Mnishauri kuhusu huyu askari police

Mnishauri kuhusu huyu askari police

Umeandika maelezo yasiyo sahihi pengine kutokana na kutojua polisi wanafanyeje kazi na hata kwa kuwa umeambiwa kitu kutoka upande mmoja wenye maslahi yako.

Kwanza huyo mpenzi wako anaweza akawa ni tatizo kwa sababu yeye ni askari. Nilitegemea akusanye ushahidi wa kutosha kwanza kuonyesha kama anatongozwa na mkuu wake. Kwa kawaida kuna kipengele fulani katika majeshi ambacho kinakataza maafisa wenye nyota kuwatongoza askari katika mazingira fulani. Lakini iwapo mazingira hayo hayapo, mwanamke yeyote kutongozwa ni kitu cha kawaida.

Kwa ushahidi wa yeye kutongozwa na mazingira yakawa yanaruhusu halafu yeye akakataa, askari huyo angeambatisha ushahidi wa mazingira kuwa ananyanyaswa kwa sababu ya kukataa kuwa mpenzi wa mkubwa wake.

Kwamba amekulalamikia wewe ni sawa kwa sababu wewe ni mpenzi wake lakini ni vyema umshauri akusanye ushahidi sahihi wa nilichokieleza hapo juu kwa sababu tayari hata wewe umeingia katika mtego huo huo wa kupatiliza dhambi bila kuwa na ushahidi wa kutosha.

Kazi za majeshi zina mlolongo wa utendaji kiasi kwamba usipoangalia na hasa kwa jinsia na wasichana wetu wa kisasa wanaopenda kulalamika unaweza kujichanganya na baadaye ukapata hasara. Umewalaumu watu wengi kiasi ambacho kinanipa shida kufikiri kama watu wote hao ni wapuuzi.

Kunyanyaswa kimapenzi kupo lakini kwa mazingira ya teknolojia ya kisasa ni rahisi kupata ushahidi ambao hata kama angetetewa na baba yake mzazi bado kuna siku angemkana. Lakini pia upo ulalamishi wa kizembe unaotolewa na watoto wa kike kwa visingizio vya mapenzi na hasa kunapokuwepo ukiukaji wa taratibu au wakati ambao watu wa shughuli za ulinzi wanapopungua kutokana na majukumu mengine.

Wakati huo, mtu aliyetakiwa kuwa zamu yuko kwingine na hivyo kunafanyika replacement. Bado kuna kazi ngumu kama magwaride na doria. Iwapo mchumba wako ni dot com na pengine anahisia za kunyanyaswa na bosi, hilo pia linaweza kujitokeza.

USHAURI: MWAMBIE HUO MCHUMBA WAKO AKUSANYE USHAHIDI WA KUTOSHA ILI ANAPOPELEKA MALALAMIKO KUWEPO NA LOGIC.

Sent using Jamii Forums mobile app
nakuunga mkono asee,hapo kuna mawili either kweli mwanamke anasumbuliwa au anamsaliti huyu mdau kwa makusudi ila anajaribu kutafuta huruma kwa mpnz wake ili kuchiti kwake kuwe hali,aiwezekani askar anayejua mamlaka zote za kinidhamu aje alalamike/ashitaki kwa mpenz wake ambaye si askari(atamsaidia nini?)kituo chochote kina viongozi kuanzia ngazi ya chini mpk juu ambao naamini aiwezekan wote wakawa upande mmoja,kama kweli anaamini ananyanyaswa kwa sabb ya mapenz akusanye ushaidi ambao utamkonect askar na tuhuma hizo otherwise chenga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni moja. Hivi huyo mchumba wako kapita moshi ccp hajui sheria hata kidogo. Je hao wanaomsumbua ndiyo rank ya mwisho hakuna ngazi za juu wa kumsaidia au watu wa kupita kimyakimya wachunguze roaster ya kazi kama iko sawa!.
Hali imebadilika siku hz makazini unyama ni mwingi kuliko maelezo.
Ni vema naye ajitambue kwa kujua haki zake. Haki haiombwi ina gharama zake.
Ndiyo maana ukisikia tunaisema serikali hii hadi tunawekwa korokoroni tunatafuta haki. Awachane mubashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna askari magereza mmoja dodoma alishafanyaga mauaji kwa boss wake kwa kesi kama hii.. watu wa takukuru watusaidie hapo
Umesema kweli, mtu unashinda na silaha full njugu halafu limtu linabaki kukuletea usiku utashindwa kulifyatua.
Kati yawatu ama viongozi wanaotakiwa kuwa na elimu ya utawala ni polisi maana wapo hatarini sana. Kibaya zaidi huko ndo mabashite yamejaa. Hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitashukuru ukinijibu maswali yangu haya yafuatayo:
  1. Huyo Mchumba wako ulimkuta Bikira / Mbunye Sealed?
  2. Unavyotaka kumchunga / kumzuia unadhani ndiyo suluhisho?
  3. Kwa maelezo yako tu hayo nikikuambia kuwa kuna uwezekano tayari Bosi ameshambandua utakataa / utakubali?
  4. Wewe kama Wewe hubandui / hungonoki Nje Cup?
  5. Hiyo ' Mbunye ' yake Sir Godfrey alipoiumba aliibandika jina lako kwamba ni mali yako ya Kutukuka na daima?
  6. Kuna Mwanamke ambaye ' akibanduliwa ' huko nje huwa anamwambia Mumewe / Mpenzi wake?
  7. Kuna Shamba linalotoa mavuno mengi na mazuri ambalo huwa linalimwa na kuvunwa na Mtu mmoja?
Nayasubiri majibu yangu Saba ( 7 ) tafadhali.
Acha ujinga jibu logic

