Benzoic
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 421
- 149
Ukitoa hizo channel za Azam Tv zilizobaki karibu 90% nazipata kwenye Zuku. In my opinion hakuna kipya sana. Wangeangalia kampuni zingine zina nini then wasome mahitaji ya waTz ndio wajue channel zipi waweke. Nabaki Zuku kwa sasa hadi mmoja atakapoamua kuweka hata ligi za Ulaya.
Colorado Out!!
Colorado Out!!