Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,395
huyo mchumba wako ana cheti cha form 4 kweli? mbona kilaza zaidi ya Bashite? kama askari unafanyiwa hivyo raia wa kawaida itakuwaje??? Mmwambie ajinyonge tu yaishe.
wrong post it was not for this thread iam sorryjamani mafanikio sio lazima uwe mtu wa show off kila mtu na tabia yake diamond na ali kiba wote wasaani wazuri na wana mafanikio mfano tunaamini bila ya forbes kusema utajiri wa dewji hakuna mtu angeamini hilo jamani mlishawahi kwenda kwao dewji singida mimi nilichoka lakini ndio tajiri mwenye networth ya $1.4 billions
mfano gwajima juzi amenunua private jet gulfstream G450 ambayo selikali ilishindwa gharama zake kipindi cha kikwete ikabidi uuzwe sasa huyu tajiri wa Tanzania hata private jet hana mtu yoyote anioneshe nyumba ya dewji ya au gari au private jet kwenye picha
my concern is sio lazima kuweka maisha yako kwenye media saaana same applied to ali kiba kila mtu na hulka yake
my regards
Sawa kabisa ulichomjibu huyu maana haiendani na mada mkuu.wrong post it was not for this thread iam sorry
ni mimi mwenyewe nimijijibu it was wrong post mazee
Ohooo sory mkuu.ni mimi mwenyewe nimijijibu it was wrong post mazee
Mnakimbilia takukuru utadhani ndo suluhisho. Je mkuu unajua taratibu za kumuoa askar ww au umemtongoza tu ukajiona ndo mkeo? Je unajua utaratibu wa kaz ya police afanye masaa mangap na kupumzika Massa mangap sio akipewa kaz ww ulalamike ? Je una barua ya IGP kua amekuruhusu umuowe askari wake ? Yote ayo umulize uyo WP wako na akupe PGO uisome vizur ukiweza masharti yake ndo uende takukuru wakusaidie ila ujue jeshi linataratibu zake usilalamike tu kufinya si kumuoa mkuuPole sana mkuu. Hakikisha hekima inatendeka haraka iwezekanavyo.
Pili, mwombe Mungu ww na mchumba wako awavushe kipindi kigum icho. Ibilisi anawatafuta, tambueni hilo.
Ikishindikina kupata msaada hapo kazini, au TAKUKURU basi fanya maamuzi magumu. Huyo ni mkeo mtarajiwa, mlinde kwa namna yoyte ile.
Mungu akusaidie
Sawa kabisa!Mwambie akusanye ushaidi aende Takukuru.
Takukuru anaenda muhusika na si huyo bwana wake! Kama ana ushahidi unaoridhisha atasaidiwaMnakimbilia takukuru utadhani ndo suluhisho. Je mkuu unajua taratibu za kumuoa askar ww au umemtongoza tu ukajiona ndo mkeo? Je unajua utaratibu wa kaz ya police afanye masaa mangap na kupumzika Massa mangap sio akipewa kaz ww ulalamike ? Je una barua ya IGP kua amekuruhusu umuowe askari wake ? Yote ayo umulize uyo WP wako na akupe PGO uisome vizur ukiweza masharti yake ndo uende takukuru wakusaidie ila ujue jeshi linataratibu zake usilalamike tu kufinya si kumuoa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app