King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 Dec 27, 2011 #81 Duka la mzungu li wazi, lauza mchele na nazi. Kitumbua sio andazi, baba kaliona kacheka, mama kaliona kanuna! Kwetu kuleee, kunafuka moshi! Kivumah said: Hapo kifuani wanapaita DUKA. Mweeeh Click to expand...
Duka la mzungu li wazi, lauza mchele na nazi. Kitumbua sio andazi, baba kaliona kacheka, mama kaliona kanuna! Kwetu kuleee, kunafuka moshi! Kivumah said: Hapo kifuani wanapaita DUKA. Mweeeh Click to expand...
N Nasolwa JF-Expert Member Joined Jun 12, 2008 Posts 1,827 Reaction score 298 Dec 27, 2011 #82 Jini mahaba hawa
Mchaka Mchaka JF-Expert Member Joined Jul 20, 2010 Posts 4,517 Reaction score 1,428 Dec 27, 2011 #83 Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... Duh! inaonekana amegemua!
Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... Duh! inaonekana amegemua!
Daffi Jr JF-Expert Member Joined Jun 25, 2011 Posts 3,824 Reaction score 909 Dec 27, 2011 #84 Wanapitiliza sasa!!!and why are they doing all these!!!!!????ili iweje??
Masika JF-Expert Member Joined Sep 18, 2009 Posts 723 Reaction score 30 Dec 27, 2011 #85 Hapa unatumia carolite na beterdem unakua fresh
happiness win JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 2,461 Reaction score 1,394 Dec 27, 2011 #86 Hawa wanashughulikia nyuso tu, wakivua utakimbia! Vyumba wanavyolala uvundo mtupu!
J joe peters Member Joined Dec 16, 2010 Posts 85 Reaction score 18 Dec 27, 2011 #87 biashara matangazo
Darlingtone JF-Expert Member Joined Jan 9, 2011 Posts 390 Reaction score 146 Dec 27, 2011 #88 Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... Hahahahaaa..... Miaka 50 ya Uhuru
Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... Hahahahaaa..... Miaka 50 ya Uhuru
Mnyamahodzo JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 1,935 Reaction score 1,006 Dec 27, 2011 #89 Mr. Bigman said: Biashara ni kununuliana na Kuuziana Click to expand... kauli hii ilitolewa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaji Ally Hassan Mwinyi, BBC.
Mr. Bigman said: Biashara ni kununuliana na Kuuziana Click to expand... kauli hii ilitolewa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaji Ally Hassan Mwinyi, BBC.
Vin Diesel JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 9,087 Reaction score 6,390 Dec 27, 2011 #90 Hapo wenzake wanamwambia umependeza sana mwaya,lol!
menyidyo JF-Expert Member Joined Oct 9, 2010 Posts 1,339 Reaction score 194 Dec 27, 2011 #91 Duu nadhani kwao hawana vioo. wangejiona wangejidharau. upuuuzi mtupu. tupa kule.
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Dec 27, 2011 #92 Tehe tehe.uzuri wa mkakasi....women looks nice from FAR but actually they are far from NICE.......hapo muulize akuoneshe japo GAGULO TU!!!!!!!!!!
Tehe tehe.uzuri wa mkakasi....women looks nice from FAR but actually they are far from NICE.......hapo muulize akuoneshe japo GAGULO TU!!!!!!!!!!
Kiziza JF-Expert Member Joined Dec 10, 2011 Posts 439 Reaction score 77 Dec 27, 2011 #93 Waimbaji wengi wa taarab huwa wanajikosea sana kwenye makeup, wanajaribu kuwaiga waarabu kuweka heavy make up,lakini wenzao wanawekwa na martist,sasa ona huyu dada uzuri Mungu aliompa kauharibu wote.Lipstick za aina mbili ???!!
Waimbaji wengi wa taarab huwa wanajikosea sana kwenye makeup, wanajaribu kuwaiga waarabu kuweka heavy make up,lakini wenzao wanawekwa na martist,sasa ona huyu dada uzuri Mungu aliompa kauharibu wote.Lipstick za aina mbili ???!!
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,408 Reaction score 88,700 Dec 27, 2011 #94 Mmmmhhhhhh-Cpwaa
D denim kagaika JF-Expert Member Joined Aug 11, 2011 Posts 228 Reaction score 32 Dec 27, 2011 #95 Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... The chubby lady is as colourful as a circus clown.
Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... The chubby lady is as colourful as a circus clown.
M MzeePunch JF-Expert Member Joined Jun 8, 2009 Posts 1,412 Reaction score 210 Dec 27, 2011 #96 Too much of anything can't be good.
Jagermaster JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 654 Reaction score 320 Dec 27, 2011 #97 mmbangifingi said: wanawake wa leo kaaaaaaazi kweli kweli. hakuna anayetaka kudumisha asili yake bali kujichubua tupu na kujilinganisha na watu wengine i.e wazungu Click to expand... Mambo mengine tunawasingizia wazungu tu, huyo dada anafanana na mzungu wapi hapo?
mmbangifingi said: wanawake wa leo kaaaaaaazi kweli kweli. hakuna anayetaka kudumisha asili yake bali kujichubua tupu na kujilinganisha na watu wengine i.e wazungu Click to expand... Mambo mengine tunawasingizia wazungu tu, huyo dada anafanana na mzungu wapi hapo?
D denim kagaika JF-Expert Member Joined Aug 11, 2011 Posts 228 Reaction score 32 Dec 27, 2011 #98 MzeePunch said: Too much of anything can't be good. Click to expand... How about too much money? Because i've heard 'too much aint enough money'.
MzeePunch said: Too much of anything can't be good. Click to expand... How about too much money? Because i've heard 'too much aint enough money'.
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 20,257 Reaction score 13,265 Dec 27, 2011 #99 Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... Yu yu yu yu jamani huyo wa kushoto ni dudu la kutishia watoto wasiopenda kuoga nini?shabash!q!!!!!!
Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... Yu yu yu yu jamani huyo wa kushoto ni dudu la kutishia watoto wasiopenda kuoga nini?shabash!q!!!!!!
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,671 Dec 27, 2011 #100 Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... Uswazi aka taarab zaidi.
Calnde said: Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia! Click to expand... Uswazi aka taarab zaidi.