Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
Jamaa hampendi mayele hadi anatamani afie vitani.Kumbe tetema ya mayele wengi inawakera? Tumbafu
Jamaa hampendi mayele hadi anatamani afie vitani.Kumbe tetema ya mayele wengi inawakera? Tumbafu
Umesema kweli! Huyu ni mwendawazimu!Hata yeye Mnyeti anajishangaa kwa nini yupo Bungeni!
Umesema kweli! Walienda bungeni kwa ubabe wa mwendazake! Shenzi type!Huyo mbunge alikuwa chawa wa Magu ni hayawani tu hajui anachoongea yeye anadhani kila mtu anaweza kufanya kila kitu?
Ndio madhara ya wizi wa kura bunge limejaa wabunge wasiojielewa na wanapoteza muda bure na kulipwa mamilioni.
Sawa kabisa! Bunge limejaa machizi Sana!Hili ni chizi kama machizi mengine
Kukaa kimya ni kuficha ujinga,angekaa kimya tusingejua kama kichwani ni empty setHuyo mbunge nimemshangaa sana mpaka nikafikiria sijui anatumia kiuongo gani kufikiri
Jamaa hampendi mayele hadi anatamani afie vitani.
Tumuulize huyu mbunge zwazwa.Kwani Mayele ndiye aliyemuua Jiwe….?
Anatumia makalio kuwaza.Huyo mbunge nimemshangaa sana mpaka nikafikiria sijui anatumia kiuongo gani kufikiri
Sio chawa tu, alikua anamuita Magufuli Mjomba.Hata Ile shule alivyokua anaisimamia wkt inajengwa Kule Mwz akawa anajifanya Ni yake ilikua Ni zuga tu,Ile shule ni ya 1st 'ledi'(Mama J).Huyo mbunge alikuwa chawa wa Magu ni hayawani tu hajui anachoongea yeye anadhani kila mtu anaweza kufanya kila kitu?
Ndio madhara ya wizi wa kura bunge limejaa wabunge wasiojielewa na wanapoteza muda bure na kulipwa mamilioni.
mnyeti katika ubora wakeKama Mnyeti kasema hayo!
Basi nadiriki kusema Mnyeti ni mpumbavu
Si unajua mizuka tenaKama Mnyeti kasema hayo!
Basi nadiriki kusema Mnyeti ni mpumbavu