaa wamepoteza maisha katika maeneo ya nchi hizi LAKINI yeye Mnyeti anapata wapi uhakika kuwa kuna nchi inaibia dhahabu nchi nyingine hadi asimame ndani ya BUNGE kuwataka raia wa nchi hiyo waache kufunga magoli waende KUSHIKA MITUTU YA BUNDUKI kuzuia wizi wa dhahabu.

Mnyeti ni mfano hai wa wabunge na viongozi mizigo tulionao ndani ya Bunge na ndani ya Serikali wasiofahamu nini kisemwe wapi, madhara ya maneno yao na maafa wanayoweza kusababisha. Rais Samia Suluhu anafanya kazi kubwa kurudisha mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Tanzania na nchi nyingine ambayo yaliyumba sana, lakini watu kama kina Mnyeti ni dhahiri wako katika mwelekeo tofauti kabisa.

Lakini kama huyu Mnyeti alishindwa kusimamia Wilaya kwa haki na usawa, kama aliweza kufikishwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kujibu tuhuma zinazomkabili za kuingilia Haki, Uhuru na Madaraka ya Bunge wakati akiwa DC ni kwanini tutegemee mambo tofauti na anayoyafanya sasa anapozungumza kwa ukubwa wa mijadala ya Nchi, kwa urefu wa maarifa yake ni dhahiri anayoyafanya na mengine ya hovyo anayoweza kuyafanya ndio uwezo wake wa kiuongozi ulipofikia, hii ni mizigo ya kufagia 2025.

Pongezi kwa Waziri wa Ulinzi, Dk. Stergomena Tax, ambaye ameliomba Bunge kuondoa kwenye Kumbukumbu Rasmi za Majadiliano katika mijadala na hoja kati ya Wabunge na Serikali (Hansard) maneno ya Mbunge Alexander Mnyeti AMBAYO AMESEMA NI HATARI NA YANAYOINGILIA MAHUSIANO YA KIDIPLOMASIA.

View attachment 2270538

Ukiona hivyo ujue Mnyeti ni Mnyaruanda kama sponsor wake aliyeko kuzimu. Hakika dhalim kaacha matakataka mengi hapo mjengoni
 
Hutegemei kabisa, mtu mwenye akili timamu achilia mbali Mbunge anaweza kusema aliyoyasema
Ni sawa kwann wasijunge na jeshi lao ili wapiganie taifa lao badala ya kuja huku kula maisha wakati kwao kuna vita,Mfano Ukraine hawakuwa najeshi madhubuti ila wamejiunga unga tu na sasa wanawawashia moto Urusi!!!
Mnyeti amekosea ila sio sana mana yuko sahihi
 
Ni sawa kwann wasijunge na jeshi lao ili wapiganie taifa lao badala ya kuja huku kula maisha wakati kwao kuna vita,Mfano Ukraine hawakuwa najeshi madhubuti ila wamejiunga unga tu na sasa wanawawashia moto Urusi!!!
Mnyeti amekosea ila sio sana mana yuko sahihi
Kaa kimya ufiche ujinga wako
 
"ALEXANDER MNYETI" sio jina geni katika siasa ya Tanzania. Wengi wanakumbuka ugomvi wake mkubwa na waandishi wa habari mkoa wa Arusha wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambapo chanzo kinaelezwa kuwa ni Mnyeti kumuweka ndani mwandishi wa ITV (Arusha) Halfan Liundi kwa kile kilichoelezwa kuwa Mwandishi huyo aliripoti habari ya maji ambayo yeye (Mnyeti) HAKUIPENDA. baadaye Jeshi la polisi lilimwachia huru mwandishi huyo bila kuweka bayana makosa yake.
Waandishi wa habari walipomtafuta ili kutaka ufafanuzi aliwaambia
“KAMA KUNA MWANAUME ANAYEJIAMINI ANIFUATE KUNIHOJI,”

Sasa haya ni ya zamani, lakini Mnyeti alikwenda kwenye kura za maoni akambwaga Charles Kitwanga na hatimaye akawa mbunge wa Jimbo la Misungwi mkoa wa Mwanza.

Bungeni nako ameendeleza matendo yake ya ajabu na yasiyotabirika lakini kubwa na la hivi karibuni ni kauli aliyoitoa Alhamisi, 23-06-2022 katika Mkutano wa saba wa Bunge la 12 kikao cha 50 wakati akichangia hoja ya bajeti kuu ya Serikali.

