Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Aisee jana katika pitapita zangu nikaona wadau wanaoomba ajira nikaona hiki ni kisanga. Yaani mtu kaandika barua kwa mkono kaipiga picha kwa simu anataka ku-upload aombe kazi.
Hivi ulimwengu wa sasa mtu aanze kuhangaika na liandiko lako libaya, tena umelipiga picha kwa simu, serious?
Wengine ndio hata vyeti badala ya kuscan kwa uzuri wamevipiga picha ambazo ni very poor quality, yaani HR aanze kuzoom cheti chako ili kujua hali ilivyokuwa.
Niwashauri haya.
1. Nendeni stationery mkascan vyeti vyenu na muwe navyo kwa mfumo wa pdf. Ili siku yoyote unaomba kokote.
2. Kuweni na signature kwenye mfumo wa soft copy, zipo apps nyingi zinazosadia kusign documents
3. Kama tangazo halijasema uandike kwa mkono, type maombi yako kisha weka signature kutoka kwenye app uliyoidownload
Acheni Uhuni, nisije watukana bure na nimefunga
Hivi ulimwengu wa sasa mtu aanze kuhangaika na liandiko lako libaya, tena umelipiga picha kwa simu, serious?
Wengine ndio hata vyeti badala ya kuscan kwa uzuri wamevipiga picha ambazo ni very poor quality, yaani HR aanze kuzoom cheti chako ili kujua hali ilivyokuwa.
Niwashauri haya.
1. Nendeni stationery mkascan vyeti vyenu na muwe navyo kwa mfumo wa pdf. Ili siku yoyote unaomba kokote.
2. Kuweni na signature kwenye mfumo wa soft copy, zipo apps nyingi zinazosadia kusign documents
3. Kama tangazo halijasema uandike kwa mkono, type maombi yako kisha weka signature kutoka kwenye app uliyoidownload
Acheni Uhuni, nisije watukana bure na nimefunga