NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Matumizi Yangu GB 2 hadi 3 kwa siku, Hapo nipo bize na shughuli zangu sio kusema kwamba ninashinda mitandaoni, mara nyingi net natumia zaidi usiku.
Hivi vitu huwa natumia bila kujibana
Situmii TIKTOK, ina uraibu mkubwa sana na inapoteza muda sana.
Na hapo najibana maana mida ya usiku naweza kutamani kucheki muvi kwenye TV ila siwezi, TV ina ubora wa 4K muvi zake huwa zinaenda hadi GB 50 huko, hapa ni mpaka nimbembeleze mtu flani ana unlimited internet anishushe muvi mbili tatu zinafikia GB 100, hapo bado mtoto anaweza kutaka nimuwekee game mpya ya TV, nikiingia mtandaoni game moja ni GB 50, aisee!!
Je internet inaniingizia pesa ? NO!! nina shughuli zangu rasmi za kuniingizia kipato, internet hunisaidia kwenye mawasiliano, kuhabarika, hunisaidia kwenye shughuli zangu, burudani, kujielimisha, n.k.
Hivi vitu huwa natumia bila kujibana
- whatsapp - kutuma au kudownload video ama picha, video calls, n.k.
- Youtube - huwa nastream kwa ubora wa juu HD,
- Instagram - na huku nachungulia ila sio sana
- browsing
- Kudownload updates za simu
Situmii TIKTOK, ina uraibu mkubwa sana na inapoteza muda sana.
Na hapo najibana maana mida ya usiku naweza kutamani kucheki muvi kwenye TV ila siwezi, TV ina ubora wa 4K muvi zake huwa zinaenda hadi GB 50 huko, hapa ni mpaka nimbembeleze mtu flani ana unlimited internet anishushe muvi mbili tatu zinafikia GB 100, hapo bado mtoto anaweza kutaka nimuwekee game mpya ya TV, nikiingia mtandaoni game moja ni GB 50, aisee!!
Je internet inaniingizia pesa ? NO!! nina shughuli zangu rasmi za kuniingizia kipato, internet hunisaidia kwenye mawasiliano, kuhabarika, hunisaidia kwenye shughuli zangu, burudani, kujielimisha, n.k.