Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mbona sisi hatupo Mnazi Mmoja?
Ilhali wenzetu wapo Tahrir?
Ilhali wenzetu wapo Tahrir?
Mbona sisi hatupo Mnazi Mmoja?
Ilhali wenzetu wapo Tahrir?
tupo huku
Na huku.......
wewe na Ivuga munahoja, lakini mumepinda sana.
hii kitu ya mkomboti imenivunja mbavu.
ngoja ni log-out.
Umeona hali ya familia yake huko nyuma yake? wataweza mabomu ya machozi hawa?
Too weak and poor. Bomu moja la Anden;ngenye linawasambaratisha wooote
mkuu sema hawa hawajawa exposed tu bado i mean hawajui haki zao bado wao wanafikiri kuishi vile na kuwa na nguo moja ndio haki yao na wanavyopigwa picha wanamuona mpiga picha kama mtu mwingine kabisa i mean next level,but kiukweeli ni kuwa hawa haki yao wamenyimwa
Kwa hali hii kweli labda tutashtuka, lakini aliyeko kimanzichana haoni hali hii. loh!