🤣🤣🤣 sasa mkuu milion 30 ndy unaona kiwanja ni gali ebu tembea bhana hao n wakawaida hata muuza bamia ananunua hyo kiwanja akiwa sriazSidhani kama kuna mfanyakazi wa local government kwenye hii mitaa, oi watu wana hela Dah,
Watu wamepambana kweli kweli sio mchezo, huko sidhani kama ardhi/kiwanja mtu anaweza kupata chini ya million 30.
Mfano capripoint Mwanza, juzi nilikua na mwanasheria mmoja akanambia kafunga mkataba wa mauziano million 400 kiwanja,
Tutafute hela tutakapoishia ni hapo hapo, ila tutafute hela.
View attachment 3274377