the great
 
Askari gani huyo hasiyejua taratibu bana ?
Kuna ngazi na ngazi, kwani huyo anayemtaka ni RPC ?

Hao wenzake wanalalamika wapi ?

Kama ana ushahidi basi aanzie kwa OCD, then aende juu - kuna staff officers mikoani kazi zao ni hizi pia-unless anakuzuga tu na kutafuta njia za kukupiga chini !

Au nae aende katika dawati la jamii hapo hapo.

Hang on, anasema akiwa off anafuatwa nyumbani ?? Officer gani anakwenda kambini kwa wadada bana ?

Habari za usiku wanandugu wenzangu.
Nirejee kwenye head line mimi namchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mungu akijalia mwezi wa 12 tunafunga pingu za maisha kiukwel tumetoka mbali ni zaidi ya miaka 10 tukiwa o' level mapaka sasa tuko kwenye mahusiano yeye yuko mkoa mwingini ndipo sehemu yake ya kazi na mimi niko dar ndipo ninapofanyia kazi tumeishi kwa amani sana na furaha kwa kila mtu kuchukulia madhahifu ya mwenzake kama sehemu ya mahusiano yetu.

Huyu mchumba wangu ni askari police kanieleza Mara kwa Mara manyanyaso anayoyapata katika sehemu yake ya kazi kuna mkuu wake wa kazi mmoja anamtaka kimapenzi imekuwa nikero kubwa sana tena sana amekwenda kwa matroni wa hapo kazini kwao kumueleza lakini hakuna msaada wowote ikabidi haende kwa mkuu wa kituo kabisa lakini kinachotokea ni kuteteana mabosi kwa mabosi hakuna hatua zozote zile zinazochukuliwa hinamuuma sana mpaka anakuwa wa kulia tu kutokana kina anakoelekea kuomba msaada hasaidiwi kabisa.

Kwazini uwa wanashift za kazi anajikuta anapangiwa shift kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 8 mchana hakuna kupumzika na by saa 12 anaingia dolia na nikinyume cha sheria za kaz na wenzao hakuna anayeingia shift ya hvyo na huyo police anamwapia kwa kumwambia mpka hatanyooka tu na mpaka atamkubari tu yaani anamfanyia visa sana kilichonokela zaidi ni leo yeye yuko off kuingia kazini mpaka kesho sasa huyo askari kamfuata nyumbani anamwambia haende kazini na wakati huo yeye yuko off na ratiba inaonyesha kesho ndio anaingia kazini na ""anamtambia cha moto utakiona na mpaka utanikubali tu na anamwambia maneno yasiyo kuwa ya msingi mpka kafikia hatua ya kutaka kuchukua maamuzi mabaya ya kujitoa roho kwa manyanyaso ya huyo mkuu wake wa kazi.

Wanajamvi nifanyeje mninashauri analia tu na pia mpka wafanyakazi wenzake wanalalamika kwa anavyofanyiwa mchumba wangu kesha sema mara nyingi kwa kiongozi wake wa juu hakuna mwiitikio wowote ule.
 
Mkuu utambue kwamba mfumo wa askari polisi ndivyo ulivyo nchi nzima. Hata akisema ahame bado atajikuta katila hali hiyo. Kwanini hujiulizi kwamba wenzie hawafanyiwi hivyo. Hao walishakubali matakwa ya maboss na mambo yao ndo yanawaendea. Imekuwa ni kawaida kwa askari polisi wa kike kutoka na wakuu wao wa kazi. Hata kama si leo ipo siku wako pia ataliwa. Huwezi fanya polisi halafu ubaki salama labda awe si mzuri wa kuvutia lakini mbali na hapo hana jinsi kuna siku atatoa mwenyewe.

