Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 2,398
- 3,072
Mambo mengine ni ya kwetu kabisa wala sio miujiza. Maana kikanuni Mungu hapendi kuingilia mambo binafsi ya watu na kuyaendesha kwa mkono wa chuma. Tunajiamulia wenyewe.
Sasa wewe endelea kusubiri au kuamini katika miujiza utakoma. Au utakomeshwa.
Mnasikia saivi kuna vita kati ya Israel na Pakistan.
Basi kuna watu wapo bize kunakili vifungu na kuunganisha dots kuona kama mambo yanapaswa yawe hivyo (au yasiwe). Kila mmoja na lake.
Msiwe wajinga.
Hayo mambo yaamuliwe kulingana na hali ya sasa hivi na uhalisia sio maandishi ya kizalendo ya historia na tabiri zilizofinywafinywa kujipendelea.
Ngoja niwaoneshe hatari ya hilo jambo.
Si kuna kitabu/vitabu kinaongelea mwisho wa dunia, sijui dunia au watu kuchomwa moto eeh!?
Sasaa itakuwaje ikitokea mlipuko wa gesi ardhini (janga la asili) moto ukawaka kama bahari je tukae kubweteka kuangalia maana ndio mwisho uloandikwa? Au tuchukue hatua kukabiliana na janga la kiasili. Akili kumkichwa🤔
Sasa chukulia hata lisiwe janga la asili, labda yatumwe mabomu kuangamiza nchi ama bara fulani, si kuna wajinga watajifariji ni moto uliotabiriwa. Badala ya kuchunguza na kukabili kiuhalisia? Imagine unawaambia watu tutume jeshi likachunguze tsunami ya moto halafu wanaanza kukuonesha vifungu vyao na kukuambia tulia ni ya Mungu hayo huu ndio mwisho uliotabiriwa.
Vipi kuhusu magonjwa?
Kuhusu maendeleo?
Uvumbuzi?
Matetemeko?
El nino?
Na hili la saivi vita?
Ndo hivyohivyo Israeli na Palestina. Hatutaki mtuletee vifungu tunataka muifikirie hiyo kama vita yoyote ile baina ya nchi na nchi au magaidi. Be grounded in reality heeeh. Kwenye halmashauri za vichwa vyenu muisolvu kidiplomasia au kijeshi whatever
Siku hizi kuna teknolojia ya drones, umewahi kufikiri mfano majitu yakataka kutudanganya kuwa Mtume, Yesu au Mungu ametutembelea na ametoa maagizo kwa ishara mawinguni kama hatuna akili si itakula kwetu.
Unafikiri kama hao watu kwenye picha wasojua kuhusu drones tukiwachezea mchezo huu si watasema Mungu wao ameshuka. Kumbe hizo drones zimebeba payloads za maana si wataona labda amewaadhibu makosa? Tafuneni si mna akili na nyie
Sasa wewe endelea kusubiri au kuamini katika miujiza utakoma. Au utakomeshwa.
Mnasikia saivi kuna vita kati ya Israel na Pakistan.
Basi kuna watu wapo bize kunakili vifungu na kuunganisha dots kuona kama mambo yanapaswa yawe hivyo (au yasiwe). Kila mmoja na lake.
Msiwe wajinga.
Hayo mambo yaamuliwe kulingana na hali ya sasa hivi na uhalisia sio maandishi ya kizalendo ya historia na tabiri zilizofinywafinywa kujipendelea.
Ngoja niwaoneshe hatari ya hilo jambo.
Si kuna kitabu/vitabu kinaongelea mwisho wa dunia, sijui dunia au watu kuchomwa moto eeh!?
Sasaa itakuwaje ikitokea mlipuko wa gesi ardhini (janga la asili) moto ukawaka kama bahari je tukae kubweteka kuangalia maana ndio mwisho uloandikwa? Au tuchukue hatua kukabiliana na janga la kiasili. Akili kumkichwa🤔
Sasa chukulia hata lisiwe janga la asili, labda yatumwe mabomu kuangamiza nchi ama bara fulani, si kuna wajinga watajifariji ni moto uliotabiriwa. Badala ya kuchunguza na kukabili kiuhalisia? Imagine unawaambia watu tutume jeshi likachunguze tsunami ya moto halafu wanaanza kukuonesha vifungu vyao na kukuambia tulia ni ya Mungu hayo huu ndio mwisho uliotabiriwa.
Vipi kuhusu magonjwa?
Kuhusu maendeleo?
Uvumbuzi?
Matetemeko?
El nino?
Na hili la saivi vita?
Ndo hivyohivyo Israeli na Palestina. Hatutaki mtuletee vifungu tunataka muifikirie hiyo kama vita yoyote ile baina ya nchi na nchi au magaidi. Be grounded in reality heeeh. Kwenye halmashauri za vichwa vyenu muisolvu kidiplomasia au kijeshi whatever
Siku hizi kuna teknolojia ya drones, umewahi kufikiri mfano majitu yakataka kutudanganya kuwa Mtume, Yesu au Mungu ametutembelea na ametoa maagizo kwa ishara mawinguni kama hatuna akili si itakula kwetu.
Unafikiri kama hao watu kwenye picha wasojua kuhusu drones tukiwachezea mchezo huu si watasema Mungu wao ameshuka. Kumbe hizo drones zimebeba payloads za maana si wataona labda amewaadhibu makosa? Tafuneni si mna akili na nyie