Akichangia hoja Mnyeti alisema "Jirani akiwa na matatizo tumsaidie haina mbaya, lakini jirani tunayemsaidia awe ni jirani anayejitambua, wako majirani HAWAJITAMBUI, inauma sana tunapopeleka askari wetu wanakwenda kupigana vita zao wanarudi wamekufa,...alafu wale wa nchi husika TUNAOWASAIDIA HATA HAWAJALI NCHI YAO, WAKO TANZANIA WANATETEMA KIFUA, WANATETEMA MIKONO ETI WAMEFUNGA MAGOLI. Hizo nguvu wanazotumia kutetemeka kifua na mikono kwanini wasibebe mtutu wa bunduki wasaidie mataifa yao ili dhahabu yao ibaki kwenye nchi yao,...hili sio sawa , Waziri wa Ulinzi lazima mlione hili, haya mambo ya mtu anakuja kutetemeka Tanzania alafu ameacha nchi yake inaibiwa dhahabu huko, hiyo halikubaliki"

Maneno kama haya kuzungumzwa na MBUNGE, ndani ya BUNGE ni hatari sana kwani yanaweza kuleta mgogoro wa kidipolomasia na majirani zetu (Kama alivyowaita Mnyeti). Tunaofuatilia michezo tunafahamu anayetetema ni MAYELE na anatoka nchini CONGO na tunaofuatilia Siasa tunafahamu mgogoro mkubwa unaoendelea baina ya Rwanda na Congo kwa kinachodaiwa kuwa wizi wa MADINI (Dhahabu kama alivyosema Mnyeti), tunafahamu kuwa Askari wetu kadhaa wamepoteza maisha katika maeneo ya nchi hizi LAKINI yeye Mnyeti anapata wapi uhakika kuwa kuna nchi inaibia dhahabu nchi nyingine hadi asimame ndani ya BUNGE kuwataka raia wa nchi hiyo waache kufunga magoli waende KUSHIKA MITUTU YA BUNDUKI kuzuia wizi wa dhahabu.

Mnyeti ni mfano hai wa wabunge na viongozi mizigo tulionao ndani ya Bunge na ndani ya Serikali wasiofahamu nini kisemwe wapi, madhara ya maneno yao na maafa wanayoweza kusababisha. Rais Samia Suluhu anafanya kazi kubwa kurudisha mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Tanzania na nchi nyingine ambayo yaliyumba sana, lakini watu kama kina Mnyeti ni dhahiri wako katika mwelekeo tofauti kabisa.

Lakini kama huyu Mnyeti alishindwa kusimamia Wilaya kwa haki na usawa, kama aliweza kufikishwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kujibu tuhuma zinazomkabili za kuingilia Haki, Uhuru na Madaraka ya Bunge wakati akiwa DC ni kwanini tutegemee mambo tofauti na anayoyafanya sasa anapozungumza kwa ukubwa wa mijadala ya Nchi, kwa urefu wa maarifa yake ni dhahiri anayoyafanya na mengine ya hovyo anayoweza kuyafanya ndio uwezo wake wa kiuongozi ulipofikia, hii ni mizigo ya kufagia 2025.

Pongezi kwa Waziri wa Ulinzi, Dk. Stergomena Tax, ambaye ameliomba Bunge kuondoa kwenye Kumbukumbu Rasmi za Majadiliano katika mijadala na hoja kati ya Wabunge na Serikali (Hansard) maneno ya Mbunge Alexander Mnyeti AMBAYO AMESEMA NI HATARI NA YANAYOINGILIA MAHUSIANO YA KIDIPLOMASIA.

View attachment 2270538
Huyu ni mbunge mpuuzi ambaye kama wana misungwi wanajitambua wamfagie mapema kabisa uchaguzi ujao
 
Mnyeti huenda ni Simba MoKo.
Mfano wake na namna na kuwasilisha ukweli HAJUI.


Lakini UKWELI utabaki UKWELI upo wizi kwa jirani na jeshi lao ni dhaifu na corrupt na mfumo wao wote sasa kwanini hawa wasipewe Elimu wajitegemee tutapeleka majeshi hadi lini?
Kama imeshindikana hii nchi sisi EA tuigawane tu tuwatawale mambo yaishe.
Huwezi kuanzisha familia kwa kutegemea jirani. Na hili lunaigharimu Afrika kwa utegemezi kwenye bajeti zetu kila mwaka.
Haya sasa EU imesema tusinunue mbolea ya URUSI wala tusitengeneze. Tunaamuaje kama nchi za Afrika.
Heri ufe kama Shujaa, kuliko kuwa mtumwa unayelishwa kwa fedheha.
Povu ruksa

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
"ALEXANDER MNYETI" sio jina geni katika siasa ya Tanzania. Wengi wanakumbuka ugomvi wake mkubwa na waandishi wa habari mkoa wa Arusha wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambapo chanzo kinaelezwa kuwa ni Mnyeti kumuweka ndani mwandishi wa ITV (Arusha) Halfan Liundi kwa kile kilichoelezwa kuwa Mwandishi huyo aliripoti habari ya maji ambayo yeye (Mnyeti) HAKUIPENDA. baadaye Jeshi la polisi lilimwachia huru mwandishi huyo bila kuweka bayana makosa yake.
Waandishi wa habari walipomtafuta ili kutaka ufafanuzi aliwaambia
“KAMA KUNA MWANAUME ANAYEJIAMINI ANIFUATE KUNIHOJI,”

Sasa haya ni ya zamani, lakini Mnyeti alikwenda kwenye kura za maoni akambwaga Charles Kitwanga na hatimaye akawa mbunge wa Jimbo la Misungwi mkoa wa Mwanza.