Sasa hivi hamjaoana na anataka kukuonyesha ye hayuko kingono na watu mbali na wewe? Hivi unadhani hakuna watu wengine wanaomtongoza mbali na boss wake? Mbona hao haji kukueleza. Ni kawaida wanawake kiwalalamikia wanaowatongoza iwapo hawajawakubali ila hawawezi kukwambia waliowakubali.

Mi nashauri bora huyo.mchunba wako aache kazi ya uaskari mbali ma hapo sidhani kama yuko salama..hata baada ya kiaka 2 ataliwa na mbaya zaidi mtakuwa tayari kwenye ndoa. Ni ngumu kea askari wa kike kuruka viunzi vya wanaume maboss wake. Ukimwambia hili mtu ambaye ni askari atakushangaa kuona unashangaa hili maana ni mfumo usio rasmi uliozoeleka ma huyo mtu wako itafika muda atauzoea na kuwa mmoja wao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika maelezo yasiyo sahihi pengine kutokana na kutojua polisi wanafanyeje kazi na hata kwa kuwa umeambiwa kitu kutoka upande mmoja wenye maslahi yako.

Kwanza huyo mpenzi wako anaweza akawa ni tatizo kwa sababu yeye ni askari. Nilitegemea akusanye ushahidi wa kutosha kwanza kuonyesha kama anatongozwa na mkuu wake. Kwa kawaida kuna kipengele fulani katika majeshi ambacho kinakataza maafisa wenye nyota kuwatongoza askari katika mazingira fulani. Lakini iwapo mazingira hayo hayapo, mwanamke yeyote kutongozwa ni kitu cha kawaida.

Kwa ushahidi wa yeye kutongozwa na mazingira yakawa yanaruhusu halafu yeye akakataa, askari huyo angeambatisha ushahidi wa mazingira kuwa ananyanyaswa kwa sababu ya kukataa kuwa mpenzi wa mkubwa wake.

Kwamba amekulalamikia wewe ni sawa kwa sababu wewe ni mpenzi wake lakini ni vyema umshauri akusanye ushahidi sahihi wa nilichokieleza hapo juu kwa sababu tayari hata wewe umeingia katika mtego huo huo wa kupatiliza dhambi bila kuwa na ushahidi wa kutosha.

Kazi za majeshi zina mlolongo wa utendaji kiasi kwamba usipoangalia na hasa kwa jinsia na wasichana wetu wa kisasa wanaopenda kulalamika unaweza kujichanganya na baadaye ukapata hasara. Umewalaumu watu wengi kiasi ambacho kinanipa shida kufikiri kama watu wote hao ni wapuuzi.

Kunyanyaswa kimapenzi kupo lakini kwa mazingira ya teknolojia ya kisasa ni rahisi kupata ushahidi ambao hata kama angetetewa na baba yake mzazi bado kuna siku angemkana. Lakini pia upo ulalamishi wa kizembe unaotolewa na watoto wa kike kwa visingizio vya mapenzi na hasa kunapokuwepo ukiukaji wa taratibu au wakati ambao watu wa shughuli za ulinzi wanapopungua kutokana na majukumu mengine.

Wakati huo, mtu aliyetakiwa kuwa zamu yuko kwingine na hivyo kunafanyika replacement. Bado kuna kazi ngumu kama magwaride na doria. Iwapo mchumba wako ni dot com na pengine anahisia za kunyanyaswa na bosi, hilo pia linaweza kujitokeza.

USHAURI: MWAMBIE HUO MCHUMBA WAKO AKUSANYE USHAHIDI WA KUTOSHA ILI ANAPOPELEKA MALALAMIKO KUWEPO NA LOGIC.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu, umemaliza kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie Aache Kazi Huwezi Kuwa Mtumwa Wa Ngono Na Barua Yake Ya Kuomba Kuacha Kazi Ionyeshe Sababu Kuu Ni Kulazimishwa Kufanya Ngono Na Ipitie Ngazi 10Tofauti...
"Akiomba Maili 1 Nenda Naye 10"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungelitaja ilo jinga lijione humu kuliko kuliongelea nusu nusu... jinga sana sasa hata likikubaliwa si nisawa na ubakaji tu litakua linafanya
 
Habari za usiku wanandugu wenzangu.
Nirejee kwenye head line mimi namchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa hivi karibuni mungu akijalia mwezi wa 12 tunafunga pingu za maisha kiukwel tumetoka mbali ni zaidi ya miaka 10 tukiwa o' level mapaka sasa tuko kwenye mahusiano yeye yuko mkoa mwingini ndipo sehemu yake ya kazi na mimi niko dar ndipo ninapofanyia kazi tumeishi kwa amani sana na furaha kwa kila mtu kuchukulia madhahifu ya mwenzake kama sehemu ya mahusiano yetu.

