Mnaokaa Mbweni na capripoint -Mwanza, mmeajiriwa wapi?

Mnaokaa Mbweni na capripoint -Mwanza, mmeajiriwa wapi?

Unaongelea watu kuishi ama thamani ya ardhi ?

Mikocheni wanaishi watu wazito

Mbweni wanaishi watu wazito

Upanga wanaishi watu wazito

Kila sehemu kuna watu wazito ila thamani ya ardhi ya kariakoo haisababishwi na watu wazito bali ni business centre
Una jua maana ya prestige?
 
Napozea mda kubishana na mtu aliekaririshwa amini unachokiona Sawa, hao wote waliopo kariakoo ni wafanyabishara na ni sehemu ya biashara tafauti na masaki, Oysterbay wanapokaa wafanyabishara wakubwa wa nchi kama vile kina Bakhresa n. K

Ardhi ya sehemu ya biashara huwa ina thamani kuliko sehemu ya makazi. Sababu sehemu ya biashara ni haibadiliki, ila makazi inabadilika.

Ndio maana NMB kahama kaweka branch moja tu hajaweka branch nyingi ila NMB huyo huyo kaweka branch 4 kariakoo ambazo zinapishana mitaa tu.
 
Una jua maana ya prestige?

Achana na kuhamisha magoli kwa logical fallcy ama ujanja wa kimantiki. Simama kwenye hoja ya thamani ya ardhi

Weka ardhi ya sqm 1000 masaki bei yake

Kisha weka ardhi ya sqm 1000 hizo hizo kariakoo tulinganishe mzani
 
Achana na kuhamisha magoli kwa logical fallcy ama ujanja wa kimantiki. Simama kwenye hoja ya thamani ya ardhi

Weka ardhi ya sqm 1000 masaki bei yake

Kisha weka ardhi ya sqm 1000 hizo hizo kariakoo tulinganishe mzani
Wewe leta hizo bei na picha zake mimi nimeishakuwekea umekosa pa kujitetea
 
Ardhi ya sehemu ya biashara huwa ina thamani kuliko sehemu ya makazi. Sababu sehemu ya biashara ni haibadiliki, ila makazi inabadilika.

Ndio maana NMB kahama kaweka branch moja tu hajaweka branch nyingi ila NMB huyo huyo kaweka branch 4 kariakoo ambazo zinapishana mitaa tu.
Oya we amini unachokiamini kama hutaki kuelekezwa
 
Back
Top Bottom