Mniache kasie mie

Hahahahaha umenifurahisha sana kwa uamuzi wako.Endelea kuwa na babu ila ugonjwa wa moyo upo nje nje kwa hicho kizee maana kina wengi balaaa
Hahahaha.... Utakufa nacho kijiba cha roho. Mimi na Apologise lady hatujafahamiana gulioni Katerero.

Kwa taarifa yako ananilelea kichanga changu ndani ya tumbo lake takatifu. Kazi ilifanyika mchana wakati mvua inanyesha. Lazima tutoe copy ya Cleopatra.
 
Last edited by a moderator:

Bebii mbona unatoa siri tena, hujui watu wambeya wataanza kutufuatilia kama domo na Bosslady. hapo tu Honey Faith halali leo.
 
We nawe unachepuka sana hadi kila mtu anakujua tabia yako. lakini mimi nakupenda tu bebii.
Babyto, usisikilize ya watu mama, tutagombana. Wengine nawapakaza shombo tu, samaki unakula wewe.
 
Kile kitoto cha migomigo, ki MO11 kina tufuatilia sana, ilibidi nikitulize kwanza.
Siku nyingine kimwagie maji yenye shombo la samaki. Staki kuona kiumbe mtu anamshobokea babyto wangu Apologise lady. Mwambie a-apologise kabla sijambadilisha jinsia afu kikojoleo chake nikihamishie usoni.
 
Siku nyingine kimwagie maji yenye shombo la samaki. Staki kuona kiumbe mtu anamshobokea babyto wangu Apologise lady. Mwambie a-apologise kabla sijambadilisha jinsia afu kikojoleo chake nikihamishie usoni.

Heee!!!!!!! bebii utam TEVEZ?????????????
Basi wacha hasira, harudii tena.
 
Maelezo mengi yanaonyesha kasie umeanza kuzeeka kwa kasi..hongera kwa kuanza kuzeeka
 
 
Last edited by a moderator:
JF bwana hakuishiwi na vituko, yaani madaudu wakufanyie wengine michambo akachambe JF. hahahaha, kwel dunian kuna vituko.

hao staff ninaowasema wako humu humu JF ndo maana nimekuja kuwasema hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…