Huyu mchumba wangu ni askari police kanieleza Mara kwa Mara manyanyaso anayoyapata katika sehemu yake ya kazi kuna mkuu wake wa kazi mmoja anamtaka kimapenzi imekuwa nikero kubwa sana tena sana amekwenda kwa matroni wa hapo kazini kwao kumueleza lakini hakuna msaada wowote ikabidi haende kwa mkuu wa kituo kabisa lakini kinachotokea ni kuteteana mabosi kwa mabosi hakuna hatua zozote zile zinazochukuliwa hinamuuma sana mpaka anakuwa wa kulia tu kutokana kina anakoelekea kuomba msaada hasaidiwi kabisa.

Kwazini uwa wanashift za kazi anajikuta anapangiwa shift kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 8 mchana hakuna kupumzika na by saa 12 anaingia dolia na nikinyume cha sheria za kaz na wenzao hakuna anayeingia shift ya hvyo na huyo police anamwapia kwa kumwambia mpka hatanyooka tu na mpaka atamkubari tu yaani anamfanyia visa sana kilichonokela zaidi ni leo yeye yuko off kuingia kazini mpaka kesho sasa huyo askari kamfuata nyumbani anamwambia haende kazini na wakati huo yeye yuko off na ratiba inaonyesha kesho ndio anaingia kazini na ""anamtambia cha moto utakiona na mpaka utanikubali tu na anamwambia maneno yasiyo kuwa ya msingi mpka kafikia hatua ya kutaka kuchukua maamuzi mabaya ya kujitoa roho kwa manyanyaso ya huyo mkuu wake wa kazi.

Wanajamvi nifanyeje mninashauri analia tu na pia mpka wafanyakazi wenzake wanalalamika kwa anavyofanyiwa mchumba wangu kesha sema mara nyingi kwa kiongozi wake wa juu hakuna mwiitikio wowote ule.
Kilicho mhimu ktk hilo km ni vp yeye aache mawazo ya kujimyonga mhimu aombe likizo kisha mfunge ndoa ghafla bila kusubiri hiyo mwez wa 12.

Kwann mfunge ndoa haraka?
Kufunga ndoa haraka kutaweza kuwaokoa nyie wawili kuepuka madhara ambayo yanaweza tokea ktk miezi hii 3-4 ijayo kwann yule afande wake mkuu ataendelea kumkazi ugumu wa kimaisha/kiutendaji pale kazini mpk kusababisha madhara kwa huyo mchunba wako. Hivyo fungeni ndoa ya chapchap bila kusubiri hiyo ya mwez wa 12 ambayo yawezekana isiwepo kwa mchumba wako ameshahathirika kisaikolojia maamuzi aliyinayo kichwan ni kujinyonga tu hana wazo lingine la kujiikoa zaidi ya kujinyonga.

Okoa mda kwa ajili hiyo.Mara umalizapo kufunga ndoa hata km wiki ijayo funga chap kisha aombe transfer ya kwenda kwa mumewe,

Chelewa-chelewa utakuta mchuba si wako,yaan kujinyonga au kukubali yaishe kwa kugawa uroda kwa mkuu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu lakini ni kitu kidogo sana hasa kwa kazi anayofanya hili tatizo anaweza kuepukananalo sema inaonekana ni mchanga kwenye kwenye hiyo kazi,,,,,kwanza kazi ya police au jeshi cha kwanza ni nidhamu hadi hapo mkuu wake wa kazi anaonekana hana nidhamu na hata huyo mkuu wa kituo pia hana nidhamu mwambie mchumba wako anachotakiwa kufanya ni kupeleka hiyo shida mbele zaidi ya mkuu wake wa kituo sema wanamnyanyasa wanaona hajui sheria kama nilivyosema anaonekana ni mgeni kwenye hiyo kazi......kingine anaweza kuomba uhamisho na akahama tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa yake takukuru wape hio Kazi fasta wanamnasa anakosa Kazi na mahakamani pia acheck na ustawi wa jamii au utumishi hapo hata wanaomlinda watasanda na hawana uwezo wa kumfukuza Kazi .Akikubali kunyanyasika kapenda mwenyewe ikiwezekana kamsaidie kumuonya huyo mpuuzi mfate Kwa utaratibu mwambie unataka Kazi au hautaki nikisikia tu unamsumbua naenda kukulipua Kwa mamlaka husika zingine za juu na ni vizuri km kuna ushahid wa meseji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majeshii si lelemama hayataki kubembelezanaaa!!....kiitikio. Majeshii si. ..................
 
Tafuta namba ya Sirro mkuu

Kada wa kwenye CCM mpya
 
Back
Top Bottom