Bungeni nako ameendeleza matendo yake ya ajabu na yasiyotabirika lakini kubwa na la hivi karibuni ni kauli aliyoitoa Alhamisi, 23-06-2022 katika Mkutano wa saba wa Bunge la 12 kikao cha 50 wakati akichangia hoja ya bajeti kuu ya Serikali.

Akichangia hoja Mnyeti alisema "Jirani akiwa na matatizo tumsaidie haina mbaya, lakini jirani tunayemsaidia awe ni jirani anayejitambua, wako majirani HAWAJITAMBUI, inauma sana tunapopeleka askari wetu wanakwenda kupigana vita zao wanarudi wamekufa,...alafu wale wa nchi husika TUNAOWASAIDIA HATA HAWAJALI NCHI YAO, WAKO TANZANIA WANATETEMA KIFUA, WANATETEMA MIKONO ETI WAMEFUNGA MAGOLI. Hizo nguvu wanazotumia kutetemeka kifua na mikono kwanini wasibebe mtutu wa bunduki wasaidie mataifa yao ili dhahabu yao ibaki kwenye nchi yao,...hili sio sawa , Waziri wa Ulinzi lazima mlione hili, haya mambo ya mtu anakuja kutetemeka Tanzania alafu ameacha nchi yake inaibiwa dhahabu huko, hiyo halikubaliki"

Maneno kama haya kuzungumzwa na MBUNGE, ndani ya BUNGE ni hatari sana kwani yanaweza kuleta mgogoro wa kidipolomasia na majirani zetu (Kama alivyowaita Mnyeti). Tunaofuatilia michezo tunafahamu anayetetema ni MAYELE na anatoka nchini CONGO na tunaofuatilia Siasa tunafahamu mgogoro mkubwa unaoendelea baina ya Rwanda na Congo kwa kinachodaiwa kuwa wizi wa MADINI (Dhahabu kama alivyosema Mnyeti), tunafahamu kuwa Askari wetu kadhaa wamepoteza maisha katika maeneo ya nchi hizi LAKINI yeye Mnyeti anapata wapi uhakika kuwa kuna nchi inaibia dhahabu nchi nyingine hadi asimame ndani ya BUNGE kuwataka raia wa nchi hiyo waache kufunga magoli waende KUSHIKA MITUTU YA BUNDUKI kuzuia wizi wa dhahabu.

Mnyeti ni mfano hai wa wabunge na viongozi mizigo tulionao ndani ya Bunge na ndani ya Serikali wasiofahamu nini kisemwe wapi, madhara ya maneno yao na maafa wanayoweza kusababisha. Rais Samia Suluhu anafanya kazi kubwa kurudisha mahusiano ya Kidiplomasia kati ya Tanzania na nchi nyingine ambayo yaliyumba sana, lakini watu kama kina Mnyeti ni dhahiri wako katika mwelekeo tofauti kabisa.

Lakini kama huyu Mnyeti alishindwa kusimamia Wilaya kwa haki na usawa, kama aliweza kufikishwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kujibu tuhuma zinazomkabili za kuingilia Haki, Uhuru na Madaraka ya Bunge wakati akiwa DC ni kwanini tutegemee mambo tofauti na anayoyafanya sasa anapozungumza kwa ukubwa wa mijadala ya Nchi, kwa urefu wa maarifa yake ni dhahiri anayoyafanya na mengine ya hovyo anayoweza kuyafanya ndio uwezo wake wa kiuongozi ulipofikia, hii ni mizigo ya kufagia 2025.

Pongezi kwa Waziri wa Ulinzi, Dk. Stergomena Tax, ambaye ameliomba Bunge kuondoa kwenye Kumbukumbu Rasmi za Majadiliano katika mijadala na hoja kati ya Wabunge na Serikali (Hansard) maneno ya Mbunge Alexander Mnyeti AMBAYO AMESEMA NI HATARI NA YANAYOINGILIA MAHUSIANO YA KIDIPLOMASIA.

View attachment 2270538
Huyu jamaa ni i tatizo kwa usalama wa nchi.
Ashughulikiwe kistaarabu.
 
Unazidi kujivua nguo

Wewe haujaelewa kwann nimesema kama ww sio chadema basi ni yanga....Namanisha ww ni chadema mana Watu wa chadema mnashupalia sana Mambo ya makosa wanayo fanya sisemu.
Wewe ni yanga kwa sababu amesemwa mayere aache kutumia nguvu kutetema akiwa anashangilia Gori.
 
Back
Top Bottom