Mniombee Mungu anipe mume anayeweza hudumia wake wawili bila shida

Kua wawili sio kuchoka
Baba angu mkubwa ana wake wawili I can say he's the happiest man on earth
Na wake zake wanapendana adi sio vzuri
Tofauti na the so called ndoa ya mke mmoja na mme mmoja
Ni the way we perceive things but my husband hatanioa peke angu tutakua wawili kanisa linisamehe
Happiness hailetwi na watu ni tunda la ndani sio watu au vitu
 
Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka.

Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida. Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili yaani NatAman isivo kawaida.

Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida. Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine. Nyie mpaka nayaota ayo maisha.

Dear future husband kokote uliko nakusubili na ukifika una ruhusa ya kuoa mwingine tuwe wawili tu
Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida. Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine. Nyie mpaka nayaota ayo maisha.
 
Inaonyesha umejikatia tamaa na umekuwa mchepuko mda mrefu sana, there is still hope
Hapana hawa watu wapo.. Niliwahi kudate na binti mmoja miaka ya tisini alikuwa na matamanio kama haya .. Na aliniambia wazi nikimtaka mwanamke nimwambie NISIMFICHE! Naye alikuwa akimpenda dem ilikuwa ni lazima anitongozee na tukiwa faraghani naye awepo
Na kuna incidents mbili ziliwahi kutokea..
(True story)
 
Bible haijawahi kuongopa hata siku moja

Isa 4:1 SUV​

Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.

Peponi moja kwa moja kwa kukumbushia tu huu mstari pendwa.
 
Vipi nyumba na nyumba utataka muishi nyumba moja?, Au rafiki unapenda mambo ya 'threesome' ninii
 
Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka.

Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida. Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili yaani NatAman isivo kawaida.

Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida. Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine. Nyie mpaka nayaota ayo maisha.

Dear future husband kokote uliko nakusubili na ukifika una ruhusa ya kuoa mwingine tuwe wawili tu

Hongera kwa kuisikiliza nafsi yako na kuitakia furaha

Japo huo uwezo wa huyo mwanaume kuhudumia wake wawili kama wake kwa mahitaji yote ndio changamoto; kwa wengi huduma itakayowezekana bila shida ni ile huduma ya kujamiiana😃😃

Maana wengi wa wanaume wanatamani kuwa na wanawake zaidi ya mmoja lakini hata kumhudumia huyo mmoja ni taabu; na kujihudumia wao wenyewe ni tatizo zaidi
 
Hapana hawa watu wapo.. Niliwahi kudate na binti mmoja miaka ya tisini alikuwa na matamanio kama haya .. Na aliniambia wazi nikimtaka mwanamke nimwambie NISIMFICHE! Naye alikuwa akimpenda dem ilikuwa ni lazima anitongozee na tukiwa faraghani naye awepo
Na kuna incidents mbili ziliwahi kutokea..
(True story)
Mkuu inawezekana ndio yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom